#MbeyaYetuTv
Sakata la watuhumiwa wa mauaji ya mkazi wa Chunya Tenson Ndege Meta,kudaiwa kuachiwa huru, limechukua sura mpya baada ya Kaimu Mkuu wa Mashtaka mkoa wa Mbeya Basilius Namkambe kutoa msimamo wake na kuelezea namna taarifa zilizomo kwenye jalada la Daktari zinavyotofautiana na taarifa zinazodaiwa kuelezwa na ndugu wa marehemu,
Wakili Msomi Namkambe amesema kuwa anashangazwa na taarifa zinazodaiwa na wanandugu kufukuzwa wakati wa kufanyiwa uchunguzi mwili wa marehemu ilhali katika taarifa iliyowasilishwa na Daktari aliyefanya uchunguzi zimemuandika mmoja wa mashuhuda kuwa ni mke wa marehemu Rehema Daimon.l
Trending
- WAKAZI MTAA WA KATI SOWETO MBEYA WAINGIA MTAANI WAJITENGENEZEA BARABARA ILIYOHARIBIWA NA MVUA
- WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI LINDI, MTWARA, RUVUMA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI
- MAFUNZO UBORESHAJI WA DAFTARI MIKOA YA MTWARA, LINDI NA RUVUMA YAFUNGULIWA LEO
- DROO YA MASTA BATA YA BENKI YA NMB KUWAPELEKA WATEJA WAKE KULA BATA DUBAI
- Jinsi nilivyoweza kupata mchumba toka nchini Marekani
- MATAPELI CCM WABAINIKA,NI WALE WANAOPITA KUOMBA FEDHA BILA RIDHAA YA CHAMA,WATANGAZIWA KIAMA CHAO
- MH. MAHUNDI VIJANA TUACHE KUTUMIA MITANDAO VIBAYA
- Bosi wangu anang’ang’ania kuzaa mtoto na mke wangu!