Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilijaribu Kila Njia Kuokoa Uhusiano Wangu Ulioathirika na Pombe Hii Njia Ilifanya Kila Kitu Rahisi

December 24, 2025

Ulinzi Mkali Waimarishwa Kuelekea Krismasi na Mwaka Mpya 2026 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya

December 24, 2025

MSHTUKO MBEYA: MTOTO DARASA LA SABA AUAWA KWA KIPANDE CHA MTI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MAYAI

December 23, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilijaribu Kila Njia Kuokoa Uhusiano Wangu Ulioathirika na Pombe Hii Njia Ilifanya Kila Kitu Rahisi
  • Ulinzi Mkali Waimarishwa Kuelekea Krismasi na Mwaka Mpya 2026 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya
  • MSHTUKO MBEYA: MTOTO DARASA LA SABA AUAWA KWA KIPANDE CHA MTI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MAYAI
  • Nilipoteza Amani Bila Sababu Inayoonekana Ufafanuzi wa Kienyeji Ulinipa Mwanga
  • MH. MAHUNDI AWAHIMIZA VIJANA KUISHI KWA MISINSI YA UWAJIBIKAJI NA UTU
  • Familia Yetu Ilikosa Baraka ya Utulivu Tulipoelewa Chanzo, Njia Ikafunguka
  • Tulikaa Ndoa Bila Amani Mazungumzo Moja Yalibadili Mwelekeo Wetu
  • Maumivu ya Ghafla Yalinifanya Nidhani Ni Mwisho, Baadaye Nikagundua Mawe ya Figo Yanatibika Kwa Mitishamba
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » MIAKA MITATU YA SAMIA TANRODS MBEYA YAONGEZA FURSA ZA KIUCHUMI
Habari za Kitaifa

MIAKA MITATU YA SAMIA TANRODS MBEYA YAONGEZA FURSA ZA KIUCHUMI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 26, 2024No Comments29 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Meneja wa Wakala wa Barabara nchini(TANRODS)Mkoa wa Mbeya Mhandisi Masige Matari amesema miradi mbalimbali ya barabara inayotekelezwa Mkoani Mbeya katika uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imefungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Mkoa wa Mbeya na nchi jirani.Masige ameyasema hayo katika mkutano wake na Waandishi wa Habari Mkoani Mbeya huku akiitaja mitandao mbalimbali ya barabara za TANROADS ambazo inatekelezwa ni kuwa jumla ya kilometa 1,403.3 ambapo kati ya hizo kilometa 469.3 ni barabara za lami na kilometa 934 ni za changarawe. Ameitaja baadhi ya miradi ya barabara za lami kuwa ni pamoja mradi wa njia nne kuanzia Nsalaga-lfisi kilometa 29 unaogharimu shilingi bilioni 138.718.Barabara nyingine ni ya Ibanda-Kajunjumele-Kiwira na Itungi Port kilometa 32 unaogharimu shilingi bilioni 38.359,mradi mwingine ni Katumba-Mbambo-Tukuyu Bujesi -Mbambo kilometa 10 na Tukuyu-Mbambo kilometa 7 kwa gharama ya shilingi bilioni 21.307.Aidha Masige amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya Dkt Samia Suluhu Hassan serikali imejenga kituo cha huduma ya pamoja mpakani Kasumulu(Tanzania/Malawi)kwa gharama ya ya shilingi bilioni 26.4 mrdi huo umefikia asilimia zaidi ya 90 na sasa uepunguza msongamano wa magari,mradi mwingine umehusisha ukarabati wa uwanja wa ndege jengo la abiria pia njia ya kuruka na kutua ndege sanjari na kuweka taa za kuongoza ndege kwa gharama ya shilingi bilioni 33.8 ambapo kwa sasa uwanja unafanya kazi kwa saa 24 hivyo umeongeza pato la serikali. Hata hivyo Mhandisi Masige Matari amesema serikali inatarajia kuanza ujenzi wa barabara ya lami lgawa-Tunduma kilometa 218 pamoja na Uyole-Songwe batabara ya mchepuko kilometa 48.9 ambapo ikikamilika mbali ya kupunguza msongamano itasaidia kupunguza ajali.

Meneja wa Wakala wa Barabara nchini(TANRODS)Mkoa wa Mbeya Mhandisi Masige Matari amesema miradi mbalimbali ya barabara inayotekelezwa Mkoani Mbeya katika uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imefungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Mkoa wa Mbeya na nchi jirani.

Masige ameyasema hayo katika mkutano wake na Waandishi wa Habari Mkoani Mbeya huku akiitaja mitandao mbalimbali ya barabara za TANROADS ambazo inatekelezwa ni kuwa jumla ya kilometa 1,403.3 ambapo kati ya hizo kilometa 469.3 ni barabara za lami na kilometa 934 ni za changarawe.

Ameitaja baadhi ya miradi ya barabara za lami kuwa ni pamoja mradi wa njia nne kuanzia Nsalaga-lfisi kilometa 29 unaogharimu shilingi bilioni 138.718.

Barabara nyingine ni ya Ibanda-Kajunjumele-Kiwira na Itungi Port kilometa 32 unaogharimu shilingi bilioni 38.359,mradi mwingine ni Katumba-Mbambo-Tukuyu Bujesi -Mbambo kilometa 10 na Tukuyu-Mbambo kilometa 7 kwa gharama ya shilingi bilioni 21.307.

Aidha Masige amesema katika kipindi cha miaka mitatu ya Dkt Samia Suluhu Hassan serikali imejenga kituo cha huduma ya pamoja mpakani Kasumulu(Tanzania/Malawi)kwa gharama ya ya shilingi bilioni 26.4 mrdi huo umefikia asilimia zaidi ya 90 na sasa uepunguza msongamano wa magari,mradi mwingine umehusisha ukarabati wa uwanja wa ndege jengo la abiria pia njia ya kuruka na kutua ndege sanjari na kuweka taa za kuongoza ndege kwa gharama ya shilingi bilioni 33.8 ambapo kwa sasa uwanja unafanya kazi kwa saa 24 hivyo umeongeza pato la serikali.

Hata hivyo Mhandisi Masige Matari amesema serikali inatarajia kuanza ujenzi wa barabara ya lami lgawa-Tunduma kilometa 218 pamoja na Uyole-Songwe batabara ya mchepuko kilometa 48.9 ambapo ikikamilika mbali ya kupunguza msongamano itasaidia kupunguza ajali.

Mradi mwingine unaotarajiwa kutekelezwa ni mradi wa Katumba-Mbambo-Tukuyu sehemu ya Katumba-Lupaso kilometa 35.3 Mbaka-Kibaji wenye urefu wa kilometa 20.7

Masige amesema kwa kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Dkt Samia Suluhu Hassan Mkoani Mbeya jumla ya fedha zilizopokelewa hadi mwezi machi,2024 ni kama ifuatavyo:-
(i)Fedha za matengenezo shilingi bilioni 32.089

(ii)Fedha za miradi ya maendeleo shilingi bilioni 124.923.

Miradi iliyokamilika mpaka sasa ni pamoja na barabara ya Chunya -Makongolosi yenye urefu wa kilometa 39 pamoja na mzani wa Matundasi kwa gharama ya shilingi bilioni 67 ambapo barabara hi imeongeza thamani ya mazao na madini ya dhahabu katika Wilaya ya Chuya,barabara nyingine ni ya Kikusya-lpinda-Matema yenye urefu wa kilomet 39.1 kwa gharama ya shilingi bilioni 63.3 barabara hii imekuwa sehemu ya utalii wa fukwe za Ziwa Nyasa na safu za milima ya Livingstone.

Kukamilika kwa mtandao wa barabara Mkoani Mbeya mbali ya kuongeza pato la serikali utafungua fursa za utalii kutokana na wageni watakaotumia,Barabara ya TANZAM,Uwanja wa Ndege wa Songwe,Bandari ya Itungi na Mpaka wa Kasumulu.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

MH. MAHUNDI AWAHIMIZA VIJANA KUISHI KWA MISINSI YA UWAJIBIKAJI NA UTU

December 23, 2025

DKT. TULIA ACKSON AANZA ZOEZI LA KUWAFIKIA KAYA ZENYE UHITAJI ZAIDI UYOLE, KAYA 130 ZANUFAIKA KUELEKEA SIKUKUU

December 21, 2025

MAHUNDI AWATUNUKU WAHITIMU 530 CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII(CDTI)UYOLE

December 20, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025271

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024211

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025131
Don't Miss
Uncategorized

Nilijaribu Kila Njia Kuokoa Uhusiano Wangu Ulioathirika na Pombe Hii Njia Ilifanya Kila Kitu Rahisi

By Mbeya YetuDecember 24, 20251

Nilihisi uhusiano wangu ulikuwa umekwama kabisa. Mume wangu alikua mnywaji, na kila jaribio langu la…

Ulinzi Mkali Waimarishwa Kuelekea Krismasi na Mwaka Mpya 2026 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya

December 24, 2025

MSHTUKO MBEYA: MTOTO DARASA LA SABA AUAWA KWA KIPANDE CHA MTI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MAYAI

December 23, 2025

Nilipoteza Amani Bila Sababu Inayoonekana Ufafanuzi wa Kienyeji Ulinipa Mwanga

December 23, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilijaribu Kila Njia Kuokoa Uhusiano Wangu Ulioathirika na Pombe Hii Njia Ilifanya Kila Kitu Rahisi

December 24, 2025

Ulinzi Mkali Waimarishwa Kuelekea Krismasi na Mwaka Mpya 2026 – Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya

December 24, 2025

MSHTUKO MBEYA: MTOTO DARASA LA SABA AUAWA KWA KIPANDE CHA MTI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MAYAI

December 23, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025271

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025237

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024211
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.