Miaka ya hivi karibuni, Mbeya limeendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya kiuchumi yanayochochewa na mazingira rafiki ya uwekezaji pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya kisasa. Miongoni mwa alama za maendeleo hayo ni ujenzi wa AH City Mall — jengo la kisasa lenye ngazi za umeme (escalator) ambalo limekuwa kivutio kikubwa kwa wakazi wa jiji na maeneo ya jirani. Watu wengi hufika si tu kwa shughuli za kibiashara, bali pia kwa matembezi na kupiga picha, wakivutiwa na hadhi yake ya kuwa jengo la kwanza katika Ukanda wa Nyanda za Juu Kusini kuwa na mfumo huo wa kisasa wa ngazi za umeme.
Trending
- “Ndingo: Uongozi wa Samia Ni Ukombozi Mkubwa kwa Wanawake Tanzania.”
- WADAU WATAKIWA KUUNGA MKONO MALEZI YA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM
- Mwalunenge Achangia Milioni 3 Baada ya Wanawake MZRH Kutoa Mashine ya EEG
- Comfy Mum na TNCC Wawafariji Wakinamama Wodi ya Wanawake Hospitali ya Sinza
- Mbunge CCM,wapinzani waimarisha umoja,wajadili maendeleo ya wana Mbeya
- Dkt. Tulia Aunga Mkono Ujenzi wa Barabara Bombambili kwa Mifuko 100 ya Saruji na tripu 10 za mawe
- SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100
- Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

