Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU

December 21, 2025

Nilijeruhiwa na Maneno ya Niliyekuwa Ninamwamini Safari ya Kujiponya Ilinisaidia Kuamua Hatua Ijayo

December 21, 2025

JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

December 20, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU
  • Nilijeruhiwa na Maneno ya Niliyekuwa Ninamwamini Safari ya Kujiponya Ilinisaidia Kuamua Hatua Ijayo
  • JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29
  • Dkt. Tulia na watoto wake
  • Nilidhani Msongo wa Mawazo Umenishinda, Nilijifunza Kuponya Akili Yangu
  • Pombe Ilinifanya Nipoteze Kazi, Marafiki na Heshima—Safari ya Kuacha Ilikuwa Ngumu, Inawezekana
  • MAHUNDI AWATUNUKU WAHITIMU 530 CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII(CDTI)UYOLE
  • Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU
Habari za Kitaifa

DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 21, 2025No Comments8 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Uyole, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameanza zoezi maalum la kuwafikia kaya zenye uhitaji zaidi katika Jimbo la Uyole ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mhe. Dkt. Tulia amesema kuwa mwezi wa Desemba umechaguliwa mahsusi kwa ajili ya kuwafikia wananchi walio katika uhitaji mkubwa zaidi, akibainisha kuwa ingawa wahitaji ni wengi katika jamii, lengo ni kuanza na wale walio katika mazingira magumu zaidi.

Amesema kwa siku ya kwanza ya zoezi hilo, wamefanikiwa kufikia kata sita, ambapo kaya 56 zimepatiwa msaada wa chakula pamoja na fedha kidogo kwa ajili ya kununua mboga katika kipindi cha sikukuu. Ameongeza kuwa zoezi hilo litaendelea kwa siku zinazofuata ili kuwafikia walengwa wengine.

Kwa mujibu wa Mhe. Dkt. Tulia, mpango wa jumla ni kufikia kata zote 13 za Jimbo la Uyole, huku jumla ya kaya 130 zikitarajiwa kunufaika na msaada huo.

Aidha, ametoa wito kwa wananchi kuwa na utamaduni wa kuwajali majirani zao, hasa katika kipindi cha sikukuu, kwa kuangalia kama kuna anayehitaji msaada na kumsaidia kulingana na uwezo wao, ili kila mmoja aweze kutabasamu.

Katika hatua nyingine, Mhe. Dkt. Tulia amewashukuru wadau mbalimbali wanaoungana na juhudi hizo, akitaja kupata msaada kutoka kwa mdau mmoja aliyefahamika kwa jina la B2K, ambaye anatokea mkoani Iringa, aliyekutana nao kwa bahati wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo katika Kata ya Iganzo, eneo la Asalemba.

Amesisitiza kuwa lengo la zoezi hilo ni “kutabasamisha jamii”, huku akitoa wito kwa wadau na wananchi wengine kuungana nao katika kusaidia wenye uhitaji ili kuimarisha mshikamano na upendo ndani ya jamii.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MAHUNDI AWATUNUKU WAHITIMU 530 CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII(CDTI)UYOLE

December 20, 2025

WAZIRI MKUU AKAGUA ATHARI KWENYE MAJENGO YA MAMLAKA YA MJI MDOGO KYELA

December 18, 2025

Naibu Waziri wa Maji Mathew: Aweka Mkazo Kwenye Miradi ya Maji Mbeya na Chunya

December 16, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025267

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024210

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025131
Don't Miss
Habari za Kitaifa

DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU

By Mbeya YetuDecember 21, 20258

Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa…

Nilijeruhiwa na Maneno ya Niliyekuwa Ninamwamini Safari ya Kujiponya Ilinisaidia Kuamua Hatua Ijayo

December 21, 2025

JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

December 20, 2025

Dkt. Tulia na watoto wake

December 20, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU

December 21, 2025

Nilijeruhiwa na Maneno ya Niliyekuwa Ninamwamini Safari ya Kujiponya Ilinisaidia Kuamua Hatua Ijayo

December 21, 2025

JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA MBEYA YAVUNJA UKIMYA YATOA TAMKO RASMI BAADA YA UCHAGUZI MKUU OKT 29

December 20, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025267

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024210
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.