#MbeyaYetuTv
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu ameachana na ukapera na kuamua kufunga pingu ya Maisha na Mchumba wake Happiness Msonga.Ibada ya Ndoa ya Sugu imefanyika katika Kanisa Katoliki la Ruanda Jijini Mbeya.Viongozi mbalimbali wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho Freeman Mbowe,wabunge Joseph Selasini, Wilfred Lwakatare na MwanaHip Hop mwenzie Mbunge wa Mikumi Joseph Haule maarufu Profesa Jay waliungana naye katika sherehe hiyo.
Trending
- Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Miguu na Mgongo Kwa Muda Mrefu Bila Tiba Kufanya Kazi
- Nilivyorejesha Hisia Zangu Baada ya Muda Mrefu Bila Kutamani Tena Kuwa Karibu na Mume Wangu
- BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI
- Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo
- Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo
- Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote
- Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani
- Nilivyopata Kazi Ndoto Zangu Baada ya Kuacha Kusema “Sina Bahati” Kila Wakati

