Watu nane wamefariki dunia papo hapo baada ya magari mawili, gari moja la abiria na Noah kugongana uso kwa uso katika eneo la Igodima Jijini Mbeya.Ajali hiyo imetokea majira ya saa tano asubuhi ambapo abiria wote waliofariki walikuwa katika gari aina ya Noah ambayo ilikuwa imebeba watu waliokuwa wakielekea msibani Jijini Mbeya.
Trending
- Yard yake ilianza kujaza wateja kutoka pande zote
- RAIS SAMIA AFUNGUKA MAZITO MBELE YA WAZEE!
- Mkutano mkuu Simba vurugu tupu
- KANISA LA EAGT BETHELI GOMBE UYOLE MBEYA NA UJUMBE MZITO KATIKA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LAO
- DKT TULIA HAPOI WALA HABOI AENDELEA KUSAMBAZA UPENDO KWA WAPIGA KURA WAKE KATA YA ILEMI.*
- Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa
- Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”
- Jaji Chande Alivyoulizwa Maswali Magumu na Wahariri wa Vyombo vya Habari Kuhusu Tume ya Uchunguzi

