#MbeyaYetuTv
Sakata la watuhumiwa wa mauaji ya mkazi wa Chunya Tenson Ndege Meta,kudaiwa kuachiwa huru, limechukua sura mpya baada ya Kaimu Mkuu wa Mashtaka mkoa wa Mbeya Basilius Namkambe kutoa msimamo wake na kuelezea namna taarifa zilizomo kwenye jalada la Daktari zinavyotofautiana na taarifa zinazodaiwa kuelezwa na ndugu wa marehemu,
Wakili Msomi Namkambe amesema kuwa anashangazwa na taarifa zinazodaiwa na wanandugu kufukuzwa wakati wa kufanyiwa uchunguzi mwili wa marehemu ilhali katika taarifa iliyowasilishwa na Daktari aliyefanya uchunguzi zimemuandika mmoja wa mashuhuda kuwa ni mke wa marehemu Rehema Daimon.l
Trending
- Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora
- Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe
- Biashara ikashamiri kuliko zote za awali
- VIJANA TUNATAKA KATIBA MPYA, UHURU WA KUONGEA WAZIRI WA VIJANA AWAPA HEKO VIJANA WA MBEYA
- MAHAFALI YA 16 YA SHULE YA AWALI MARYS PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA WAZAZI WAPEWA UJUMBE MZITO
- Binti mrembo alivyopata kazi baada ya msoto mkali
- Baada ya muda mfupi aligundua hisia zake zinarejea taratibu
- Kijana Avunja Ukimya: Amsimulia Waziri Ukweli Uliofichika
