#MbeyaYetuTv #NFRA #OfisiyaWaziriMkuu
Sept 2,2021: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeshatoa Sh Bil 15 kwa wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kununua mahindi kutoka kwa wakulima.
Amesema uzalishaji wa mahindi nchini umekuwa mkubwa hivyo NFRA imepewa fedha ili kununua mahindi kumwezesha mlulima aweze kujikimu hadi msimu ujao.
Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo wakati akijibu maswali ya Papo kwa Papo bungeni leo akijibu swali Mbunge wa Kwela Mhe. Deus Clement Sangu.
Trending
- Ndoa Yetu Ilikuwa Baridi Bila Mapigano, Mazungumzo Moja na Mtu Spesheli Yalifungua Mioyo Yetu
- Nilijilaumu Kimya Kimya Kwa Mabadiliko ya Mwili Wangu Nilipoelewa Chanzo cha Ukavu, Afya Yangu Ilianza Kuimarika
- Angalia watoto Kiwira Rungwe walivyo furahia sherehe ya Krismas kwa aina yake
- MWALUNENGE AWAUNGANISHA VIJANA KIWIRA, WALA CHAKULA PAMOJA NA POLISI KUSHEREHEKEA KRISMASI KWA AMANI
- Shinikizo la Damu Liliendelea Kunisumbua Hatua Moja Ndogo Ilinirejesha Afya Yangu
- Jinsi Nilivyorejesha Heshima Yangu Baada Ya Mjomba Kunisaliti Ndoa Na Ukweli Kujitokeza Bila Vurugu
- Nilijaribu Kila Njia Kuokoa Uhusiano Wangu Ulioathirika na Pombe Hii Njia Ilifanya Kila Kitu Rahisi
- Ulinzi Mkali Waimarishwa Kuelekea Krismasi na Mwaka Mpya 2026 โ Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya

