Usiku wa siku ya Wapendanao (VALENTINE DAY)Jijini Mbeya umekuwa ni wa Kipekee baada ya wapendanao wawili mume na mke mwenye ulemavu kugusa hisia za wapendanao waliohudhuria,
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania Dkt Tulia Ackson aliyewaalika wapendanao hao Salome na Timotheo na baadaye kuchangiwa fedha zilizotosha kuanza ujenzi wa nyumba yao ya kuishi…TEMBELEA Mbeya Yetu Online TV kwa habari zaidi
Trending
- TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA MAKUBALIANO MAKUBWA YA UWEKEZAJI
- MWALUNENGE ATOA MILIONI 3 KUWAOKOA VIJANA WA KIWIRA BAADA YA TFS KUTAIFISHA VIFAA VYAO
- “MARUFUKU HUU UKAMATAJI TUMEKUBALIANA NA IGP” SIMBA CHAWENE
- WIZARA YA MAMBO YA NDANI YATOA ONYO MAANDAMANO KESHO/WAZIRI ATOA USHAURI KWA WANANCHI/MSIANDAMANE
- TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS
- “Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”
- MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.
- Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.
