Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

TUNAMTAKA DKT TULIA AGOMBEE UYOLE SABABU YA MAENDELEO

May 21, 2025

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA

May 21, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • TUNAMTAKA DKT TULIA AGOMBEE UYOLE SABABU YA MAENDELEO
  • “Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”
  • HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA
  • SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?
  • WAZEE WA UBWABWA CHAUMA MKOA WA SONGWE WATOA NENO KWA VIOGOZI WA DINI NA SERIKALI
  • BENKI YA NMB NYANDA ZA JUU WATOA SAPOTI MABATI 128 KWA SHULE ILIYOEZULIWA NA UPEPO ILEJE
  • RAIS SAMIA NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAPONGEZWA KWA KUFANIKISHA USHINDI WA PROFESA JANABI KATIKA UCHAGUZI WA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA
  • JK ASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MAREHEMU CLEOPA DAVID MSUYA HUKO MWANGA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » “Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”
Afya na Ustawi

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMay 21, 2025Updated:May 21, 2025No Comments1 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Watoa huduma ya Afya ya Mama na mtoto wametakiwa kuwa makini wakati wa utoaji huduma ya uzazi ili mama anapokuwa analeta zawadi ya mtoto duniani hasibaki na changamoto yoyote ya kiafya ikiwemo ugonjwa wa fistula.

Leo Mei 21,2025 Wizara ya Afya Idara ya Mama na Mtoto inakaa Jijini Mbeya pamoja na Wadau kujadili afua muhimu za kuangazia namna bora ya kupambana na ugonjwa wa Fistula kwa akina mama kuelekea maadhimisho ya siku ya Fistula Duniani itakaoyadhimishwa Kitaifa Mbeya Mei 23, 2025.

Mkurugenzi Hospitali ya Kanda Mbeya Dkt. Godlove Mbwanji ambaye alimwakilisha Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekilage wakati wa ufunguzi Kikao Kazi hicho amesema mama hatakiwi kuwa na tatizo lolote mara baada ya kujifungua.

“Tunajua mama anapokuwa anapomleta mtoto duniani hatakiwi kuwa na tatizo lolote na wote tunajua ni muhimu sana huyu mama wa thamani kumlinda dhidi ya fistula ili kuwa na uzazi endelevu katika Taifa letu”, alisema Dkt. Godlove Mkurugenzi Hospitai ya Rufaa Mbeya.

Naye Mratibu wa Afua za Fistula Tanzania Fidea Obimbo ameseama Wiazara ya Afya inachylua hatua muhimu kupambana na ugonjwa wa Fistula kwa kutoa huduma karibu kwa wananchi akitaja huduma za kibingwa za madaktari wa Dkt Samia kuwa sehemu ya mapambano hayo.

Bi. Fidea ameongeza kuwa maadhimisho haya mwaka huu yanafanyika Mbeya katika hospitali Kitengo cha Huduma ya Mama na mtoto ili kuenzi wakina mama na kutoa huduma ya upasuaji kwa wagonjwa wenye changamoto ya Fistula.

Bi .Ametoa wito kwa wadau wa Afya kujitokeza kwa wingi kutoa michango yao katika mapambano ya Fistula akisema kuwa idadi ya wadau wanotoa huduma katika eneo la ugonjwa huu kuwa bado ni ndogo sana.

Mkurugenzi wa Fistula Foundation Bw. Clement Ndahani akiongea na vyombo vya habari nje kidogo ya mkutano wa wadau amesema ugonjwa wa fistula unakumba wagonjwa wengi wanaotoka katika Kaya Masikini.

Maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya Fistula Duniani uhadhimishwa kila mwaka na kwa mwaka 2025 yanafanyika Mkoani Mbeya yakiwa na kauli mbiu isemayo

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Dkt. Tulia Azindua Ambulansi Mpya kwa Kituo cha Afya Mwakibete ili Kuboresha Huduma za Afya Mbeya

April 19, 2025

April 19, 2025

RAIS SAMIA AUNGWA MKONO NA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NCHINI

April 8, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202561

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202457
Don't Miss
Video Mpya

TUNAMTAKA DKT TULIA AGOMBEE UYOLE SABABU YA MAENDELEO

By Mbeya YetuMay 21, 20250

TUNAMTAKA DKT TULIA AGOMBEE UYOLE SABABU YA MAENDELEO.

Wananchi wa maeneo mbalimbali katika Jimbo jipya la uyole wamemtaka mbunge wa Mbeya Mjini Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Mabunge duniani Dkt Tulia Akson kugombea jimbo la Uyole sababu ya utendaji mzuri wa kazi na kuleta maendeleo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Jumhiya ya vijana wa chama cha mapinduzi UVCCM wilaya ya Mbeya mjini Ameishukuru Tume ya uchaguzi kwa kuligawa jimbo hilo akieleza yakuwa kutakuwa na maendeleo ya Kasi katika Maeneo mbalimbali.

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA

May 21, 2025

SIKU YA NYUKI DUNIANI MTAALAM AELEZA FAIDA ZAKE, JE WAJUA UKING’ATWA NA NYUKI NI TIBA YA MALARIA?

May 20, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

TUNAMTAKA DKT TULIA AGOMBEE UYOLE SABABU YA MAENDELEO

May 21, 2025

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

HARAKATI ZIWA NYASA MATEMA BEACH KYELA FUKWE ILIYOTELEKEZWA FURSA ZA UVUVI,UTALII HAZITUMIKI VYEMA

May 21, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202561
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.