#MbeyaYetuTv
Imeelezwa kuwa Watuhumiwa wanne wa mauaji ya mkazi wa Chunya mkoani Mbeya Tenson Ndege Meta wameachiwa huru .
Taarifa kutoka kwa wanafamilia akiwemo mke wa marehemu Rehema Daimon, dada wa marehemu Mage Ndege Meta na mjomba wa marehemu William Mgawe wanasimulia mkasa mzima wa tukio la mauaji na mazingira yenye utata ya kuachiwa huru kwa watuhumiwa hao wa mauaji.
Trending
- Hadi nilishindwa kujiamini nikiwa faragha!
- Rais Samia Ahoji Kilio cha Vijana: “Walikuwa Wanaidai Haki Ipi?”
- Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi
- Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri
- Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu
- Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa
- Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri
- Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha
