Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

November 28, 2025

Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake

November 28, 2025

Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole

November 28, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma
  • Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake
  • Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole
  • Alipigiwa simu kutoka kampuni ya mawasiliano na kupewa kazi
  • MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA
  • Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa
  • Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!
  • Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma
Habari za Kitaifa

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

Mbeya YetuBy Mbeya YetuNovember 28, 2025No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email


Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kushirikiana kwa karibu na jukwaa la viongozi la uwezeshaji wanawake kiuchumi jijini Dodoma, kwa kuhakikisha mazingira wezeshi ya biashara yanaimarishwa, Sera na Miongozo rafiki inatekelezwa na fursa zaidi za maendeleo
zinapatikana kwa wanawake wote bila ubaguzi.

Akizungumza na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la
Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi. MaryPrisca Mahundi amesema Majukwaa hayo yamekuwa chachu ya mabadiliko katika maisha ya wanawake wa jiji la Dodoma ambapo yameongeza uelewa wa masuala ya fedha, yamewajengea uwezo wa kiuongozi na yamewapa ujasiri wa kuanzisha na kuendeleza shughuli mbalimbali za kiuchumi.

“Majukwaa haya ya wanawake yana umuhimu mkubwa katika ustawi na maendeleo ya wanawake na yameanzishwa ili kutoa fursa kwa wanawake kuweza kukutana, kuchochea ubunifu na ushirikiano, kupitia mafunzo, midahalo na kubadilishana uzoefu
kati ya wanawake wa maeneo mbalimbali.” amesema Naibu Waziri Maryprisca

Vilevile amesema majukwaa hayo yanawapa nafasi ya kujengeana uwezo katika nyanja nyingine za maisha ikiwemo
kuendeleza Tunu za Taifa, Uraia, uzalendo na kutokomeza
vitendo vya Ukatili wa kijinsia.

Aidha Naibu Waziri Maryprisca ameongeza kuwa pamoja na mafanikio na umuhimu wa majukwaa haya kwa wanawake ni
wazi kuwa bado kuna kazi ya kufanya ikiwa ni kuongeza ushirikiano kati ya Sekta Binafsi, Taasisi za kifedha, Serikali na wadau wote ili kuhakikisha wanawake wanaendelea kupata elimu ya kibiashara, fursa za masoko, teknolojia bora, na upatikanaji wa mitaji rafiki.

“Napenda kuwahakikishia kuwa jitihada hizi za kuwezesha majukwaa si tu zinawanufaisha wanawake peke yao, bali zinaimarisha familia, jamii na Uchumi wa Taifa kwa ujumla.” amesisitiza Naibu Waziri

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA

November 28, 2025

WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA KIWILA

November 26, 2025

TANZANIA NA QATAR ZASAINI HATI YA MAKUBALIANO YA KUTAMBULIANA VYETI VYA MABAHARIA

November 26, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025239

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024201

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Habari za Kitaifa

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

By Mbeya YetuNovember 28, 20252

Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kushirikiana kwa karibu na jukwaa…

Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake

November 28, 2025

Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole

November 28, 2025

Alipigiwa simu kutoka kampuni ya mawasiliano na kupewa kazi

November 28, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma

November 28, 2025

Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake

November 28, 2025

Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole

November 28, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025239

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025231

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024201
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.