Taasisi ya Tanzania Yangu Entertainment imekuja na kitu kipya katika jamii ya walimbwende cha Miss Uzalendo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Yangu Ndele Mwanselela amesema kuwa lengo la kuanzisha Mashindano hayo ni kuwapandikiza Uzalendo wa nchi yao Walimbwende ikiwa ni pamoja na kuwaongezea weledi na Uelewa wa Mambo mbalimbali ya nchi yetu.
Trending
- MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi
- PATARI SHIDA PATARI AWAASA MADIWANI: “TUJENGE MBEYA VIJIJINI KWA PAMOJA”
- KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.
- KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA
- MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA
- BALOZI WA TANZANIA, MALAWI AKUTANA NA WATENDAJI KITUO CHA PAMOJA MPAKANI, BAADA YA UCHAGUZI OKT.29
- Samia: Serikali tumejipanga, waje siku yoyote tunawasubiri (kuhusu Maandamano ya Disemba 9
- KAULI YA SAMIA YAWASHTUA WENGI: MWANAMKE MZURI HUPIGANIWA

