Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA

May 18, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA
  • Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi
  • INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI
  • ZIARA KAMATI YA SIASA CCM MKOA MBEYA WATEMBELEA BWENIMRADI WA MIL 300 SEKONDARI SAGAMBI CHUNYA
  • KAMATI SIASA MBEYA YAAGIZA STENDI CHUNYA KUJENGWA USIKU NA MCHANA KUKAMILIKA KABLA YA UCHAGUZI MKUU
  • CCM MKOA MBEYA ZIARANI CHUNYA MWALUNENGE AAGIZA KUBORESHWA MFUMO USAJILI WAGONJWA SANGAMBI
  • Wizara ya Mawasiliano Yaendelea Kushirikiana kwa Karibu na Jeshi la Polisi Kukabili Utapeli Mtandaoni – Mhandisi Maryprisca Mahundi
  • TIMU YA MADAKTARI NA WAUGUZI KUTOKA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA, TANZANIA WAMETEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA, TAREHE 12 MEI, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MRADI WA KIWIRA WAANZA KUTEKELEZWA WAFIKIA ASILIMIA 10
Habari za Kitaifa

MRADI WA KIWIRA WAANZA KUTEKELEZWA WAFIKIA ASILIMIA 10

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 18, 2024Updated:March 18, 2024No Comments34 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kaimu Mtendaji Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya Mhandisi Barnabas Konga katika maadhimisho ya wiki ya maji iliyoanza machi 16,2024 ameendelea kutolea taarifa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mamlaka taarifa iliyoambatana na ziara ya kuitembelea miradi hiyo ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu shilingi bilioni 250 unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji ambapo Kampuni ya China Railway Connstuction ndiyo imepewa kandarasi chini ya Mhandisi Mshauri Kampuni ya GKW Consultant awamu ya kwanza zitatumika shilingi bilioni 119.

Konga amesema Jiji la Mbeya na Mbalizi lina vyanzo ishirini ambavyo vinazalisha lita milioni 66.5 kwa siku wakati uhitaji ni lita milioni 90 kwa siku.

Mhandisi Barnabas Konga katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan wametekeleza miradi mbalmbali kwa gharama ya shilingi bilioni kumi.

Mhandisi Mkazi wa mradi wa Kiwira Audax Rweyemamu amesema mradi umeanza kutekelezwa mwezi April 2023 na utakamilika kwa kipindi cha miezi 24 mwaka 2025 utakuwa unatoa maji.

Ujenzi umefikia asilimia kumi mpaka sasa na utazalisha lita milioni 117 kwa siku ambapo unakuwa na sehemu ya kutibu maji pia matanki makubwa mawili eneo la Sistila na Forest Mpya.

Kaimu Mtendaji Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya Mhandisi Barnabas Konga katika maadhimisho ya wiki ya maji iliyoanza machi 16,2024 ameendelea kutolea taarifa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mamlaka taarifa iliyoambatana na ziara ya kuitembelea miradi hiyo ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu shilingi bilioni 250 unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji ambapo Kampuni ya China Railway Connstuction ndiyo imepewa kandarasi chini ya Mhandisi Mshauri Kampuni ya GKW Consultant awamu ya kwanza zitatumika shilingi bilioni 119.

Konga amesema Jiji la Mbeya na Mbalizi lina vyanzo ishirini ambavyo vinazalisha lita milioni 66.5 kwa siku wakati uhitaji ni lita milioni 90 kwa siku.

Mhandisi Barnabas Konga katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan wametekeleza miradi mbalmbali kwa gharama ya shilingi bilioni kumi.

Baadhi ya miradi ni pamoja na mradi wa Mwaashali uliogharimu shilingi milioni 400 unazalisha lita milioni moja kwa siku,mradi wa Nzovwe Isyesye umegharimu shilingi milioni 930 unaozalisha lita milioni nne kwa siku,mradi wa UVIKO unazalisha lita milioni kwa siku,Mwasenkwa Itagano wenye thamani ya shilingi bilioni 5.2 unazalisha lita milioni 2.6,mradi wa Ilunga unazalisha lita milioni kumi.

Kwa upande wake Mhandisi Mkazi wa mradi wa Kiwira Audax Rweyemamu amesema mradi umeanza kutekelezwa mwezi April 2023 na utakamilika kwa kipindi cha miezi 24 mwaka 2025 utakuwa unatoa maji.

Ujenzi umefikia asilimia kumi mpaka sasa na utazalisha lita milioni 117 kwa siku ambapo unakuwa na sehemu ya kutibu maji pia matanki makubwa mawili eneo la Sistila na Forest Mpya.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025

Wizara ya Mawasiliano Yaendelea Kushirikiana kwa Karibu na Jeshi la Polisi Kukabili Utapeli Mtandaoni – Mhandisi Maryprisca Mahundi

May 12, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202457
Don't Miss
Video Mpya

NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA

By Mbeya YetuMay 18, 20250

#mbeyayetutv

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025

ZIARA KAMATI YA SIASA CCM MKOA MBEYA WATEMBELEA BWENIMRADI WA MIL 300 SEKONDARI SAGAMBI CHUNYA

May 14, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA

May 18, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.