Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Songwe ulioko Mkoani Mbeya na Kupokelewa na Mwenyeji wake Cde: Juma Z. Homera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwaajiri ya kushiriki Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani Leo Tarhe18 March 2024 ambalo Kitaifa linafanyika Jijini Mbeya katika Ukumbi wa Eden Highlands Hotel.
Trending
- Nilivyomrudisha Mume Wangu Baada ya Miaka Mitatu ya Kuachana, Sasa Hachoki Kuniambia ‘You’re My Destiny
- Madaktari Walishangaa Nilivyopona Maradhi Ambayo Walikuwa Wamesema Hayatibiki
- Nilivyomfanya Mume Wangu Kusema ‘Baby Siwezi Tena’
- Nilitangazwa Mshindi wa Jackpot Bila Hata Kuelewa Nimewezaje Siri Yangu Ndiyo Imenigeuza Milionea
- Ipyana wa CHAUMMA Awasha Moto Uyole — “Mabadiliko Bila Woga!”
- Walisema Nimerogwa Sitawahi Kuolewa, Lakini Sasa Ndio Mimi Nimeolewa Kwa Harusi ya Ndoto Zangu
- MWENGE WA UHURU WAZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI FOREST JIJINI MBEYA
- KIKWETE:”MBEYA IMEHESHIMISHA KILELE CHA MWENGE WA UHURU”