Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya

September 8, 2025

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025

Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia

September 8, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya
  • Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”
  • Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia
  • Nilipunguza Uzito Bila Mazoezi, Siri Ni Majani Haya Maalum
  • Nilipigania Shamba La Urithi Kwa Miaka 10 Sasa Nimeibuka Mshindi na Familia Imenitazama Kwa Hofu
  • WAWINDAJI PANYA WILAYA MOMBA WASAMBABISHIA HASARA MKULIMA WA MAHINDI MBOZI GUNIA 200 ZATEKETEA MOTO
  • Mama Afumaniwa Akimroga Mwanawe Ili Abaki Nyumbani Asiolewe
  • Nilivyomrudisha Binti Yangu Alitoroka Na Wazungu Dubai Kwa Kutumia Dawa Za Upendo
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA
Video Mpya

SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuFebruary 15, 2024No Comments0 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

SONGWE WAZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe, Happiness Seneda amezindua kampeni maalumu ya utoaji chanjo ya surua mkoani humo.

Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi iliyopo mjini Vwawa ambapo Seneda ametoa wito kwa azazi na walezi Mkoani Songwe kujitokeza kuwapeleka watoto kupata chanjo hiyo ya sindano dhidi ya ugonjwa wa Surua katika kampeni hiyo ambayo imeanza leo Februari 15 hadi Februari 18, 2024.

Seneda amesema mkoa unakusudia kuchanja watoto 199776 katika halmashauri zote tano za mkoa wa Songwe na kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuimarisha kinga dhidi ya ugonjwa huo baada ya kuanza kujitokeza tena baadhi ya maeneo katika mwaka uliopita.

Mganga Mkuu wa Mkoa, Boniface Kasululu amesema kampeni hii itahusisha wataamu wa afya kwasababu ni chanjo ya sindano pia italenga maeneo maalumu ya kutolea huduma ikiwemo kwenye vituo vya kutolea huduma za afya, makanisani, misikitini pia haitazuia shughuli zingine za uzalishaji.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Esther Mahawe amewapongeza wananchi waliyojitokeza katika siku ya kwanza ya utoaji wa chanjo ambapo amewataka wawe mabalozi wa kuwahamasisha wengine.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025

Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia

September 8, 2025

WAWINDAJI PANYA WILAYA MOMBA WASAMBABISHIA HASARA MKULIMA WA MAHINDI MBOZI GUNIA 200 ZATEKETEA MOTO

September 7, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025124

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025104
Don't Miss
Uncategorized

Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya

By Mbeya YetuSeptember 8, 20251

Habari hiyo ilianza kama tetesi ndogo katika kijiji chetu lakini baadaye ikageuka kuwa gumzo kubwa…

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025

Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia

September 8, 2025

Nilipunguza Uzito Bila Mazoezi, Siri Ni Majani Haya Maalum

September 8, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya

September 8, 2025

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025

Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia

September 8, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025124
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.