#MbeyaYetuTv
Sakata la watuhumiwa wa mauaji ya mkazi wa Chunya Tenson Ndege Meta,kudaiwa kuachiwa huru, limechukua sura mpya baada ya Kaimu Mkuu wa Mashtaka mkoa wa Mbeya Basilius Namkambe kutoa msimamo wake na kuelezea namna taarifa zilizomo kwenye jalada la Daktari zinavyotofautiana na taarifa zinazodaiwa kuelezwa na ndugu wa marehemu,
Wakili Msomi Namkambe amesema kuwa anashangazwa na taarifa zinazodaiwa na wanandugu kufukuzwa wakati wa kufanyiwa uchunguzi mwili wa marehemu ilhali katika taarifa iliyowasilishwa na Daktari aliyefanya uchunguzi zimemuandika mmoja wa mashuhuda kuwa ni mke wa marehemu Rehema Daimon.l
Trending
- HUPASWI KUJIULIZA MARA MBILI KWANINI USIMPELEKE MWANAO PARADISE MISSION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA
- MDAU WA MAENDELEO NDELE MWASELELA AYAJENGA NA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA
- LIVE: TUKIO LA KUFUNGA MWAKA JIJINI MBEYA
- NDELE MWASELELA AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO YA SHULE PARADISE MISION PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA
- Nilitumia Zaidi ya Uwezo Wangu Sikukuu Njia Rahisi ya Kujipanga Upya Kabla ya Shule Kufunguliwa
- Familia Ilitegemea Mimi Baada ya Sikukuu Hatua Nilizochukua Kurejesha Utulivu wa Nyumbani
- Kila Mwaka Mpya Nilianza na Bahati Mbaya Mwaka Huu Niliingia Nikiwa Tayari
- Tuligombana Wakati wa Krismasi Mazungumzo Moja Yalizuia Kuvunjika kwa Familia
