Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa wa Songwe ulioko Mkoani Mbeya na Kupokelewa na Mwenyeji wake Cde: Juma Z. Homera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwaajiri ya kushiriki Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani Leo Tarhe18 March 2024 ambalo Kitaifa linafanyika Jijini Mbeya katika Ukumbi wa Eden Highlands Hotel.
Trending
- VIONGOZI MBALIMBALI WASHIRIKI MAZISHI YA KATIBU WA UWT MKOA WA MBEYA
- Cde. Afrey Nsomba: Marehemu Lucia Sulle alikuwa na msimamo
- MAKALA: ZIARA YA WANAHABARI MBEYA ILIVYOSHUHUDIA MAKUBWA YA MAMLAKA MAJI SAFI MBEYA (MBEYA-UWSA)
- DC KYELA JOSEPHINE MANASE ACHANGISHA MIL 73 UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU YA BAKWATA MBEYA
- MH. MHANDISI MAHUNDI ACHANGIA TSH MILIONI 10 KWENYE UZINDUZI WA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA.
- MH. Mahundi (MWEF) wafuturisha Waumini zaidi ya 300 wa dini ya Kiislam jijini Mbeya
- MARY CHATANDA ALAANI SHAMBULIO LA MWENEZI BAWACHA,AAHIDI
- TUME TULIA NA SAMIA POPOTE MLIPO UJUMBE UWAFIKIE