Taasisi ya Tanzania Yangu Entertainment imekuja na kitu kipya katika jamii ya walimbwende cha Miss Uzalendo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Yangu Ndele Mwanselela amesema kuwa lengo la kuanzisha Mashindano hayo ni kuwapandikiza Uzalendo wa nchi yao Walimbwende ikiwa ni pamoja na kuwaongezea weledi na Uelewa wa Mambo mbalimbali ya nchi yetu.
Trending
- Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya: Sisi Wenyewe wana Mbeya Ni Sehemu ya Tatizo la Ubora wa Miradi Yetu
- Kumbe alinitumia kupona maumivu ya kufiwa na mkewe!
- Baada ya kusumbuka sana, nimepata kazi ya Sh4.6 milioni
- Dawa ya mwanaume asiyetaka mlee mtoto pamoja
- Sh43.1 milioni za bet zilivyobadili maisha yangu
- Kwa hakika Single Mothers tunapitia mengi katika mahusiano!
- KADA CCM MBEYA AWAAELEZA WAPINZANI,NCHI YETU HAIHITAJI SIASA ZA HARAKATI, INAHITAJI SERA NA ILAINI
- “Daraja Jipya Itewe Lapongezwa โ Wananchi Wamshukuru Rais Samia, Homera Aisifu TARURA”