#MbeyaYetuTv
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi mradi wa Kiwanda cha Maji cha Tukuyu Springs Water kilichopo katika Kijiji cha Kibisi wilyani Rungwe mkoani MBEYA.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kiwanda hicho Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2019 Mzee Mkongea Ali, amesema kiwanda hicho kinapaswa kuongeza ajira kwa wazawa wa maeneo hayo,
Trending
- NMB Yaimarisha Ushirikiano na Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya
- Mbunge Patali Aishukuru Serikali kwa Kuimarisha Miradi ya Maendeleo Mbeya Vijijini
- MHE. MAHUNDI AWASISITIZA WATOTO WA SHULE YA MAADILISHO IRAMBO KUBADILIKA NA KUJENGA MUSTAKABALI MWEMA
- Nilikuwa Nikipoteza Pesa Bila Kujua Inakwenda Wapi Uamuzi Ulioninusuru
- Nilijaribu Kushinda Sport Bet Bila Mafanikio Mwongozo Mmoja Ulinifanya Nilivune Milioni
- HATIMAYE ASANTE MBEYA WAFANYA MAAMUZI MAGUMU WACHAGUA VIONGOZI TAKUKURU KUSIMAMIA MGAWANYO WA MALI
- Mahundi Akagua Maendeleo ya Bweni la Wasichana Jijini Mbeya
- NAIBU WAZIRI MAHUNDI ASISITIZA UWAJIBIKAJI MIRADI VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII.

