Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa

August 30, 2025

Nyuki wa Ajabu Wamfukuza Mwanamke Kwa Aibu Kubwa Kutoka Kwa Nyumba ya Mpenzi

August 29, 2025

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot

August 29, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa
  • Nyuki wa Ajabu Wamfukuza Mwanamke Kwa Aibu Kubwa Kutoka Kwa Nyumba ya Mpenzi
  • Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot
  • WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI
  • MA-EMSII MBEYA WALIA NA UTITIRI WA TOZO NA KODI KATIKA KAZI ZAO,DC ITUNDA AAHIDI KUTAFUTIA SULUHU
  • Wazazi Wafichua Mbinu Walizotumia Kuwalinda Watoto Wao Dhidi ya Jicho Baya na Uovu
  • MH. MICHAEL MAKAO ALIVYOREJESHA FOMU YA UDIWANI KATA RUJEWA AAHIDI KUENDELEZA ALIPOISHIA
  • Mwanamke Afumaniwa Akipika Chakula Usiku kwa Mtu Asiyeonekana, Jirani Atoa Neno
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MRADI WA KIWIRA WAANZA KUTEKELEZWA WAFIKIA ASILIMIA 10
Habari za Kitaifa

MRADI WA KIWIRA WAANZA KUTEKELEZWA WAFIKIA ASILIMIA 10

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 18, 2024Updated:March 18, 2024No Comments34 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kaimu Mtendaji Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya Mhandisi Barnabas Konga katika maadhimisho ya wiki ya maji iliyoanza machi 16,2024 ameendelea kutolea taarifa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mamlaka taarifa iliyoambatana na ziara ya kuitembelea miradi hiyo ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu shilingi bilioni 250 unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji ambapo Kampuni ya China Railway Connstuction ndiyo imepewa kandarasi chini ya Mhandisi Mshauri Kampuni ya GKW Consultant awamu ya kwanza zitatumika shilingi bilioni 119.

Konga amesema Jiji la Mbeya na Mbalizi lina vyanzo ishirini ambavyo vinazalisha lita milioni 66.5 kwa siku wakati uhitaji ni lita milioni 90 kwa siku.

Mhandisi Barnabas Konga katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan wametekeleza miradi mbalmbali kwa gharama ya shilingi bilioni kumi.

Mhandisi Mkazi wa mradi wa Kiwira Audax Rweyemamu amesema mradi umeanza kutekelezwa mwezi April 2023 na utakamilika kwa kipindi cha miezi 24 mwaka 2025 utakuwa unatoa maji.

Ujenzi umefikia asilimia kumi mpaka sasa na utazalisha lita milioni 117 kwa siku ambapo unakuwa na sehemu ya kutibu maji pia matanki makubwa mawili eneo la Sistila na Forest Mpya.

Kaimu Mtendaji Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya Mhandisi Barnabas Konga katika maadhimisho ya wiki ya maji iliyoanza machi 16,2024 ameendelea kutolea taarifa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Mamlaka taarifa iliyoambatana na ziara ya kuitembelea miradi hiyo ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu shilingi bilioni 250 unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Maji ambapo Kampuni ya China Railway Connstuction ndiyo imepewa kandarasi chini ya Mhandisi Mshauri Kampuni ya GKW Consultant awamu ya kwanza zitatumika shilingi bilioni 119.

Konga amesema Jiji la Mbeya na Mbalizi lina vyanzo ishirini ambavyo vinazalisha lita milioni 66.5 kwa siku wakati uhitaji ni lita milioni 90 kwa siku.

Mhandisi Barnabas Konga katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan wametekeleza miradi mbalmbali kwa gharama ya shilingi bilioni kumi.

Baadhi ya miradi ni pamoja na mradi wa Mwaashali uliogharimu shilingi milioni 400 unazalisha lita milioni moja kwa siku,mradi wa Nzovwe Isyesye umegharimu shilingi milioni 930 unaozalisha lita milioni nne kwa siku,mradi wa UVIKO unazalisha lita milioni kwa siku,Mwasenkwa Itagano wenye thamani ya shilingi bilioni 5.2 unazalisha lita milioni 2.6,mradi wa Ilunga unazalisha lita milioni kumi.

Kwa upande wake Mhandisi Mkazi wa mradi wa Kiwira Audax Rweyemamu amesema mradi umeanza kutekelezwa mwezi April 2023 na utakamilika kwa kipindi cha miezi 24 mwaka 2025 utakuwa unatoa maji.

Ujenzi umefikia asilimia kumi mpaka sasa na utazalisha lita milioni 117 kwa siku ambapo unakuwa na sehemu ya kutibu maji pia matanki makubwa mawili eneo la Sistila na Forest Mpya.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Mbeya Yatikisika! Dkt. Tulia Achukua Fomu Ubunge Jimbo Jipya la Uyole

August 25, 2025

TAKUKURU Mbeya Yaokoa Milioni 47 na Kuongeza Mapato ya Halmashauri Zaidi ya Milioni 200

August 19, 2025

MGOMBEA NCCR MAGEUZI AJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA UTEUZI

August 15, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025205

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024183

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025102

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 202593
Don't Miss
Uncategorized

Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa

By Mbeya YetuAugust 30, 20252

Ninaishi mjini Nakuru, na kwa muda mrefu nimekuwa nikijishughulisha na biashara ya kuuza nguo. Nilianza…

Nyuki wa Ajabu Wamfukuza Mwanamke Kwa Aibu Kubwa Kutoka Kwa Nyumba ya Mpenzi

August 29, 2025

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot

August 29, 2025

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa

August 30, 2025

Nyuki wa Ajabu Wamfukuza Mwanamke Kwa Aibu Kubwa Kutoka Kwa Nyumba ya Mpenzi

August 29, 2025

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot

August 29, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025205

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024183

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025102
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.