Taasisi ya Tanzania Yangu Entertainment imekuja na kitu kipya katika jamii ya walimbwende cha Miss Uzalendo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Yangu Ndele Mwanselela amesema kuwa lengo la kuanzisha Mashindano hayo ni kuwapandikiza Uzalendo wa nchi yao Walimbwende ikiwa ni pamoja na kuwaongezea weledi na Uelewa wa Mambo mbalimbali ya nchi yetu.
Trending
- Utengule Usangu Yapata Jezi, Majiko ya Gesi na Msaada wa Kijamii Kutoka kwa Mbunge Ndingo
- Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na Aga Khan Zaanzisha Ushirikiano wa Kuboresha Huduma za Afya
- Shule ya Sekondari Utengule Usangu, H
- Mradi wa Barabara Mlima Nyoka Wamfikisha MCC ASAS, Ataka Kero za Wananchi Zitokomee
- Mradi wa Soko la Matola Wakwama, Meya na MNEC Wakanusha Kukamilika Mei
- JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA
- Halmashauri Yaipongeza Mbeya UWSA Kwa Mradi wa Maji, Asema Utakuza Uwekezaji
- Mpango wa Maendeleo 2026/27: Kasaka Apongeza Mafanikio, Aomba Maboresho

