AJIUA KWA KUJICHOMA MOTO.Mnamo tarehe 08.11.2021 majira ya saa 03:00 asubuhi huko Kijiji cha Ihombekilichopo Kata ya Utengule Usongwe, Tarafa ya Usongwe, Wilaya ya MbeyaVijijini, Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la MASHAKA SAIMON @YOKONIA [35] Mkazi wa Kijiji cha Ihombe alikutwa ndani ya nyumba yakeakiwa amefariki dunia kwa kuungua moto.
Ni kwamba kabla ya tukio hilo marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi kwamuda mrefu na alitelekezwa na mke wake hali iliyopelekea kukata tamaa yamaisha na siku chache zilizopita alifanya jaribio la kujilipua kwa Petrol kabla yakuokolewa na mdogo wake. Upelelezi wa shauri hili unaendelea.Aidha ninatoa wito kwa wananchi/jamii kwa ujumla kutoa taarifa za mtu/watuwenye hali ya kukata tamaa ya Maisha kwa viongozi wao wa vijiji, mitaa kabla yakutokea madhara makubwa kama ilivyotokea kwa marehemu MASHAKASAIMON @ YOKONIA
Trending
- Baada ya kuijua Nyota yangu ndipo nikafanikiwa haraka maishani
- SIKU NMB MASTABATA ILIVYOWAPIGISHA SHOPPING YA KIBABE WATEJA WAKE MBEYA
- Naibu Waziri Mahundi Aongoza Sherehe ya WAWATA, Mbeya
- RC. Homera: Endeleeni kukiamini chama Cha Mapinduzi kitawaletea Mambo mengi
- “RC Homera: Tuwatafute Popote Walipo Watu Wenye Ulemavu, Tuwape Mikopo”
- MAHUNDI ACHANGIA 2M KIKUNDI CHA IVIMA MAKONGOROSI CHUNYA
- Naota nanyongwa na rafiki zangu, nikiamka nimewasahau!
- WAKAZI MTAA WA KATI SOWETO MBEYA WAINGIA MTAANI WAJITENGENEZEA BARABARA ILIYOHARIBIWA NA MVUA