Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA

May 18, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA
  • Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi
  • INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI
  • ZIARA KAMATI YA SIASA CCM MKOA MBEYA WATEMBELEA BWENIMRADI WA MIL 300 SEKONDARI SAGAMBI CHUNYA
  • KAMATI SIASA MBEYA YAAGIZA STENDI CHUNYA KUJENGWA USIKU NA MCHANA KUKAMILIKA KABLA YA UCHAGUZI MKUU
  • CCM MKOA MBEYA ZIARANI CHUNYA MWALUNENGE AAGIZA KUBORESHWA MFUMO USAJILI WAGONJWA SANGAMBI
  • Wizara ya Mawasiliano Yaendelea Kushirikiana kwa Karibu na Jeshi la Polisi Kukabili Utapeli Mtandaoni – Mhandisi Maryprisca Mahundi
  • TIMU YA MADAKTARI NA WAUGUZI KUTOKA HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MBEYA, TANZANIA WAMETEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA, TAREHE 12 MEI, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป MADIWANI VITI MAALUM JIJI LA MBEYA WATEMBELEA MIRADI YA MAJI
Habari za Kitaifa

MADIWANI VITI MAALUM JIJI LA MBEYA WATEMBELEA MIRADI YA MAJI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 19, 2024Updated:March 19, 2024No Comments27 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Madiwani wa Viti Maalum Jiji la Mbeya na Mbeya Vijini wametembelea miradi miwili ya maji inayotekelezwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya.Akitoa taarifa mbele ya Madiwani hao Afisa Uhusiano Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya Neema Stanton amesema lengo la ziara hiyo ni kuielezea miradi mbalimbali inayotekelezwa ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji iliyoanza machi 16,2024 na kilele chake ni machi 22,2024.Aidha Afisa Uhusiano wa Mamlaka ameipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza fedha nyingi kwenye miradi ya maji ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 250.

Attu Msai Diwani wa Viti Maalum kwa niaba ya Madiwani ameipongeza Mamlaka kwa namna inavyoisimamia na kuitekeleza miradi mbalimbali.

Katika hatua nyingine Msai amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kipindi chake cha maiaka mitatu”ameupiga mwingi”alisema Msai.

Wiki ya maadhimisho ya Wiki ya Maji mbali ya kutembelea miradi itakwenda pamoja na zoezi la kusafisha vyanzo vya maji na upandaji miti kwenye vyanzo vya maji.

Madiwani wa Viti Maalum Jiji la Mbeya na Mbeya Vijini wametembelea miradi miwili ya maji inayotekelezwa na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya.

Akitoa taarifa mbele ya Madiwani hao Afisa Uhusiano Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Mbeya Neema Stanton amesema lengo la ziara hiyo ni kuielezea miradi mbalimbali inayotekelezwa ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji iliyoanza machi 16,2024 na kilele chake ni machi 22,2024.

Miradi iliyotembelewa ni mradi wa llunga uliopo Mbeya vijini wenye thamani ya shilingi bilioni 4.8 utakaunufaisha wakazi Mbalizi na Iwambi Jijini Mbeya pia mradi wa Itagano Mwasen kwa uliogharimu shilingi bilioni 5.2 unaonufaisha wakazi wa Mwasenkwa,Ilemi na Iganzo.

Aidha Afisa Uhusiano wa Mamlaka ameipongeza serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza fedha nyingi kwenye miradi ya maji ukiwemo mradi mkubwa wa Kiwira utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 250.

Katika hatua nyingine Stanton amesema wao ni watekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Kwa upande wake Attu Msai Diwani wa Viti Maalum kwa niaba ya Madiwani ameipongeza Mamlaka kwa namna inavyoisimamia na kuitekeleza miradi mbalimbali.

Katika hatua nyingine Msai amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kipindi chake cha maiaka mitatu”ameupiga mwingi”alisema Msai.

Wiki ya maadhimisho ya Wiki ya Maji mbali ya kutembelea miradi itakwenda pamoja na zoezi la kusafisha vyanzo vya maji na upandaji miti kwenye vyanzo vya maji.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025

Wizara ya Mawasiliano Yaendelea Kushirikiana kwa Karibu na Jeshi la Polisi Kukabili Utapeli Mtandaoni – Mhandisi Maryprisca Mahundi

May 12, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202457
Don't Miss
Video Mpya

NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA

By Mbeya YetuMay 18, 20250

#mbeyayetutv

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025

ZIARA KAMATI YA SIASA CCM MKOA MBEYA WATEMBELEA BWENIMRADI WA MIL 300 SEKONDARI SAGAMBI CHUNYA

May 14, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

NMB FOUNDATION KANDA NYANDA ZA JUU YATOA MAFUNZO KWA AMCOS KUWAWEZESHA WAKULIMA KAKAO KYELA

May 18, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

INEC YAHIMIZA WANANCHI MIKOA 16 KUJITOKEZA UBORESHAJI DAFTARI AWAMU YA PILI

May 14, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202481

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202560
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.