#MbeyaYetuTv
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu ameachana na ukapera na kuamua kufunga pingu ya Maisha na Mchumba wake Happiness Msonga.Ibada ya Ndoa ya Sugu imefanyika katika Kanisa Katoliki la Ruanda Jijini Mbeya.Viongozi mbalimbali wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho Freeman Mbowe,wabunge Joseph Selasini, Wilfred Lwakatare na MwanaHip Hop mwenzie Mbunge wa Mikumi Joseph Haule maarufu Profesa Jay waliungana naye katika sherehe hiyo.
Trending
- Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole
- DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA
- Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu
- MWAKIPESILE: ”TUKAANDAMANE OKTOBA 29 KWA AJILI KUWAPIGIA KURA VIONGOZI KWA AMANI”
- “Tunatiki CCM, Tunatunza Amani” — Kauli ya Bodaboda Kiwira Yakonga Moyo wa Suma Fyandomo
- Nilivyomfanya Mtu Aliyenidharau Kuniheshimu na Kunitegemea Kwa Mambo Mengi
- NABII MPANJI AUTANGAZIA UMMA, WAKRISTO WASISHIRIKI MAANDAMANO WAJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA
- Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla

