Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

September 14, 2025

MAFANIKIO YA MARYS PRIMARY SCHOOL MBEYA YAVUTIA WAZAZI NA WANAFUNZI,154 WAHITIMU DARASA LA 7, 2025

September 13, 2025

Timida Fyandomo: Sauti ya Dkt. Tulia Bungeni ni sauti ya wana uyole

September 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI
  • MAFANIKIO YA MARYS PRIMARY SCHOOL MBEYA YAVUTIA WAZAZI NA WANAFUNZI,154 WAHITIMU DARASA LA 7, 2025
  • Timida Fyandomo: Sauti ya Dkt. Tulia Bungeni ni sauti ya wana uyole
  • Masache Kasaka: Wana Jimbo la Uyole Msifanye Makosa, 29/10 Chagueni Dkt. Tulia na Dkt. Samia
  • Kauli ya Mahundi Uyole: Umoja wa Wanawake na Wanaume Ni Nguvu ya Kura kwa Tulia na Samia
  • Bahati Ndingo: Dkt. Tulia Ni Mtu wa Kazi, Wanajimbo la Uyole Chagueni Tulia na Samia
  • Mwalunenge Awanadi Dkt. Tulia na Dkt. Samia Jimbo la Uyole Uzinduzi wa Kampeni
  • Suma Fyandomo Awahimiza Wananchi Jimbo la Uyole Kuwachagua kwac kura nyingi Dkt. Tulia na Dkt Samia
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI
Habari za Kitaifa

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuSeptember 14, 2025No Comments10 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Mapinduzi ( CCM) Dkt. Tulia Ackson, amewaomba Wananchi wa Jimbo hilo kumchagua kwa kura nyingi kwa nafasi yake ya Ubunge na kura nyingi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi ya Urais katika Uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 ili wakaiendeleze kazi nzuri waliyoianza kwa kuboresha sekta mbalimbali za kijamii.

Akizungumza mbele ya Wananchi wa Jimbo la hilo wakati wa ufunguzi rasmi wa kampeni zake leo tarehe 13 Septemba, 2025 katika Uwanja wa Shule ya msingi Hasanga, Dkt. Tulia amesema kuwa katika kuhakikisha azma hiyo inatekelezeka, kwanza kabisa atahakikisha anafanikisha upatikanaji wa Halmashauri ya Uyole ikiwemo ujenzi wa jengo hilo ambayo itawezesha kukimbiza kasi ya maendeleo ya Jimbo hilo.

Sambamba na hayo, amebainisha vipaumbele vyake atakapopata nafasi ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo jipya ni kuhakikisha anaboresha miundombinu ya Barabara zikiwemo Barabara za Mitaa kujengwa kwa Kiwango Cha lami, Ujenzi wa Vivuko na Madaraja Kwenye kata zote pamoja na kuendelea kwa ujenzi wa Barabara ya njia nne Uyole hadi Ifisi inakamilika kwa wakati.

Vipaumbele Vingine ni Kuboreha Miundombinu Katika sekta ya Elimu ikiwemo Ukarabati wa Madarasa na Kupandisha hadhi shule za sekondari Kuwa Kidato cha tano na sita, Kukamilisha Mradi wa Maji wa mto Kiwira ili kuondoa kero ya upatikanaji wa Maji, Kuboresha huduma za Afya na kuondoa kero wanazozipata wakinamama wajawazito wakati wa Kujifungua na Kununua Magari ya Kubebea Wagonjwa.

Katika hatua Nyingine, Dkt .Tulia amesema kuwa atahakikisha Umeme unapatikana katika Mitaa Yote ya Jimbo la Uyole, bila kusahau sekta ya kilimo atahakikisha wakulima Wanapata Pembejeo Kwa Wakati na kwa bei nafuu. Pia ataweka msukumo kwenye Ujenzi wa viwanja vya Maonyesho ya Nanene na Soko la Kimataifa Ndani ya viwanja hivyo, Kuimarisha sekta ya michezo hasa mchezo wa ngumi.

Ufunguzi huo wa Kampeni za jimbo la Uyole zinazokwenda na kaulimbiu ya “Uyole Kazi” ikilenga Kufanya kazi Kwa Maarifa na Nguvu Zaidi zimehudhuriwa na wagombea udiwani wote wa kata 13 pamoja na Baadhi ya wagombea wa nafasi za ubunge Mkoa wa Mbeya.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Mbeya Yatikisika! Dkt. Tulia Achukua Fomu Ubunge Jimbo Jipya la Uyole

August 25, 2025

TAKUKURU Mbeya Yaokoa Milioni 47 na Kuongeza Mapato ya Halmashauri Zaidi ya Milioni 200

August 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025120
Don't Miss
Habari za Kitaifa

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

By Mbeya YetuSeptember 14, 202510

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Uyole kupitia Chama cha Mapinduzi ( CCM) Dkt. Tulia Ackson,…

MAFANIKIO YA MARYS PRIMARY SCHOOL MBEYA YAVUTIA WAZAZI NA WANAFUNZI,154 WAHITIMU DARASA LA 7, 2025

September 13, 2025

Timida Fyandomo: Sauti ya Dkt. Tulia Bungeni ni sauti ya wana uyole

September 13, 2025

Masache Kasaka: Wana Jimbo la Uyole Msifanye Makosa, 29/10 Chagueni Dkt. Tulia na Dkt. Samia

September 13, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

September 14, 2025

MAFANIKIO YA MARYS PRIMARY SCHOOL MBEYA YAVUTIA WAZAZI NA WANAFUNZI,154 WAHITIMU DARASA LA 7, 2025

September 13, 2025

Timida Fyandomo: Sauti ya Dkt. Tulia Bungeni ni sauti ya wana uyole

September 13, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.