Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole

October 29, 2025

DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA

October 29, 2025

Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu

October 27, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole
  • DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA
  • Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu
  • MWAKIPESILE: ”TUKAANDAMANE OKTOBA 29 KWA AJILI KUWAPIGIA KURA VIONGOZI KWA AMANI”
  • “Tunatiki CCM, Tunatunza Amani” — Kauli ya Bodaboda Kiwira Yakonga Moyo wa Suma Fyandomo
  • Nilivyomfanya Mtu Aliyenidharau Kuniheshimu na Kunitegemea Kwa Mambo Mengi
  • NABII MPANJI AUTANGAZIA UMMA, WAKRISTO WASISHIRIKI MAANDAMANO WAJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA
  • Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA
Uncategorized

WANANCHI ELFU 9,682 KUNUFAIKA NA MRADI WA BWAWA LA MASAKA, IRINGA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 15, 2024Updated:March 15, 2024No Comments13 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa. Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka. Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.
“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60” Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli

NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi amemuagiza Mkurugenzi wa Bonde la Rufiji kukutana na kuzungumza na wananchi wanaomiliki maeneo yaliyo nje ya mita 60 kwenye bwawa la Masaka lilipo Mkoani Iringa.

Mahundi ametoa maagizo hayo akiwa kwenye muendelezo wa ziara Mkoani humo na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira leo Machi 14 2024 ambapo kamati imetembelea na kukagua ujenzi wa bwawa hilo la Masaka.

Akiwa katika ziara hiyo Mhandisi Mahundi pamoja na kamati wameweza kutembelea ujenzi wa bwawa hilo na kuzungumza na wananchi wa vijiji vya Sadani, Makota na Kaning’ombe ambao ni wanufaika wa bwawa hilo lililojengwa na Wizara ya Maji kupitia Bodi ya Maji Bonde la Rufiji.

“Bwawa hilo litakua na msaada mkubwa katika upatikanaji wa maji majumbani, maji kwaajili ya kilimo, uvuvi pamoja na utalii hivyo nikuagize Mkurugenzi wa bonde la Rufiji uweze kurudi kuzungumza na wananchi hawa wamiliki ambao maeneo yao yapo nje ya mita 60”

Akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa bwawa hilo Mkurugenzi wa Rasilimali maji Dkt. George Lugomela ameelezea kuwa litasaidia kuongeza upatikanaji wa rasilimali za maji kwa matumizi ya nyumbani, mifugo, kilimo cha umwagiliaji na Uvuvi.

Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe.Jackson Kiswaga(Mb) ameagiza chanzo cha bwawa hilo kijengewe miundombinu ya kusambaza ili lianze kutumika,na kuwataka liwekewe mipaka ili kuepuka kuingiliwa na shughuli za wananchi

Bwawa la Masaka ni Bwawa lililojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, kata ya Masaka yenye vijiji vitatu ambapo ujenzi wa bwawa hilo umetekelezwa na wataalam wa ndani (Force Account) na umegharimu shilingi bilioni 1.69 na kukamilika kwa mradi huo kutasaidia upatikanaji wa maji kwa vijiji hivyo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa havina maji ya uhakika .

Mwisho

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu

October 27, 2025

Nilivyomfanya Mtu Aliyenidharau Kuniheshimu na Kunitegemea Kwa Mambo Mengi

October 27, 2025

Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla

October 26, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025201

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024195

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Video Mpya

Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole

By Mbeya YetuOctober 29, 20258

DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA

October 29, 2025

Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu

October 27, 2025

MWAKIPESILE: ”TUKAANDAMANE OKTOBA 29 KWA AJILI KUWAPIGIA KURA VIONGOZI KWA AMANI”

October 27, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Dkt. Tulia Aongoza kwa Vitendo, Apiga Kura na Kuhamasisha Ushindi wa CCM Uyole

October 29, 2025

DKT MARY MWANJELWA AUNGANA NA WANANCHI KUPIGA KURA AHAMASISHA KUJITOKEZA KWA WINGI AMANI IMETAWALA

October 29, 2025

Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu

October 27, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025201

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024195
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.