#MbeyaYetuTv
Imeelezwa kuwa Watuhumiwa wanne wa mauaji ya mkazi wa Chunya mkoani Mbeya Tenson Ndege Meta wameachiwa huru .
Taarifa kutoka kwa wanafamilia akiwemo mke wa marehemu Rehema Daimon, dada wa marehemu Mage Ndege Meta na mjomba wa marehemu William Mgawe wanasimulia mkasa mzima wa tukio la mauaji na mazingira yenye utata ya kuachiwa huru kwa watuhumiwa hao wa mauaji.
Trending
- MSIGWA Atoa Onyo kwa Vyombo vya Habari vya Nje: Zingatia Maadili
- Namna ya kuimarisha ustawi wa ndoa yako
- RUNGWE WAINGIA MKATABA WA BILLIONI 1.8 NA KAMPUNI YA KAGWA GENERAL SUPPLIES LIMITED KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA
- Rungwe Wasaini Mkataba wa Bilioni 2.8 Kujenga Soko la Kisasa la Ndizi
- Safari Kuelekea Furaha ya Ndoa Iliyokosekana Kwa Muda Mrefu
- Badili upepo wa Biashara Yako Hadi Mafanikio
- Watumishi wazembe hawatakuwa na nafasi-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba
- Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”
