Usiku wa siku ya Wapendanao (VALENTINE DAY)Jijini Mbeya umekuwa ni wa Kipekee baada ya wapendanao wawili mume na mke mwenye ulemavu kugusa hisia za wapendanao waliohudhuria,
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania Dkt Tulia Ackson aliyewaalika wapendanao hao Salome na Timotheo na baadaye kuchangiwa fedha zilizotosha kuanza ujenzi wa nyumba yao ya kuishi…TEMBELEA Mbeya Yetu Online TV kwa habari zaidi
Trending
- MH. MAHUNDI: Serikali Yaendelea Kuimarisha Mazingira Wezeshi kwa Biashara za Wanawake Dodoma
- Teknolojia Mpya ya Kukaushia Mpunga Yazinduliwa: Dryer ya Tani 8 kwa Saa 4 Yaonyesha Uwezo Wake
- Hali iliyokuwa ikimsumbua ikaondoka polepole
- Alipigiwa simu kutoka kampuni ya mawasiliano na kupewa kazi
- MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA
- Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa
- Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!
- Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi
