Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

RC MALISSA AZINDUA DAWATI MAALUMU LA TRA MBEYA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MAENDELEO

September 12, 2025

Mwanamke Alipata Furaha Baada ya Kuondoa Migogoro ya Ndoa

September 12, 2025

TRA YABAINI ‘TRICK’ WENYE MALORI YA MAFUTA WAFANYABIASHARA WAWILI WAPANDISHWA KIZIMBANI MKOA SONGWE

September 12, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • RC MALISSA AZINDUA DAWATI MAALUMU LA TRA MBEYA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MAENDELEO
  • Mwanamke Alipata Furaha Baada ya Kuondoa Migogoro ya Ndoa
  • TRA YABAINI ‘TRICK’ WENYE MALORI YA MAFUTA WAFANYABIASHARA WAWILI WAPANDISHWA KIZIMBANI MKOA SONGWE
  • Nilikuwa Nikifuatwa na Kivuli Usiku Kila Mara Mpaka Nilipopata Ulinzi wa Kudumu
  • “Polisi Watoka Scotland na Maboresho Mapya”
  • Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia
  • Dormohamed Issa: “Nitaendeleza Miradi Tuliyoianza kwa Manufaa ya Wananchi” kata ya isanga
  • Dkt. Tulia Azindua Kampeni Isanga, Amnadi DoorMohamed Issah kwa Kishindo
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WADAU WA UTALII DUNIANI WAVUTIWA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA
Uncategorized

WADAU WA UTALII DUNIANI WAVUTIWA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 7, 2024Updated:March 7, 20241 Comment21 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kampuni kubwa zinazojishughulisha na masuala ya utalii duniani zimevutiwa kuwekeza nchini Tanzania katika huduma za malazi, usafirishaji na utangazaji utalii.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) katika Maonesho ya Utalii ya ITB yanayoendelea jijini Berlin Ujerumani.

“Nimefurahi kukutana na kampuni kubwa ya TUI (TUI Group) yenye Makao Makuu nchini Ujerumani ambayo ina hoteli zaidi ya 400 duniani, meli za kitalii 16, mashirika ya ndege matano na zaidi Mashirika 1,200 ya usafiri” Mhe. Kairuki amesisitiza.

Na Mwandishi Wetu-Berlin

Kampuni kubwa zinazojishughulisha na masuala ya utalii duniani zimevutiwa kuwekeza nchini Tanzania katika huduma za malazi, usafirishaji na utangazaji utalii.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) katika Maonesho ya Utalii ya ITB yanayoendelea jijini Berlin Ujerumani.

“Nimefurahi kukutana na kampuni kubwa ya TUI (TUI Group) yenye Makao Makuu nchini Ujerumani ambayo ina hoteli zaidi ya 400 duniani, meli za kitalii 16, mashirika ya ndege matano na zaidi Mashirika 1,200 ya usafiri” Mhe. Kairuki amesisitiza.

Amefafanua kuwa kampuni hiyo imewekeza Zanzibar na hadi kufikia mwezi Juni mwaka huu itazindua hoteli yao ya tisa lakini kwa upande wa Tanzania Bara inaendelea kufungua safari za ndege ili kuleta watalii katika hifadhi zilizopo nchini Tanzania.

Aidha, Mhe. Kairuki amekutana na kampuni inayosafirisha watalii zaidi ya milioni 1.2 duniani yenye Makao Makuu Marekani na Puertoriko ambayo imeonyesha utayari na kuanzia mwezi Mei mwaka 2024 italeta Wakala wa Usafirishaji zaidi ya 40 kutembelea maeneo mbalimbali nchini Tanzania.

Waziri Kairuki pia amekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Kimataifa Kusafirisha Watalii ya Expedia Group pamoja na kampuni kutoka Slovakia ambayo inapeleka watalii duniani kwa zaidi ya asilimia 85 kutoka nchini humo na ina matangazo katika luninga zao na kujadili namna ya kushirikiana katika kuandaa matangazo ya vivutio vya utalii.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Damas Mfugale amesema ushiriki wa Tanzania kwenye Maonesho hayo ni chachu ya kuongeza idadi ya watalii nchini.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Mwanamke Alipata Furaha Baada ya Kuondoa Migogoro ya Ndoa

September 12, 2025

Nilikuwa Nikifuatwa na Kivuli Usiku Kila Mara Mpaka Nilipopata Ulinzi wa Kudumu

September 11, 2025

Unataka Mtoto wa Kiume? Njia Hii Imenisaidia

September 11, 2025

1 Comment

  1. 📚 You have a gift from unknown user. Receive >> https://telegra.ph/Binance-Support-02-18?hs=d76785e9400022d7bd803b62d483e6cd& 📚 on February 18, 2025 11:13 pm

    xe0ovu

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025207

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025117
Don't Miss
Video Mpya

RC MALISSA AZINDUA DAWATI MAALUMU LA TRA MBEYA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MAENDELEO

By Mbeya YetuSeptember 12, 20250

#mbeyayetutv

Mwanamke Alipata Furaha Baada ya Kuondoa Migogoro ya Ndoa

September 12, 2025

TRA YABAINI ‘TRICK’ WENYE MALORI YA MAFUTA WAFANYABIASHARA WAWILI WAPANDISHWA KIZIMBANI MKOA SONGWE

September 12, 2025

Nilikuwa Nikifuatwa na Kivuli Usiku Kila Mara Mpaka Nilipopata Ulinzi wa Kudumu

September 11, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

RC MALISSA AZINDUA DAWATI MAALUMU LA TRA MBEYA UWEZESHAJI BIASHARA KWA MAENDELEO

September 12, 2025

Mwanamke Alipata Furaha Baada ya Kuondoa Migogoro ya Ndoa

September 12, 2025

TRA YABAINI ‘TRICK’ WENYE MALORI YA MAFUTA WAFANYABIASHARA WAWILI WAPANDISHWA KIZIMBANI MKOA SONGWE

September 12, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025207

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.