Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI
  • MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE
  • RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO
  • WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII
  • Funguka Foundation Yapokea Msaada wa Mashine ya Kufulia Kutoka Wanawake TAKUKURU MBEYA
  • Wanawake TAKUKURU Mbeya Watoa Mashine ya Kufulia kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalum
  • Sheikh Bombo Amuombea Baraka Dkt. Tulia Baada ya Kufuturisha Wananchi
  • “Ndingo: Uongozi wa Samia Ni Ukombozi Mkubwa kwa Wanawake Tanzania.”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE
Uncategorized

MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 12, 2024Updated:March 12, 2024No Comments31 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email



Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde. Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.

Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Aidha, Mkurugenzi mtendaji wa Mbeya UWSA CPA. Gilbert Kayange, amewashukuru GIZ kwa kutoa fedha na kusimamia utekeleza wa mradi huu ambao unaenda kuwa ukombozi kwa jamii,pia amewaasa wananchi kuhakikisha miundombinu inatumika ipasavyo na kutunzwa kwa manufaa vya vizazi vijavyo.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Funguka Foundation Yapokea Msaada wa Mashine ya Kufulia Kutoka Wanawake TAKUKURU MBEYA

March 8, 2026

Nilipata Miscarriage Mara Tano Hadi Nikapoteza Ndoto Zangu Za Kuwa Mama Mpaka Nilipopata Usaidizi Usio na Madhara

January 25, 2026

Nilifanya Kazi Kwa Miaka Miwili Bila Kupata Promotion Ila Nilijitafutia Hiyo Promotion Mwenyewe

January 25, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025141
Don't Miss
Video Mpya

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

By Mbeya YetuMarch 9, 20260

#mbeyayetutv

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026

WANAWAKE WATAKIWA KUENDELEA KUPINGA UKATILI KATIKA JAMII

March 9, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BAKWATA MBEYA YAANDAA SEMINA ELEKEZI KWA MAIMAMU NA WAHADHIRI JUU YA AMANI

March 9, 2026

MWALUNENGE AHOJI KUFUNGIWA MARA KWA MARA UWANJA WA SOKOINE

March 9, 2026

RAIS Samia Suluhu Hassan ATUMA SALAMU ZA POLE KWA ZAHIR ALLY ZORRO

March 9, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025364

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025253

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.