Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA

November 15, 2025

Kutoka Kupoteza Kazi Hadi Kujiamini Tena Safari Yangu Ya Kurudi Kuwa Mwanaume wa Nyumba

November 15, 2025

Nilivyopata Utajiri Usionisumbua Baada ya Kuacha Kufuata Marafiki Wenye Mashinikizo

November 15, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA
  • Kutoka Kupoteza Kazi Hadi Kujiamini Tena Safari Yangu Ya Kurudi Kuwa Mwanaume wa Nyumba
  • Nilivyopata Utajiri Usionisumbua Baada ya Kuacha Kufuata Marafiki Wenye Mashinikizo
  • BAKWATA YATOA TAMKO JUU YA MATUKIO YA OKT 29 SIKU YA UCHAGUZI MKUU LASOMWA KWA WAISLAMU NCHI NZIMA
  • Nilivyofanikiwa Kuacha Kukasirika Haraka na Kuishi Kwa Amani na Watu
  • Nilivyopata Upendo wa Kweli Baada ya Miaka ya Kutumiwa na Kuumizwa
  • Rais Samia Atoa Msamaha kwa Waliojiingiza Kwenye Machafuko Bila Kudhamiria
  • Dkt. Samia Amuapisha Dkt. Mwigulu: Tanzania Yapata Waziri Mkuu Mpya
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE
Uncategorized

MBEYA UWSA YAKABIDHI VYOO-SINDE

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 12, 2024Updated:March 12, 2024No Comments27 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde. Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mbeya, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Serikali ya Ujerumani(GIZ), leo tarehe 12/03/2024, wamekabidhi Mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya usafi katika Kata ya Sinde na Shule ya Sekondari ya Sinde.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano, mwakilishi wa GIZ Mbeya, Mhandisi Agnes Sigareti, amesema lengo la mradi huu ni kuboresha afya na usafi wa mazingira na kutokomeza magonjwa ya mlipuko katika Kata Sinde kwa kutumia teknolojia rahisi ya kutoa majitaka katika makazi yasiyo na mpangilio rasmi.

Mradi huu umegharimu Shilingi milioni 400.6, umelenga maeneo makubwa mawili ambayo ni Uboreshaji wa miundombinu ya Usafi shuleni uliohusisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo vya watoto wa kike kwa kuzingatia mahitaji maalumu, uboreshaji wa vyoo 5 vya walimu, sehemu ya kunawia mikono, chomeo la taulo za kike.
Pia, GIZ imewezesha, ujenzi wa uzio wa sehemu za kuchotea maji (Africa Spring) na Mfumo wa usafirishaji wa majitaka Kata ya Sinde.

Aidha, Mkurugenzi mtendaji wa Mbeya UWSA CPA. Gilbert Kayange, amewashukuru GIZ kwa kutoa fedha na kusimamia utekeleza wa mradi huu ambao unaenda kuwa ukombozi kwa jamii,pia amewaasa wananchi kuhakikisha miundombinu inatumika ipasavyo na kutunzwa kwa manufaa vya vizazi vijavyo.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Kutoka Kupoteza Kazi Hadi Kujiamini Tena Safari Yangu Ya Kurudi Kuwa Mwanaume wa Nyumba

November 15, 2025

Nilivyopata Utajiri Usionisumbua Baada ya Kuacha Kufuata Marafiki Wenye Mashinikizo

November 15, 2025

Nilivyofanikiwa Kuacha Kukasirika Haraka na Kuishi Kwa Amani na Watu

November 14, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025229

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025220

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA

By Mbeya YetuNovember 15, 20259

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Novemba 15, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na kuziagiza hospitali zote nchini zihakikishe wajawazito wanapofika hospitali wahudumiwe kwa haraka ili kuokoa maisha ya mama na mtoto.

Pia, Waziri Mkuu ameiagiza Wizaya ya Afya, Bohari ya Dawa (MSD) na Hospitali zote nchini ziweke vipaumbele vya kuwa na dawa kulingana na mahitaji ya eneo husika. “ Haipendezi mwananchi kufika hospitali na kupatiwa vipimo vyote kisha anaambiwa dawa akanunue kwingine, kama duka binafsi linaweza kupata dawa hizo, inawezekanaje hospitali za serikali hapati? Naagiza Hospitali zote ziwe na dawa.”

Ametoa maagizo hayo wakati akizungumza na wananchi nje ya hospitali hiyo baada ya kutembelea wananchi waliofika hospitalini hapo kupata huduma mbalimbali za kitabibu ambapo amesisitiza wananchi waendelee kuhudumiwa vizuri kwa kuwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kwa ajili ya kuboresha huduma za afya nchini vikiwemo vifaa tiba na dawa.

Kadhalika Mheshimiwa Waziri Mkuu ameziagiza hospitali zote nchini zihakikishe zinakuwa na vifaa vya usafi binafsi vya dharura vikiwemo ndoo na beseni katika wodi za wazazi ili viwasaidie akinamama wasiokuwa na vifaa hivyo. “Ujauzito sio suala la dharura vifaa kama ndoo tunapaswa kuwa navyo katika hospitali zetu za serikali.”

Dkt. Mwigulu ametumia fursa hiyo kumpongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya katika uboreshaji wa huduma za afya nchini. Waziri Mkuu akiwa hospitalini hapo, wananchi walimueleza kuwa wanahudumiwa vizuri na kwa uangalizi wa karibu.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wagonjwa na wananchi wanaoguza ndugu zao wamempongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wananchi wanapatiwa huduma bora za afya.

Kutoka Kupoteza Kazi Hadi Kujiamini Tena Safari Yangu Ya Kurudi Kuwa Mwanaume wa Nyumba

November 15, 2025

Nilivyopata Utajiri Usionisumbua Baada ya Kuacha Kufuata Marafiki Wenye Mashinikizo

November 15, 2025

BAKWATA YATOA TAMKO JUU YA MATUKIO YA OKT 29 SIKU YA UCHAGUZI MKUU LASOMWA KWA WAISLAMU NCHI NZIMA

November 14, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA

November 15, 2025

Kutoka Kupoteza Kazi Hadi Kujiamini Tena Safari Yangu Ya Kurudi Kuwa Mwanaume wa Nyumba

November 15, 2025

Nilivyopata Utajiri Usionisumbua Baada ya Kuacha Kufuata Marafiki Wenye Mashinikizo

November 15, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025229

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025220

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.