#MbeyaYetuTv
Mwenge wa Uhuru umeweka jiwe la Msingi mradi wa Kiwanda cha Maji cha Tukuyu Springs Water kilichopo katika Kijiji cha Kibisi wilyani Rungwe mkoani MBEYA.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Kiwanda hicho Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2019 Mzee Mkongea Ali, amesema kiwanda hicho kinapaswa kuongeza ajira kwa wazawa wa maeneo hayo,
Trending
- MWALUNENGE ATOA MILIONI 3 KUWAOKOA VIJANA WA KIWIRA BAADA YA TFS KUTAIFISHA VIFAA VYAO
- “MARUFUKU HUU UKAMATAJI TUMEKUBALIANA NA IGP” SIMBA CHAWENE
- WIZARA YA MAMBO YA NDANI YATOA ONYO MAANDAMANO KESHO/WAZIRI ATOA USHAURI KWA WANANCHI/MSIANDAMANE
- TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS
- “Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”
- MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.
- Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.
- Haikuwa tu safari ya kupona, bali safari ya kujikubali

