#MbeyaYetuTv
Imeelezwa kuwa Watuhumiwa wanne wa mauaji ya mkazi wa Chunya mkoani Mbeya Tenson Ndege Meta wameachiwa huru .
Taarifa kutoka kwa wanafamilia akiwemo mke wa marehemu Rehema Daimon, dada wa marehemu Mage Ndege Meta na mjomba wa marehemu William Mgawe wanasimulia mkasa mzima wa tukio la mauaji na mazingira yenye utata ya kuachiwa huru kwa watuhumiwa hao wa mauaji.
Trending
- MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA
- Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa
- Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!
- Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi
- Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA KIWILA
- *DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA*
- WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI
