Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”

September 1, 2025

“Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”

September 1, 2025

Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM

September 1, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”
  • “Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”
  • Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM
  • Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover
  • Wakora walivunja duka langu lakini baada ya masaa nne pekee wakarejesha pesa zote
  • Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa
  • Nyuki wa Ajabu Wamfukuza Mwanamke Kwa Aibu Kubwa Kutoka Kwa Nyumba ya Mpenzi
  • Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE
Uncategorized

MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 12, 2024Updated:March 12, 2024No Comments27 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde. Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.

Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Aidha, Mkurugenzi mtendaji wa Mbeya UWSA CPA. Gilbert Kayange, amewashukuru GIZ kwa kutoa fedha na kusimamia utekeleza wa mradi huu ambao unaenda kuwa ukombozi kwa jamii,pia amewaasa wananchi kuhakikisha miundombinu inatumika ipasavyo na kutunzwa kwa manufaa vya vizazi vijavyo.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover

September 1, 2025

Wakora walivunja duka langu lakini baada ya masaa nne pekee wakarejesha pesa zote

August 31, 2025

Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa

August 30, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025116

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 202596
Don't Miss
Video Mpya

PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”

By Mbeya YetuSeptember 1, 20250

Dkt. David Nassoro, Daktari Bingwa Mbobezi wa Mishipa ya Fahamu, amefafanua kuhusu magonjwa mawili yanayozua changamoto kubwa katika jamii – Kiharusi kinachowakumba zaidi watu wazima, na Degedege linaloathiri watoto wadogo.

Akieleza kwa undani, Dkt. Nassoro amesema Kiharusi hutokana na kuziba au kupasuka kwa mishipa ya damu kwenye ubongo.

“Dalili za awali ni muhimu kuzitambua. Mgonjwa akipata ganzi upande mmoja, kushindwa kuongea au kuona, lazima apelekwe hospitali haraka – ndani ya saa tatu tuna nafasi kubwa ya kuokoa maisha,” amesema.

Kwa upande mwingine, Degedege limekuwa tatizo linalowachanganya wazazi, wengi wakidhani ni uchawi. Lakini Dkt. Nassoro amesisitiza kisayansi kuwa chanzo kikuu ni homa kali, hasa malaria.

“Wazazi wanapaswa kuelewa kuwa mtoto akianza kutetemeka, kupoteza fahamu kwa muda, au kuvuja mate, wanapaswa kumpeleka hospitalini mara moja. Kukaa nyumbani au kutegemea tiba zisizo sahihi kunaongeza hatari,” ameongeza.

Akihitimisha, Dkt. Nassoro amesema kinga ni hatua ya kwanza, ikiwemo kuzingatia lishe bora, kupunguza msongo wa mawazo, kufanya mazoezi, na kwa upande wa watoto kutumia vyandarua vyenye dawa ili kujikinga na malaria.

“Elimu kwa jamii ndiyo tiba ya kwanza. Tukiepuka imani potofu na kuzingatia huduma za kitabibu, tunaweza kuokoa maisha ya maelfu ya Watanzania,” amesema Dkt. Nassoro.

“Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”

September 1, 2025

Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM

September 1, 2025

Binti Aliyeishi Mitaani Leo Anaendesha Gari Aina ya Range Rover

September 1, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

PART.1- Dr. David Nassoro “Fahamu Kiharusi na Degedege: Sababu, Dalili na Namna ya Kukabiliana Nayo”

September 1, 2025

“Kasaka: Chunya Tumejipanga, Kura za Rais Samia Ni Ushindi wa Kishindo”

September 1, 2025

Mama Samia Kutua Mbeya 4/9: Wanambeya Wajipanga Kumlaki Mgombea Urais CCM

September 1, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025206

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025116
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.