Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI
  • MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE
  • RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO
  • WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII
  • Funguka Foundation Yapokea Msaada wa Mashine ya Kufulia Kutoka Wanawake TAKUKURU MBEYA
  • Wanawake TAKUKURU Mbeya Watoa Mashine ya Kufulia kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalum
  • Sheikh Bombo Amuombea Baraka Dkt. Tulia Baada ya Kufuturisha Wananchi
  • “Ndingo: Uongozi wa Samia Ni Ukombozi Mkubwa kwa Wanawake Tanzania.”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Wanawake TAKUKURU Mbeya Watoa Mashine ya Kufulia kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalum
Video Mpya

Wanawake TAKUKURU Mbeya Watoa Mashine ya Kufulia kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalum

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 8, 2026No Comments3 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email



Wanawake wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoa wa Mbeya wameadhimisha Siku ya Wanawake Duniani kwa kutembelea kituo cha kulea watoto wenye mahitaji maalum cha Funguka Foundation kilichopo Mtaa wa Wasai, Kata ya Ilomba, na kukabidhi msaada wa mashine ya kufulia nguo ili kusaidia shughuli za malezi ya watoto wanaolelewa katika kituo hicho.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake, Kisa Ngoloke alisema waliguswa na juhudi za mama mlezi wa kituo hicho anayewahudumia watoto wenye ulemavu wa akili, viungo na usonji, akieleza kuwa kazi anayofanya ni kubwa na inahitaji moyo wa kujitoa. Alisema waliona ni vyema kufika kituoni hapo ili kushirikiana na watoto hao pamoja na kumpa moyo mlezi huyo, huku wakiamini kuwa msaada walioutoa utasaidia kurahisisha kazi ya kuwahudumia watoto hao.

Kwa upande wake Meneja wa kituo hicho, Nelly Elisha, aliwashukuru wanawake hao kwa msaada huo akisema utasaidia kupunguza changamoto aliyokuwa akikabiliana nayo ya kufua nguo nyingi za watoto, kazi ambayo mara nyingi alikuwa akiifanya mwenyewe. Alisema kituo hicho kinahudumia jumla ya watoto 78 wakiwemo yatima pamoja na wenye ulemavu wa akili, viungo na usonji, ambapo baadhi yao hulala kituoni huku wengine wakiletwa asubuhi na kurudishwa nyumbani jioni.

Naye Afisa Mtendaji wa Kata ya Ilomba, Regina Kichwika, aliishukuru taasisi hiyo kwa msaada huo na kueleza kuwa kituo hicho bado kina mahitaji mbalimbali, hivyo akatoa wito kwa wadau wengine kujitokeza kusaidia ili kuboresha huduma kwa watoto hao.

Aidha, Kichwika aliwataka wazazi kuacha tabia ya kuwaficha watoto wenye ulemavu majumbani, akisisitiza kuwa kuwatoa na kuwaonesha kwenye jamii kunasaidia kupata msaada pamoja na kuhakikisha wanapata haki zao za msingi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025141
Don't Miss
Video Mpya

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

By Mbeya YetuMarch 9, 20260

#mbeyayetutv

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026

WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII

March 9, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.