#MbeyaYetuTv #NFRA #OfisiyaWaziriMkuu
Sept 2,2021: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali imeshatoa Sh Bil 15 kwa wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kununua mahindi kutoka kwa wakulima.
Amesema uzalishaji wa mahindi nchini umekuwa mkubwa hivyo NFRA imepewa fedha ili kununua mahindi kumwezesha mlulima aweze kujikimu hadi msimu ujao.
Waziri Mkuu Majaliwa ameyasema hayo wakati akijibu maswali ya Papo kwa Papo bungeni leo akijibu swali Mbunge wa Kwela Mhe. Deus Clement Sangu.
Trending
- Serikali Kutoa Mafunzo Maalum kwa Waandishi wa Blogu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
- ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA
- MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
- KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
- MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
- Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
- MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
- WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.