AJIUA KWA KUJICHOMA MOTO.Mnamo tarehe 08.11.2021 majira ya saa 03:00 asubuhi huko Kijiji cha Ihombekilichopo Kata ya Utengule Usongwe, Tarafa ya Usongwe, Wilaya ya MbeyaVijijini, Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la MASHAKA SAIMON @YOKONIA [35] Mkazi wa Kijiji cha Ihombe alikutwa ndani ya nyumba yakeakiwa amefariki dunia kwa kuungua moto.
Ni kwamba kabla ya tukio hilo marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwamuda mrefu na alitelekezwa na mke wake hali iliyopelekea kukata tamaa yamaisha na siku chache zilizopita alifanya jaribio la kujilipua kwa Petrol kabla yakuokolewa na mdogo wake. Upelelezi wa shauri hili unaendelea.Aidha ninatoa wito kwa wananchi/jamii kwa ujumla kutoa taarifa za mtu/watuwenye hali ya kukata tamaa ya Maisha kwa viongozi wao wa vijiji, mitaa kabla yakutokea madhara makubwa kama ilivyotokea kwa marehemu MASHAKASAIMON @ YOKONIA
Trending
- “Hongera! Umeshinda JACKPOT ya Sh6,800,000”
- MFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA APATA TUZO YA MWANAFUNZI BORA WA SHAHADA YA UZAMILI YA UDAKTARI WA MENO MUHAS.
- Ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu Maadhimisho ya Sikukuu ya Uhuru.
- Haikuwa tu safari ya kupona, bali safari ya kujikubali
- SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.
- MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
- Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
- MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
