#MbeyaYetuTv
Sakata la watuhumiwa wa mauaji ya mkazi wa Chunya Tenson Ndege Meta,kudaiwa kuachiwa huru, limechukua sura mpya baada ya Kaimu Mkuu wa Mashtaka mkoa wa Mbeya Basilius Namkambe kutoa msimamo wake na kuelezea namna taarifa zilizomo kwenye jalada la Daktari zinavyotofautiana na taarifa zinazodaiwa kuelezwa na ndugu wa marehemu,
Wakili Msomi Namkambe amesema kuwa anashangazwa na taarifa zinazodaiwa na wanandugu kufukuzwa wakati wa kufanyiwa uchunguzi mwili wa marehemu ilhali katika taarifa iliyowasilishwa na Daktari aliyefanya uchunguzi zimemuandika mmoja wa mashuhuda kuwa ni mke wa marehemu Rehema Daimon.l
Trending
- Polisi Mbeya Wakamata Gari la Bhangi Mafurushi 67 Likiwa Linatoka Malawi
- Dkt. Tulia Azindua Ambulansi Mpya kwa Kituo cha Afya Mwakibete ili Kuboresha Huduma za Afya Mbeya
- KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ZA MWAKA 2025
- Vigeregere na Shangwe! Dkt. Tulia Aongoza Mapokezi ya Mabomba ya Mradi wa Maji kutoka Mto Kiwira
- Nsomba Ampongeza Dk. Tulia Ackson kwa kutoa huduma ya matibabu ya Macho Bure Jijini Mbeya
- Dkt. Tulia Ackson Aongoza Zoezi la Upimaji na Matibabu ya Macho Bure Jijini Mbeya
- JK AWAILISHA SALAMU ZA RAIS SAMIA KWA KEPTENI IBRAHIM TRAORE, KIONGOZI WA KIJESHI WA BURKINA FASO MJINI OUAGADOUGOU LEO