Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

NABII MPANJI AUTANGAZIA UMMA, WAKRISTO WASISHIRIKI MAANDAMANO WAJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA

October 26, 2025

Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla

October 26, 2025

DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani

October 25, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • NABII MPANJI AUTANGAZIA UMMA, WAKRISTO WASISHIRIKI MAANDAMANO WAJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA
  • Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla
  • DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani
  • RC Malisa Atoa Wito wa Kulipa Leseni Wakati Akikabidhi Madawati 1,000 kwa Shule 15 Jijini Mbeya
  • ISAACK MWAKIBOMBAKI MGOMBEA UDIWANI KATA RUANDA MBEYA AELEZA DHAMIRA YAKE KWA WAKAZI WA RUANDA
  • Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet
  • Nilivyopata Flat Tummy Baada ya Kuteseka na Kitambi kwa Miaka Mitatu
  • Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa Atoa Rai ya Kudumisha Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MADIWANI VITI MAALUM JIJI LA MBEYA WATEMBELEA MIRADI YA MAJI
Habari za Kitaifa

MADIWANI VITI MAALUM JIJI LA MBEYA WATEMBELEA MIRADI YA MAJI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 19, 2024Updated:March 19, 2024No Comments27 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Madiwani wa Viti Maalum Jiji la Mbeya na Mbeya Vijini wametembelea miradi miwili ya maji inayotekelezwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya.Akitoa taarifa mbele ya Madiwani hao Afisa Uhusiano Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya Neema Stanton amesema lengo la ziara hiyo ni kuielezea miradi mbalimbali inayotekelezwa ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji iliyoanza machi 16,2024 na kilele chake ni machi 22,2024.Aidha Afisa Uhusiano wa Mamlaka ameipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza fedha nyingi kwenye miradi ya maji ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 250.

Attu Msai Diwani wa Viti Maalum kwa niaba ya Madiwani ameipongeza Mamlaka kwa namna inavyoisimamia na kuitekeleza miradi mbalimbali.

Katika hatua nyingine Msai amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kipindi chake cha maiaka mitatu”ameupiga mwingi”alisema Msai.

Wiki ya maadhimisho ya Wiki ya Maji mbali ya kutembelea miradi itakwenda pamoja na zoezi la kusafisha vyanzo vya maji na upandaji miti kwenye vyanzo vya maji.

Madiwani wa Viti Maalum Jiji la Mbeya na Mbeya Vijini wametembelea miradi miwili ya maji inayotekelezwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya.

Akitoa taarifa mbele ya Madiwani hao Afisa Uhusiano Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya Neema Stanton amesema lengo la ziara hiyo ni kuielezea miradi mbalimbali inayotekelezwa ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji iliyoanza machi 16,2024 na kilele chake ni machi 22,2024.

Miradi iliyotembelewa ni mradi wa llunga uliopo Mbeya vijini wenye thamani ya shilingi bilioni 4.8 utakaunufaisha wakazi Mbalizi na Iwambi Jijini Mbeya pia mradi wa Itagano Mwasen kwa uliogharimu shilingi bilioni 5.2 unaonufaisha wakazi wa Mwasenkwa,Ilemi na Iganzo.

Aidha Afisa Uhusiano wa Mamlaka ameipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza fedha nyingi kwenye miradi ya maji ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 250.

Katika hatua nyingine Stanton amesema wao ni watekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Kwa upande wake Attu Msai Diwani wa Viti Maalum kwa niaba ya Madiwani ameipongeza Mamlaka kwa namna inavyoisimamia na kuitekeleza miradi mbalimbali.

Katika hatua nyingine Msai amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kipindi chake cha maiaka mitatu”ameupiga mwingi”alisema Msai.

Wiki ya maadhimisho ya Wiki ya Maji mbali ya kutembelea miradi itakwenda pamoja na zoezi la kusafisha vyanzo vya maji na upandaji miti kwenye vyanzo vya maji.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla

October 26, 2025

Kijana Asiyeamini Katika Bahati Anashangaza Wote Baada ya Kushinda Kiasi Kikubwa Kwenye Bet

October 25, 2025

Nilivyopata Flat Tummy Baada ya Kuteseka na Kitambi kwa Miaka Mitatu

October 24, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025196

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024194

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025126
Don't Miss
Video Mpya

NABII MPANJI AUTANGAZIA UMMA, WAKRISTO WASISHIRIKI MAANDAMANO WAJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA

By Mbeya YetuOctober 26, 20251

Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla

October 26, 2025

DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani

October 25, 2025

RC Malisa Atoa Wito wa Kulipa Leseni Wakati Akikabidhi Madawati 1,000 kwa Shule 15 Jijini Mbeya

October 25, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

NABII MPANJI AUTANGAZIA UMMA, WAKRISTO WASISHIRIKI MAANDAMANO WAJITOKEZE KWA WINGI KUPIGA KURA

October 26, 2025

Nilivyookoa Biashara Yangu Baada ya Wateja Wote Kupotea Ghafla

October 26, 2025

DED Yegella: Ahamasisha Upigaji Kura, Kamanda Kuzaga Asema Jeshi la Polisi Lipo Tayari Kulinda Amani

October 25, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025222

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025196

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024194
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.