Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa

November 27, 2025

Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!

November 27, 2025

Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi

November 27, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa
  • Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!
  • Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi
  • Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
  • WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI LA KISASA KIWILA
  • *DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA*
  • WILAYA YA RUNGWE YAMKABIDHI RASMI MKANDARASI WA KAGWA GENERAL SUPPLIES KUANZA KUJENGA SOKO LA NDIZI
  • Karejesha tabasamu la uso wake na ndoa yake
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MBUNGE KINANASI AAHIDI KUJENGA UWANJA WA KISASA WA MPIRA WILAYANI KYELA
Video Mpya

MBUNGE KINANASI AAHIDI KUJENGA UWANJA WA KISASA WA MPIRA WILAYANI KYELA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 7, 2024No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

#mbeyayetutv
MBUNGE KINANASI AAHIDI KUJENGA UWANJA WA KISASA WA MPIRA WILAYANI KYELA
Mbunge wa Jimbo la Kyela Ally Jumbe Kinanasi ameahidi kujenga uwanja wa kisasa wa mpira wa miguu na shughuli mbalimbali za kijamii Wilayani Kyela.

Ameyasema hayo wakati wa kilele cha mashindano ya kuwania Kombe la Samia Maridhiano Cup yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Maridhiano ya Amani Tanzania JMAT yaliyozikutanisha timu za Kasala Fc na Iteya FC ambapo timu ya Kasala ilishinda kwa jumla ya magoli 3-1 na kujitwalia Kombe na kitita cha Shilingi Laki Nane ambapo mshindi wa pili Iteya FC alijinyakulia kiasi cha Shilingi Laki Tano wakati viongozi wa Jumuiya hiyo walipozindua kombe la michuano hiyo wilayani Kyela.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa

November 27, 2025

Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

November 26, 2025

*DKT. MWIGULU AWAONYA WAVUNJIFU WA SHERIA*

November 26, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025239

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024201

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa

By Mbeya YetuNovember 27, 20253

Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, ametunuku Shahada kwa wahitimu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya, katika Mahafali ya 24 yaliyofanyika leo, tarehe 27 Novemba 2025.

Akizungumza katika mahafali hayo, Dkt. Shein amewataka wahitimu kuwa na nidhamu, uadilifu, na bidii ya kazi wanapoingia kwenye soko la ajira na katika nafasi zao za kulitumikia taifa. Ameeleza kuwa dunia ya sasa inahitaji viongozi na wataalamu wanaojituma, wabunifu, na wenye maadili mema.

Amesisitiza kuwa elimu waliyoipata Mzumbe ni nguzo muhimu katika kuchochea maendeleo ya nchi, hivyo ni wajibu wa kila mhitimu kujiandaa kikamilifu na kutumia taaluma yao kwa manufaa ya jamii na taifa kwa ujumla.

Mahafali hayo yamehudhuriwa na viongozi wa Chuo Kikuu Mzumbe, wadau wa elimu, wazazi, na ndugu wa wahitimu kutoka maeneo mbalimbali.

Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!

November 27, 2025

Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi

November 27, 2025

Mbeya Zonal: Mafunzo ya Dharura Yaendelea Kuimarisha Uokozi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

November 26, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Dkt. Shein Awataka Wahitimu wa Mzumbe Mbeya Kujituma kwa Uadilifu na Kulitumikia Taifa

November 27, 2025

Sasa chumba chao kimejaa mapenzi na furaha!

November 27, 2025

Ingawa alikuwa msomi, alijisalimisha ili apate kazi

November 27, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025239

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024201
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.