Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

July 3, 2025

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
  • KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
  • MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
  • Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
  • MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
  • WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
  • MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
  • MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA
Uncategorized

WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 15, 2024Updated:March 15, 2024No Comments13 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa. Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka. Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.
“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60” Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025

June 9, 2025

AFISA MTENDAJI MKUU WA AfD AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BODI YA GPE MJINI PARIS LEO

June 4, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202460
Don't Miss
Video Mpya

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

By Mbeya YetuJuly 3, 20250

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Ndele Mwaselela, amekutana na waandishi wa habari na kutoa ufafanuzi kuhusu uvumi unaoenea miongoni mwa baadhi ya wanachama wa chama hicho kuwa amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini.

Katika tamko lake kwa vyombo vya habari, Mwaselela amekanusha taarifa hizo na kusisitiza kuwa hana nia ya kugombea ubunge bali anaendelea kujikita kikamilifu katika kulitumikia Chama katika nafasi yake ya uongozi ndani ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI

July 3, 2025

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.