#MbeyaYetuTv #NFRA #OfisiyaWaziriMkuu
Sept 2,2021: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeshatoa Sh Bil 15 kwa wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kununua mahindi kutoka kwa wakulima.
Amesema uzalishaji wa mahindi nchini umekuwa mkubwa hivyo NFRA imepewa fedha ili kununua mahindi kumwezesha mlulima aweze kujikimu hadi msimu ujao.
Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo wakati akijibu maswali ya Papo kwa Papo bungeni leo akijibu swali Mbunge wa Kwela Mhe. Deus Clement Sangu.
Trending
- MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
- Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
- MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
- Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
- MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
- MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
- MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
- Dourmohamed Issa ashinda kwa kishindo Umeya na kutetea nafasi yake

