#MbeyaYetuTv #TRA_Songwe #TRA_Mbeya
Watu Watano wamefariki dunia kutokana na ajali ya gari aina ya Landcruiser yenye nambari za Usajili STL 8825 Mali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA ambalo liligonga Lori aina ya FUSO yenye nambari za usajili T 586 ANE.
Ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Hanseketwa Wilayani Mbozi Mkoani Songwe majira ya saa 11 alfajiri leo Agosti 23,2021.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Janeth Magomi amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Meneja Msaidizi Forodha Mkoa Songwe Omar Mzava amewataja marehemu kuwa ni Bernad Mushingi,ambaye ni Mfanyakazi wa Kituo cha Tunduma,Azaria Sivonike (Dereva wa Gari),Joel Mitondwa,Said Budi na Fahad Hassan wote wakiwa ni Wafanyakazi kituo cha Mbeya.
Trending
- Ndipo siku hiyo akashinda Sh17 milioni ya Jackpot
- MAHUNDI ATIMIZA AHADI YA VIFAA VYA UJENZI WA OFISI YA TAWI LA SIMBA
- MBOGA IMEIVA! Wadau Wapiga Jeki Mbao 300+ Kwa Nyumba ya Katibu wa Wazazi
- PATARI SHIDA PATARI AWAASA MADIWANI: “TUJENGE MBEYA VIJIJINI KWA PAMOJA”
- KAULI MPYA KUTOKA CCM KYELA,FEDHA ZIMETOKA AU ZIMEUNGUA ,UCHUNGUZI UNAENDELEA.
- KATIBU MKUU KIONGOZI ZENA AHMED AFUNGUA MKUTANO WA WAJIOLOJIA MBEYA
- MBEYA UWSA YAZINDUA GARI JIPYA LA UTOAJI WA HUDUMA YA KUONDOSHA MAJITAKA
- BALOZI WA TANZANIA, MALAWI AKUTANA NA WATENDAJI KITUO CHA PAMOJA MPAKANI, BAADA YA UCHAGUZI OKT.29
