Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100
  • Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari
  • VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII
  • TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
  • Mfumo wa kidigitali wa Vyeti vya Uasili kupitia Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC) waanza rasmi Machi 2, 2026
  • MAHUNDI: SERIKALI KUIMARISHA ELIMU YA MALEZI KUPITIA KAMPASI YA KISANGARA
  • Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya
  • Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA
Uncategorized

WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 15, 2024Updated:March 15, 2024No Comments15 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa. Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka. Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.
“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60” Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Nilipata Miscarriage Mara Tano Hadi Nikapoteza Ndoto Zangu Za Kuwa Mama Mpaka Nilipopata Usaidizi Usio na Madhara

January 25, 2026

Nilifanya Kazi Kwa Miaka Miwili Bila Kupata Promotion Ila Nilijitafutia Hiyo Promotion Mwenyewe

January 25, 2026

Ndoa Yangu Ilikuwa Karibu Kuvunjika Lakini Siri Hii ya Mwisho Iliokoa Mapenzi Yetu

January 24, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025360

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025140
Don't Miss
Habari za Kitaifa

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

By Mbeya YetuFebruary 28, 202610

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mzee Rashidi Mfaume Kawawa, mwanasiasa mashuhuri na…

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026

TAKUKURU MBEYA YAOKOA ZAIDI YA MILIONI 100, YAIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA

February 27, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA AMBAYE ANGEKUWA HAI JANA ANGETIMIZA UMRI WA MIAKA 100

February 28, 2026

Mwalupindi Akabidhi Tuzo Vitabu na kufuturisha wanafunzi Kuimarisha Elimu Sangu Sekondari

February 28, 2026

VIONGOZI WA KIDINI,MAKUNDI YA KIJAMII WAPEWA SEMINA SAPOTI YA KISAIKOLOJIA KWA JAMII

February 28, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025360

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.