Usiku wa siku ya Wapendanao (VALENTINE DAY)Jijini Mbeya umekuwa ni wa Kipekee baada ya wapendanao wawili mume na mke mwenye ulemavu kugusa hisia za wapendanao waliohudhuria,
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Tanzania Dkt Tulia Ackson aliyewaalika wapendanao hao Salome na Timotheo na baadaye kuchangiwa fedha zilizotosha kuanza ujenzi wa nyumba yao ya kuishi…TEMBELEA Mbeya Yetu Online TV kwa habari zaidi
Trending
- MH. MAHUNDI: SERIKALI YABORESHA MAWASILIANO KATA YA MKWAMBA RUKWA KUPITIA MIRADI YA UCSAF
- EID EL UDH HIYA MBEYA; TUJIHADHARI NA WACHOCHEZI TUILINDE AMANI YA NCHI YETU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
- AFISA MTENDAJI MKUU WA AfD AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BODI YA GPE MJINI PARIS LEO
- MH. MAHUNDI: KADI MPYA ZA MASTERCARD KUIIMARISHA HUDUMA ZA KIFEDHA TANZANIA
- MALKIA WA NGUVU WALIOSHINDA TUZO KANDA NYANDA ZA JUU KUSINI WATOA USHUHUDA WAO
- WIMBO WA WANAFUNZI SEKONDARI YA IWIJI WAMGUSA RC HOMERA , ATOA MAJIBU PAPO KWA HAPO
- MBEYA EXPORT TRADING: TAWA NA JITIHADA ZA KUENDELEZA HISTORIA YA MJI WA KILWA KUWA URITHI WA DUNIA
- MBEYA EXPORT TRADING: WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TFS YAJA NA HUDUMA UDUNGISHAJI NYUKI KUTIBU MARADHI