#MbeyaYetuTv #NFRA #OfisiyaWaziriMkuu
Sept 2,2021: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeshatoa Sh Bil 15 kwa wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kununua mahindi kutoka kwa wakulima.
Amesema uzalishaji wa mahindi nchini umekuwa mkubwa hivyo NFRA imepewa fedha ili kununua mahindi kumwezesha mlulima aweze kujikimu hadi msimu ujao.
Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo wakati akijibu maswali ya Papo kwa Papo bungeni leo akijibu swali Mbunge wa Kwela Mhe. Deus Clement Sangu.
Trending
- Dkt. Mwigulu: “Mabasi ya Esther Yamechomwa Wakidhani Ni Yangu”
- Mama Dkt. Samia Atua Arusha atoa neno
- Mbinu ya kupata faida katika biashara ya samaki, uvuvi
- WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU AAGIZA MKANDARASI KUKAMATWA NA KUZUIA HATI YAKE
- Mgombea Umeya Jiji la Mbeya, Noah Mwakisu Arejesha Fomu; Aahidi “Ukombozi wa Jiji”
- MVUA ILIYONYESHA LUMBILA IWAMBI MBEYA MITARO YAFURIKA MAKAZI YA WATU YAJAA MAJI BIASHARA ZASIMAMA
- Afanikiwa kuoa baada ya kuvunja vifungo vya ukoo!
- MWAKIPESILE: ”YALIYOJIRI OKT 29 YAMETUUMIZA,TUMUUNGE MKONO RAIS,WAZIRI MKUU MWIGULU NI MZALENDO”

