Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee
  • Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA
  • RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania
  • Nilivyolipizwa Kisasi na Aliyeniumiza Baada ya Kunitendea Vibaya, Sasa Anaomba Msamaha Kila Siku
  • Nilivyomrudisha Mume Wangu Baada ya Miaka Mitatu ya Kuachana, Sasa Hachoki Kuniambia ‘You’re My Destiny
  • Madaktari Walishangaa Nilivyopona Maradhi Ambayo Walikuwa Wamesema Hayatibiki
  • Nilivyomfanya Mume Wangu Kusema ‘Baby Siwezi Tena’
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » BUSUNGU WA ADA-TADEA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS
Habari za Kitaifa

BUSUNGU WA ADA-TADEA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS

Mbeya YetuBy Mbeya YetuAugust 11, 2025No Comments9 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
Mwenyekiti wa Tume Huru ya
Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele
akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha
Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya
Chama cha Tanzania Democratic Alliance (TADEA), Mhe. Georges Gabriel Bussungu.
Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. 
Ali Makame Issa (kushoto) alichukua fomu hizo
leo Agosti 11, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu.
(Picha na INEC).

 

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Democratic Alliance (TADEA), Mhe. Georges Gabriel Bussungu. Mgombea huyo waaliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe.  Ali Makame Issa (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 11, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. (Picha na INEC).

Mgombea wa Kiti cha Rais katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Democratic Alliance (TADEA), Mhe. Georges Gabriel Bussungu na Mgombea Mwenza, Mhe.  Ali Makame Issa (kushoto) wakionesha mkoba baada ya kukabidhiwa na Tume katika Ofisi za Tume Njedengwa Jijini Dodoma leo Agosti 11, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. (Picha na INEC).
Wajumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wakiwa katika ukumbi wa utoaji fomu. Kulia ni Mhe. Dkr. Zakia Mohamed Abubakar akiwa na Mhe. Magadalena Rwebangira 
Wajumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wakiwa katika ukumbi wa utoaji fomu. Kusho ni Mhe. Jaji Asina Omar akiwa na Mhe. Balozi Ramadhani Omar Mapuri.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akitoa maelezo.

 

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhani Kailima akitoa maelezo.
 


 
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhani Kailima akimpa maelekezo mgombea.
Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Tanzania Democratic Alliance (TADEA), Mhe. Georges Gabriel Bussungu akisaini. 

 

Mgombea Mwenza, Mhe.  Ali Makame Issa (kushoto)  akisaini kitabu.

 

 

Wanachama wa chama hicho wakifatilkia utoaji fomu.
Mgomgea akiagana na Mkurugenzi wa Tume.
Mgombea akizungumza na vyombo vya Habari 
Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025

RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania

October 18, 2025

MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.

October 13, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025181

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Video Mpya

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

By Mbeya YetuOctober 20, 20251

Wanachama wa CCM kutoka Mbeya Mjini na Vijijini wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Ndege wa Songwe kumlaki Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitokea mkoani Rukwa kuelekea Dar es Salaam.

Wanachama hao walikaa uwanjani tangu saa 1 asubuhi hadi jioni wakisubiri kwa hamasa kumuona kiongozi wao, wakisema wanavutiwa na siasa za hekima, upendo na maendeleo za Dkt. Samia.

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025

RC Malisa Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Meta Mbeya kwa Ushirikiano wa IHI na NEST360 Tanzania

October 18, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Maelfu ya wana CCM Mbeya Wamiminika Songwe Kumlaki Dkt. Samia—Wavutiwa na Uongozi Wake wa Kipekee

October 20, 2025

Nilivamiwa na Uchawi Kila Usiku Hadi Nilipopata Kinga Iliyowafanya Wachawi Washindwe Kunitazama Machoni

October 19, 2025

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UCHAGUZI WA UDIWANI KATIKA KATA YA NYAKASUNGWA JIMBO LA BUCHOSA

October 18, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024193

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025181
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.