Usiku wa siku ya Wapendanao (VALENTINE DAY)Jijini Mbeya umekuwa ni wa Kipekee baada ya wapendanao wawili mume na mke mwenye ulemavu kugusa hisia za wapendanao waliohudhuria,
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania Dkt Tulia Ackson aliyewaalika wapendanao hao Salome na Timotheo na baadaye kuchangiwa fedha zilizotosha kuanza ujenzi wa nyumba yao ya kuishi…TEMBELEA Mbeya Yetu Online TV kwa habari zaidi
Trending
- Nilivyoshinda Bet Kubwa ya Ligi Kuu Uingereza
- Nilivyolazimika Kuacha Kazi Nzuri Ili Kuhifadhi Ndoa Yangu Isivunjike
- TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM
- Nilivyogundua Ndugu Yangu Aliyekuwa Akiniombea Kwa Mabaya Bila Mimi Kujua
- Nilivyogundua siri ya kuishi bila msongo wa Mawazo baada ya kupoteza kila kitu
- Nilivyofanikiwa Kumfanya Mtoto Wangu Aache Tabia ya Ukaidi na Kuanza Kufanya Vizuri Shuleni
- Mume Wangu Aliniacha Bila Sababu, Lakini Miaka Mitatu Baadaye Akaja Akiomba Kunitaka Tena
- Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole
