Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98

December 19, 2025

Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika

December 19, 2025

Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni

December 19, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98
  • Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika
  • Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni
  • This time I give steve a link (no mid-stream ads)
  • What is Charlie Kirk’s Security Man Brian Harpole Twisting and Squeezing at the Big Bang? – #33
  • Aliachwa na Mpenzi Wake Siku Moja Kabla ya Harusi Miezi Michache Baadaye Dunia Ilimshangaa
  • BREAKING! MIT SCIENTIST SUSPECT MANHUNT , KASH INTERVIEW, TRUMP ADDRESS, NEWSOM & REAGAN, BLACK TV
  • View the subsequent content through the homepage link#usa #shortsvideo #newyork
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA
Uncategorized

WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 15, 2024Updated:March 15, 2024No Comments14 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa. Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka. Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.
“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60” Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika

December 19, 2025

Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni

December 19, 2025

Aliachwa na Mpenzi Wake Siku Moja Kabla ya Harusi Miezi Michache Baadaye Dunia Ilimshangaa

December 18, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025264

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024209

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025131
Don't Miss
Video Mpya

Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98

By Mbeya YetuDecember 19, 20251

Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Mathew Kundo ametembelea chanzo cha maji mto Kiwira Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya ambacho kimefikia asililimia tisini na nane huku akisema zaidi ya shilingi bilioni nne zimetolewa na Serikali kuendeleza mradi huo pamoja na kutoa wito kwa wananchi kutunza chanzo cha maji ili mradi uweze kufanya kazi kwa muda mrefu. Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya (MBEYAUWSA) amesema mradi huo utakuwa na ujenzi wa chanzo cha maji, bwawa la kutibu maji,utandazaji wa mabomba na tanki la kusambazia maji.

Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika

December 19, 2025

Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni

December 19, 2025

This time I give steve a link (no mid-stream ads)

December 19, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Naibu Waziri Kundo: Mradi wa Maji Mto Kiwira Umefikia Asilimia 98

December 19, 2025

Madaktari Walimwambia Ataishi na Maumivu Milele Lakini Ndani ya Miezi Sita Kila Kitu Kilibadilika

December 19, 2025

Walimdharau Kwa Miaka Kwa Sababu ya Umaskini Leo Anasaini Contracts za Serikali Zenye Thamani ya Mabilioni

December 19, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025264

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024209
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.