Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Ilifikia hatua hadi nikawa namuogopa mume wangu kitandani

October 13, 2025

MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.

October 13, 2025

Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya

October 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Ilifikia hatua hadi nikawa namuogopa mume wangu kitandani
  • MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.
  • Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya
  • Nilidhani Wivu wa Majirani Ungehujumu Maisha Yangu, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niishi kwa Amani na Mafanikio
  • Kampeni za Mguu kwa Mguu za Ipyana Njiku wa CHAUMMA Yazidi Kutikisa Jimbo la Uyole
  • Mradi wa Kuboresha Huduma ya Maji Tukuyu Wazinduliwa na Mwenge wa Uhuru 2025
  • Bibi Yangu Alisaidia Kuokoa Ndoa Yangu Baada ya Miaka Mitano y
  • Nilikata Tamaa Baada ya Kupoteza Kila Bet, Lakini Siri Niliyotumia Ilinifanya Kushinda Jackpot
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.
Habari za Kitaifa

MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuOctober 13, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Patrobas Katambi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Sera na Uratibu Zanzibar Hamza Hassan Juma wameimwagia pongezi Benki ya NMB kwa kuendelea kushirikiana kwa karibu na serikali kwa kutoa elimu ya kifedha kwa vijana ili kujikwamua kiuchumi.

Wameyasema hayo walipotembelea Banda la NMB kwenye maadhimisho ya wiki ya Vijana yanayoendelea viwanja vya Soko la Uhindini jijini Mbeya.

“Mmekuwa na sapoti kubwa kwa serikali kusaidia elimu ya kifedha kwa vijana, Vijana wengi kwa sasa wamejikwamua kiuchumi kutoka na elimu mnayotoa” alisema Waziri Katambi.

Kwa upande wake Waziri Hamza Hassan Juma amesema vijana wengi wa Kizanzibari wamejikita katika ujasiriamali kutoka na elimu kwa vijana inayotolewa na Benki ya NMB.

Akizungumza wakati akiwakaribisha Mawaziri hao, Meneja Mahusiano Mwandamizi wa NMB Josephine Kulwa alisema Benki hiyo imetumia fursa hii ya Wiki ya Vijana kutoa elimu ya kifedha ambako kwa sasa kuna akaunti maalumu inayowagusa bila a wanafunzi wa vyuo vikuu ya Mwanachuo Akaunti.

Amesema akaunti hizi ni rafiki kwa vijana na wanachuo ambapo wakifanya muamala kwa kutumia Mshiko Fasta wanarudishiwa asilimia 30.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya

October 13, 2025

Kampeni za Mguu kwa Mguu za Ipyana Njiku wa CHAUMMA Yazidi Kutikisa Jimbo la Uyole

October 12, 2025

Shirika la Posta Laadhimisha Wiki ya Posta Duniani kwa Kutoa Msaada Hospitali ya Igawilo

October 9, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025221

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025168

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
Don't Miss
Uncategorized

Ilifikia hatua hadi nikawa namuogopa mume wangu kitandani

By Mbeya YetuOctober 13, 20251

Jina langu ni Stella Njeri, nina miaka 32 na ninaishi Nairobi. Kwa muda mrefu nilikuwa…

MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.

October 13, 2025

Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya

October 13, 2025

Nilidhani Wivu wa Majirani Ungehujumu Maisha Yangu, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niishi kwa Amani na Mafanikio

October 13, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Ilifikia hatua hadi nikawa namuogopa mume wangu kitandani

October 13, 2025

MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.

October 13, 2025

Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya

October 13, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025221

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024192

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025168
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.