AJIUA KWA KUJICHOMA MOTO.Mnamo tarehe 08.11.2021 majira ya saa 03:00 asubuhi huko Kijiji cha Ihombekilichopo Kata ya Utengule Usongwe, Tarafa ya Usongwe, Wilaya ya MbeyaVijijini, Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la MASHAKA SAIMON @YOKONIA [35] Mkazi wa Kijiji cha Ihombe alikutwa ndani ya nyumba yakeakiwa amefariki dunia kwa kuungua moto.
Ni kwamba kabla ya tukio hilo marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwamuda mrefu na alitelekezwa na mke wake hali iliyopelekea kukata tamaa yamaisha na siku chache zilizopita alifanya jaribio la kujilipua kwa Petrol kabla yakuokolewa na mdogo wake. Upelelezi wa shauri hili unaendelea.Aidha ninatoa wito kwa wananchi/jamii kwa ujumla kutoa taarifa za mtu/watuwenye hali ya kukata tamaa ya Maisha kwa viongozi wao wa vijiji, mitaa kabla yakutokea madhara makubwa kama ilivyotokea kwa marehemu MASHAKASAIMON @ YOKONIA
Trending
- Mwanamke Alipata Furaha Baada ya Kuondoa Migogoro ya Ndoa
- TRA YABAINI ‘TRICK’ WENYE MALORI YA MAFUTA WAFANYABIASHARA WAWILI WAPANDISHWA KIZIMBANI MKOA SONGWE
- Nilikuwa Nikifuatwa na Kivuli Usiku Kila Mara Mpaka Nilipopata Ulinzi wa Kudumu
- “Polisi Watoka Scotland na Maboresho Mapya”
- Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia
- Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga
- Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo
- Mrembo alivyovunja minyororo ya kiroho iliyozuia kupata mume muda mrefu