Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
  • Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
  • MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
  • Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
  • MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
  • MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
  • MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
  • Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.
Habari za Kitaifa

MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 13, 2025No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Patrobas Katambi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Sera na Uratibu Zanzibar Hamza Hassan Juma wameimwagia pongezi Benki ya NMB kwa kuendelea kushirikiana kwa karibu na serikali kwa kutoa elimu ya kifedha kwa vijana ili kujikwamua kiuchumi.

Wameyasema hayo walipotembelea Banda la NMB kwenye maadhimisho ya wiki ya Vijana yanayoendelea viwanja vya Soko la Uhindini jijini Mbeya.

“Mmekuwa na sapoti kubwa kwa serikali kusaidia elimu ya kifedha kwa vijana, Vijana wengi kwa sasa wamejikwamua kiuchumi kutoka na elimu mnayotoa” alisema Waziri Katambi.

Kwa upande wake Waziri Hamza Hassan Juma amesema vijana wengi wa Kizanzibari wamejikita katika ujasiriamali kutoka na elimu kwa vijana inayotolewa na Benki ya NMB.

Akizungumza wakati akiwakaribisha Mawaziri hao, Meneja Mahusiano Mwandamizi wa NMB Josephine Kulwa alisema Benki hiyo imetumia fursa hii ya Wiki ya Vijana kutoa elimu ya kifedha ambako kwa sasa kuna akaunti maalumu inayowagusa bila a wanafunzi wa vyuo vikuu ya Mwanachuo Akaunti.

Amesema akaunti hizi ni rafiki kwa vijana na wanachuo ambapo wakifanya muamala kwa kutumia Mshiko Fasta wanarudishiwa asilimia 30.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

November 28, 2025

MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA

November 28, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

By Mbeya YetuDecember 6, 20251

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025

Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake

December 6, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.