Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Mwalunenge Aunguruma Kata ya Iganzo: Asema Oktoba Ni Kazi Moja tu – Rais, Mbunge na Madiwani CCM

September 15, 2025

HATIMAYEEE MGOMBEA UBUNGE CHAUMMA JIMBO LA UYOLE MBEYA AFUNGUKA

September 15, 2025

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Mwalunenge Aunguruma Kata ya Iganzo: Asema Oktoba Ni Kazi Moja tu – Rais, Mbunge na Madiwani CCM
  • HATIMAYEEE MGOMBEA UBUNGE CHAUMMA JIMBO LA UYOLE MBEYA AFUNGUKA
  • MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.
  • Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia
  • HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YADHAMIRIA KUONDOA ULEMAVU WA KUONA NA KUBORESHA AFYA YA MACHO SONGWE
  • MASACHE KASAKA ALIVYOMNADI BAHATI NDINGO UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA MBARALI
  • Baba Aibuka Na Kauli Kali Baada ya Mtoto Wake Kwanza Kumkana Mbele ya Watu
  • DANIEL CHONGOLO: ”BAHATI NDINGO NDIYE ALIYENIFUNDISHA MISAMIATI YA GN MIGOGORO YA ARDHI MBARALI”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.
Habari za Kitaifa

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuSeptember 15, 2025Updated:September 15, 2025No Comments1 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Omari Makame leo tarehe 15/09/2025 amezindua rasmi huduma mkoba za Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia mkoani Songwe ikiwa ni juhudi za Serikali ya awamu ya sita chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha huduma bora za afya zinawafikia wananchi wote kwa ukamilifu.

Katika hotuba yake, Mhe. Jabiri Makame ameeleza kuwa ujio wa kambi hiyo ya Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia ni ishara ya dhamira ya dhati ya Serikali ya kuimarisha huduma za afya mkoani Songwe. Amebainisha kuwa, kuanzia mwaka 2020 hadi 2025, mkoa umepata maendeleo makubwa ikiwa ni pamoja na ongezeko la vituo vya afya kutoka 205 hadi 273, na hospitali kutoka 2 hadi 5, vyote kwa lengo la kuboresha huduma za msingi na za kitaalamu kwa wananchi.

“Serikali imetenga zaidi ya shilingi bilioni 40.6 kwa ajili ya kuboresha miundombinu, ununuzi wa dawa, vifaa, na vitendanishi, pamoja na kuanzisha afua mbalimbali za tiba ikiwemo lishe, kudhibiti malaria, kifua kikuu, na magonjwa ya zinaa na UKIMWI. Kupitia juhudi hizi, upatikanaji wa dawa umeongezeka kwa asilimia 90, hali inayorahisisha upatikanaji wa huduma na kupunguza vifo vya watoto wachanga kutoka 320 mwaka 2022 hadi 146 mwaka 2023, mkoa umepokea watumishi wa sekta ya afya 725 kuanzia mwaka 2021 hadi 2025, ikiwa ni jitihada za kukabiliana na upungufu wa watumishi wa afya, na kufanya huduma kuwa za karibu zaidi kwa wananchi”. – amesema Mhe. Jabiri Makame

Aidha Mhe. Jabiri Makame, ametoa rai kwa viongozi na watendaji wa mkoa kuhakikisha wanatoa ushirikiano wa karibu kwa madaktari ili kuhakikisha huduma zinazotolewa zinafikia viwango vya juu, na wananchi wanafaidika kwa kiwango cha juu. Pia, amewataka wananchi kushirikiana na wataalamu wa afya ili kufanikisha malengo ya afya bora kwa wote.

Naye Bi. Pasclina Andrew Mratibu wa Huduma Mkoba ya Madaktari wa Mama Samia Mkoa wa Songwe kutoka Wizara ya Afya amesema kuwa uwekezaji huu mkubwa wa Serikali katika sekta ya afya ni hatua muhimu katika kuimarisha afya ya wananchi wa Songwe na kuboresha huduma za matibabu, kwani sasa wananchi hawatalazimika kusafiri kwenda mikoa jirani kwa huduma za kibingwa. Hii ni ahadi na matokeo ya moyo wa Serikali wa kuwaletea wananchi maendeleo na ustawi wa afya.

“ujio wa kambi hii ya matibabu unaleta faida kubwa ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za tiba za kitaalamu zilizokuwa zinahitaji kusafiriwa hadi mikoa mikubwa kama Dar es Salaam na Mbeya, hivyo kuokoa muda na gharama za wananchi. Pia, kambi hii itaimarisha uwezo wa wataalamu wa afya kwa kuwapa mafunzo na ushauri wa kitaalamu (mentorship), na kusogeza huduma za kibingwa kwa wananchi wa mkoa wa Songwe” – Pasclina

Timu ya madaktari 30 kutoka kada mbalimbali za afya zikiwa ni pamoja Madaktari wa Uzazi na Magonjwa ya wanawake, Madaktari wa Watoto, Madaktari bingwa wa usingizi na ganzi salama, madaaktari wa magonjwa ya ndani, madaktari wa meno, madaktari wa upasuaji na wauguzi Bingwa wanatarajia kutoa huduma mkoba kwa muda wa wiki moja katika halmashauri 5 za mkoa wa Songwe..

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

DKT. TULIA: NITAHAKIKISHA JIMBO JIPYA LA UYOLE LINAPATA HALMASHAURI

September 14, 2025

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Mbeya Yatikisika! Dkt. Tulia Achukua Fomu Ubunge Jimbo Jipya la Uyole

August 25, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025121
Don't Miss
Video Mpya

Mwalunenge Aunguruma Kata ya Iganzo: Asema Oktoba Ni Kazi Moja tu – Rais, Mbunge na Madiwani CCM

By Mbeya YetuSeptember 15, 20250

HATIMAYEEE MGOMBEA UBUNGE CHAUMMA JIMBO LA UYOLE MBEYA AFUNGUKA

September 15, 2025

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025

Kitabu cha Ndoto ya Yatima Chazinduliwa Rasmi na Dkt. Tulia

September 15, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Mwalunenge Aunguruma Kata ya Iganzo: Asema Oktoba Ni Kazi Moja tu – Rais, Mbunge na Madiwani CCM

September 15, 2025

HATIMAYEEE MGOMBEA UBUNGE CHAUMMA JIMBO LA UYOLE MBEYA AFUNGUKA

September 15, 2025

MATIBABU YA KIBINGWA YA HUDUMA MKOBA YA MADAKTARI WA DT. SAMIA UKOMBOZI MKUBWA KWA WANANCHI WA MKOA WA SONGWE.

September 15, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025208

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.