#MbeyaYetuTv
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi mradi wa Kiwanda cha Maji cha Tukuyu Springs Water kilichopo katika Kijiji cha Kibisi wilyani Rungwe mkoani MBEYA.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kiwanda hicho Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2019 Mzee Mkongea Ali, amesema kiwanda hicho kinapaswa kuongeza ajira kwa wazawa wa maeneo hayo,
Trending
- MVUA ILIVYOATHIRI BARABARA MITAANI ITEZI MBEYA WANANCHI WAPAAZA SAUTI ,MDAU AJITOKEZA KUTOA SAPOTI
- MVUA ILIVYOATHIRI MIUNDO MBINU MITAANI ITEZI MBEYA WANANCHI WAPAAZA KILIO
- KUSUASUA KWA UJENZI BARABARA NJIA NNE JIJINI MBEYA WANANCHI WATOA MAONI YAO
- CHAKAMWATA YAJA NA TAMKO KWA RAIS ONGEZEKO LA MSHAHARA KIMA CHA CHINI
- MADAKTARI BINGWA 36 WA DKT SAMIA WAWEKA KAMBI SIKU 5 MBEYA KUTOA MATIBABU MIKOA NYANDA ZA JUU KUSINI
- WAANDISHI WA HABARI KUANZA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA TAI-HABARI – MSIGWA
- “Meya: Deni la Kuipandisha Mbeya City Limelipwa!” Maandalizi Mapya Yaanza kwa Kishindo”
- Mkurugenzi Zahara Michuzi atunukiwa cheti cha Mfanyakazi Hodari Mei Mosi Maswa