Taasisi ya Tanzania Yangu Entertainment imekuja na kitu kipya katika jamii ya walimbwende cha Miss Uzalendo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Yangu Ndele Mwanselela amesema kuwa lengo la kuanzisha Mashindano hayo ni kuwapandikiza Uzalendo wa nchi yao Walimbwende ikiwa ni pamoja na kuwaongezea weledi na Uelewa wa Mambo mbalimbali ya nchi yetu.
Trending
- MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA
- Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa
- Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!
- Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi
- Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA KIWILA
- *DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA*
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI

