Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilichukiwa na Kila Mwanamume, Leo Wananipigania Kama Niko Thamani Ya Dhahabu

September 9, 2025

Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya

September 8, 2025

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilichukiwa na Kila Mwanamume, Leo Wananipigania Kama Niko Thamani Ya Dhahabu
  • Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya
  • Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”
  • Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia
  • Nilipunguza Uzito Bila Mazoezi, Siri Ni Majani Haya Maalum
  • Nilipigania Shamba La Urithi Kwa Miaka 10 Sasa Nimeibuka Mshindi na Familia Imenitazama Kwa Hofu
  • WAWINDAJI PANYA WILAYA MOMBA WASAMBABISHIA HASARA MKULIMA WA MAHINDI MBOZI GUNIA 200 ZATEKETEA MOTO
  • Mama Afumaniwa Akimroga Mwanawe Ili Abaki Nyumbani Asiolewe
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Mmbaga afungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Jijini Mbeya
Habari za Kitaifa

Mmbaga afungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Jijini Mbeya

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 26, 2024Updated:March 26, 2024No Comments33 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Miriam Mmbaga amefungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Kikao kilichofanyika Jijini Mbeya akiwataka wafanyakazi kufanya kazi kwa uadilifu na kufika kwa wakati eneo la tukio. Kamishina Utawala na Fedha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mbaraka Semwanza amesema Jeshi la Zimamoto limeendelea kufanya maboresho mbalimbali pamoja na kutoa elimu kwa jamii ambapo serikali imewaongezea vifaa vya kukabiliana na matukio ya ajali kwa kuwapatia magari kumi na mbili ya Zimamoto ambayo yatagawiwa kwenye mikoa mbalimbali. Charo Mangare Kaimu Kamishina wa Opesheni ambaye amesema wamepokea pongezi na maelekezo kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kuahidi kuyafanyia kazi. Maada zinazojadiliwa ni pamoja na kanuni mpya ya mikopo ya PSSSF,mfuko wa uwezeshaji-UTT,elimu juu ya huduma za NMB na utekelezaji wa mpango wa bajeti katika kipindi cha julai 2023 hadi februari 2024 na mwelekeo wa bajeti mwa mwaka 2024/2025.

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Miriam Mmbaga amefungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Kikao kilichofanyika Jijini Mbeya akiwataka wafanyakazi kufanya kazi kwa uadilifu na kufika kwa wakati eneo la tukio.

Katika hotuba yake Mmbaga amewataka watumishi wa Zimamoto na Uokoaji kufanya kazi kwa eweledi na uadilifu ili kuongeza mapato ya serikali zaidi akiwataka kuendelea kutoa elimu kwa jamii sanjari na kufika kwa wakati kwenye matukio.

Naye Kamishina Utawala na Fedha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mbaraka Semwanza amesema Jeshi la Zimamoto limeendelea kufanya maboresho mbalimbali pamoja na kutoa elimu kwa jamii ambapo serikali imewaongezea vifaa vya kukabiliana na matukio ya ajali kwa kuwapatia magari kumi na mbili ya Zimamoto ambayo yatagawiwa kwenye mikoa mbalimbali.

Neno la shukurani limetolewa na Charo Mangare Kaimu Kamishina wa Opesheni ambaye amesema wamepokea pongezi na maelekezo kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kuahidi kuyafanyia kazi.

Maada zinazojadiliwa ni pamoja na kanuni mpya ya mikopo ya PSSSF,mfuko wa uwezeshaji-UTT,elimu juu ya huduma za NMB na utekelezaji wa mpango wa bajeti katika kipindi cha julai 2023 hadi februari 2024 na mwelekeo wa bajeti mwa mwaka 2024/2025.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YATOA MWALIKO KWA WAANDISHI WA HABARI WENYE NIA YA KURIPOTI MATUKIO WAKATI WA UCHAGUZI

September 3, 2025

Mbeya Yatikisika! Dkt. Tulia Achukua Fomu Ubunge Jimbo Jipya la Uyole

August 25, 2025

TAKUKURU Mbeya Yaokoa Milioni 47 na Kuongeza Mapato ya Halmashauri Zaidi ya Milioni 200

August 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025207

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025124

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025107
Don't Miss
Uncategorized

Nilichukiwa na Kila Mwanamume, Leo Wananipigania Kama Niko Thamani Ya Dhahabu

By Mbeya YetuSeptember 9, 20250

Kwa miaka mingi nilihisi nimebeba laana ya maisha. Nilikuwa msichana mzuri wa sura, lakini kila…

Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya

September 8, 2025

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025

Shitambala Atangaza Rasmi Kumuunga Mkono Mwalunenge na Rais Samia

September 8, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilichukiwa na Kila Mwanamume, Leo Wananipigania Kama Niko Thamani Ya Dhahabu

September 9, 2025

Bwana Afichua Jinsi Wake Wawili Walivyopanga Kumnyang’anya Mali Zote Kimya Kimya

September 8, 2025

Shitambala Awajibu Wanaosambaza Uvumi: “Mimi ni Mwanachama Mwaminifu wa CCM”

September 8, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025207

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025124
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.