#MbeyaYetuTv
Imeelezwa kuwa Watuhumiwa wanne wa mauaji ya mkazi wa Chunya mkoani Mbeya Tenson Ndege Meta wameachiwa huru .
Taarifa kutoka kwa wanafamilia akiwemo mke wa marehemu Rehema Daimon, dada wa marehemu Mage Ndege Meta na mjomba wa marehemu William Mgawe wanasimulia mkasa mzima wa tukio la mauaji na mazingira yenye utata ya kuachiwa huru kwa watuhumiwa hao wa mauaji.
Trending
- KANISA LA EAGT BETHELI GOMBE UYOLE MBEYA NA UJUMBE MZITO KATIKA KUCHANGIA UJENZI WA KANISA LAO
- DKT TULIA HAPOI WALA HABOI AENDELEA KUSAMBAZA UPENDO KWA WAPIGA KURA WAKE KATA YA ILEMI.*
- Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa
- Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”
- Jaji Chande Alivyoulizwa Maswali Magumu na Wahariri wa Vyombo vya Habari Kuhusu Tume ya Uchunguzi
- DOR ISSAH ARUDI KILELENI: AIBUKA MSHINDI KURA ZA MAONI CCM MBEYA
- Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa
- Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora
