Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

“Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”

December 8, 2025

MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.

December 8, 2025

Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.

December 8, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • “Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”
  • MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.
  • Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.
  • Haikuwa tu safari ya kupona, bali safari ya kujikubali
  • SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.
  • MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
  • Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
  • MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.
Afya na Ustawi

MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 8, 2025Updated:December 8, 2025No Comments4 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mfanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Dkt. Ekaristo Mwang’ande, ametunukiwa tuzo kubwa na sifa za kipekee kwa kuwa mwanafunzi bora wa Shahada ya Uzamili ya Udaktari Bingwa wa mpangilio wa meno, mataya na Uso (Master of Dentistry in Orthodontics and Dentofacial Orthopedics), kwenye mahafali yake ya 19 ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) jijini Da es Salaam.

Akiwapongeza wanafunzi waliofanya vizuri wakati wa sherehe maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Prof. David Mwakyusa amewapongeza wanafunzi waliofanya vizuri katika fani mbalimbali ya afya na kuelezea kuwa mafanikio ya Dkt. Ekaristo ni ushahidi wa juhudi, uzalendo, na ari ya kujifunza waliyonayo, na pia ni mfano wa kuigwa kwa wanafunzi na wafanyakazi wa sekta ya afya nchini.

Nae Dkt. Ekaristo akizungumza baada ya kupokea zawadi na cheti cha heshima, alieleza kuwa, mafanikio haya yametokana na ushirikiano wa karibu alioupata kutoka kwa wanafunzi wenzake, Uongozi wa chuo na wa hospitali pamoja na wafanyakazi wenzake, na familia yake. Alisema, “Hii ni mafanikio ya pamoja, na ninawashukuru wote walionipa ushirikiano na kuunga mkono ndoto zangu za kitaaluma. Ninawaomba wanafunzi wa sekta ya afya wasikate tamaa, bali waendelee kujituma na kuamini kuwa mafanikio ni ya watu wanaojitahidi kwa bidii”

Nae, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Dkt. Godlove Mbwanji, na Wafanyakazi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, wamempongeza Dkt. Ekaristo kwa kutimiza malengo yake na kuonyesha mfano wa kazi nzuri. Wamesema kuwa, mafanikio yake ni motisha kwa wafanyakazi.

Dkt. Ekaristo Mwang’ande amewahi pia kuwa mfanyakazi bora wa mwaka 2021 wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya anatarajiwa kuwa mfano wa kuigwa na wengine katika kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA YAANZA RASMI KUTOA MAFUNZO YA HUDUMA ZA DHARURA KWA LENGO LA KUOKOA MAISHA NA KUPUNGUZA ATHARI ZA AJALI NA DHARURA ZA KIAFYA NYANDA ZA JUU KUSINI

November 26, 2025

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025

“Serikali yajizatiti kumaliza Fistula — Huduma bora kwa mama na mtoto yazidi kupewa kipaumbele”

May 21, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Uncategorized

“Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”

By Mbeya YetuDecember 8, 20250

Kijana mmoja aitwaye Allan, mwenye umri wa miaka 26 kutoka Tanga, alikuwa amezoea maisha ya…

MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.

December 8, 2025

Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.

December 8, 2025

Haikuwa tu safari ya kupona, bali safari ya kujikubali

December 8, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

“Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”

December 8, 2025

MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.

December 8, 2025

Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.

December 8, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024207
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.