Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI

November 11, 2025

Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

November 11, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI
  • Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo
  • Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo
  • Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote
  • Nilivyofanikiwa Kumaliza Migogoro Kati ya Watoto Wangu na Kurudisha Upendo Nyumbani
  • Nilivyopata Kazi Ndoto Zangu Baada ya Kuacha Kusema “Sina Bahati” Kila Wakati
  • VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.
  • Nilivyoshinda Bet Kubwa ya Ligi Kuu Uingereza
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso (Mb) Awasili Paris
Uncategorized

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso (Mb) Awasili Paris

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 13, 2024No Comments7 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso (Mb), leo Tarehe 13 March 2024 Tarehe amewasili Paris nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Mhe Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Ali Jabir Mwadini kwa mwaliko maalum wa Benki ya Maendeleo ya Ufaransa (Agence Française de Développement – AFD). Paris-Ufaransa.

 

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso (Mb), leo Tarehe 13 March 2024 Tarehe amewasili Paris nchini Ufaransa na kupokelewa na mwenyeji wake Mhe Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Ali Jabir Mwadini kwa mwaliko maalum wa Benki ya Maendeleo ya Ufaransa (Agence Française de Développement – AFD).

 

Katika ziara hiyo, Mheshimiwa Aweso atafanya mazungumzo na Mheshimiwa Chrysoula Zacharopoulou, Waziri wa Nchi-Maendeleo ya Uchumi Ufaransa (Secretary of State for Economic Development) pamoja na Uongozi wa Shirika la AFD.

Mazungumzo hayo yatajikita katika uwekezaji na utekelezaji wa awamu ya pili ya Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira Ziwa Victoria katika Jiji la Mwanza ambapo awamu ya kwanza imetekelezwa kwa ushirikiano baina ya Serikali, Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (European Investment Bank) na Benki ya maendeleo ya Ufaransa (AFD) kwa gharama ya takribani Euro Milioni 135.5 

Aidha Waziri Aweso atafanya mazungumzo na Uongozi wa Benki ya Maendeleo AFD ukiongozwa na Marie-Hélène LOISON Naibu Meneja Mkuu wa AFD ambapo kwa pamoja watajadili utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati inayoendelea katika miji ya Shinyanga na Morogoro inayofadhiliwa na Serikali ya Ufaransa kupitia Benki yake ya Maendeleo (AFD) kwa gharama ya Jumla ya Euro 145 milioni.

Vilevile, mazungumzo hayo yatahusu kupanua wigo wa uwekezaji katika Programu ya Maji na Usafi wa Mazingira katika Ziwa Victoria awamu ya Pili yenye thamani ya Euro Milioni 180.

Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Aweso atashiriki katika mahafali ya watumishi wa Sekta ya Maji katika chuo cha AgroParsTech kupitia ufadhili wa AFD ikiwa ni pamoja na wakurugezi wa Mamlaka za Maji waliokua wakiongeza ujuzi.

Katika hafla hii inatarajiwa kuwa Mheshimiwa Aweso atafanya mazungumzo ya kuanzisha ushirikiano kati ya AgroParisTech na Chuo cha Maji.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

November 11, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025226

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Video Mpya

BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI

By Mbeya YetuNovember 11, 20252

Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

November 11, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025

Nilivyolipa Madeni Yote na Kuanzisha Biashara Mpya Bila Kukopa Popote

November 10, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

BABALEVO AINGIA KWENYE 18 ZA SPIKA ZUNGU AKILA KIAPO BUNGENI

November 11, 2025

Nilivyofanikiwa Kuwatoa Watoto Wangu Kwenye Uraibu wa Simu na Kuwarudisha Kwenye Masomo

November 11, 2025

Nilivyopata Nafuu Baada ya Kuugua Tumbo Kila Siku Bila Kujua Chanzo

November 10, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025226

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025213

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024197
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.