Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Rais Samia Ahoji Kilio cha Vijana: “Walikuwa Wanaidai Haki Ipi?”

November 20, 2025

Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi

November 19, 2025

Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri

November 19, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Rais Samia Ahoji Kilio cha Vijana: “Walikuwa Wanaidai Haki Ipi?”
  • Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi
  • Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri
  • Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu
  • Safari ya kurejesha hamu ya tendo la ndoa kwa Zuhura iliyofanikiwa
  • Kutoka kusota hadi usukani wenye utajiri
  • Ikulu Dodoma: Rais Samia Azungumza na Mawaziri Baada ya Kuwaapisha
  • Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Mmbaga afungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Jijini Mbeya
Habari za Kitaifa

Mmbaga afungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Jijini Mbeya

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 26, 2024Updated:March 26, 2024No Comments33 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Miriam Mmbaga amefungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Kikao kilichofanyika Jijini Mbeya akiwataka wafanyakazi kufanya kazi kwa uadilifu na kufika kwa wakati eneo la tukio. Kamishina Utawala na Fedha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mbaraka Semwanza amesema Jeshi la Zimamoto limeendelea kufanya maboresho mbalimbali pamoja na kutoa elimu kwa jamii ambapo serikali imewaongezea vifaa vya kukabiliana na matukio ya ajali kwa kuwapatia magari kumi na mbili ya Zimamoto ambayo yatagawiwa kwenye mikoa mbalimbali. Charo Mangare Kaimu Kamishina wa Opesheni ambaye amesema wamepokea pongezi na maelekezo kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kuahidi kuyafanyia kazi. Maada zinazojadiliwa ni pamoja na kanuni mpya ya mikopo ya PSSSF,mfuko wa uwezeshaji-UTT,elimu juu ya huduma za NMB na utekelezaji wa mpango wa bajeti katika kipindi cha julai 2023 hadi februari 2024 na mwelekeo wa bajeti mwa mwaka 2024/2025.

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Miriam Mmbaga amefungua Kikao cha Baraza Dogo la Wafanyakazi Jeshi la Zimamoto na Uokoaji nchini Kikao kilichofanyika Jijini Mbeya akiwataka wafanyakazi kufanya kazi kwa uadilifu na kufika kwa wakati eneo la tukio.

Katika hotuba yake Mmbaga amewataka watumishi wa Zimamoto na Uokoaji kufanya kazi kwa eweledi na uadilifu ili kuongeza mapato ya serikali zaidi akiwataka kuendelea kutoa elimu kwa jamii sanjari na kufika kwa wakati kwenye matukio.

Naye Kamishina Utawala na Fedha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mbaraka Semwanza amesema Jeshi la Zimamoto limeendelea kufanya maboresho mbalimbali pamoja na kutoa elimu kwa jamii ambapo serikali imewaongezea vifaa vya kukabiliana na matukio ya ajali kwa kuwapatia magari kumi na mbili ya Zimamoto ambayo yatagawiwa kwenye mikoa mbalimbali.

Neno la shukurani limetolewa na Charo Mangare Kaimu Kamishina wa Opesheni ambaye amesema wamepokea pongezi na maelekezo kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na kuahidi kuyafanyia kazi.

Maada zinazojadiliwa ni pamoja na kanuni mpya ya mikopo ya PSSSF,mfuko wa uwezeshaji-UTT,elimu juu ya huduma za NMB na utekelezaji wa mpango wa bajeti katika kipindi cha julai 2023 hadi februari 2024 na mwelekeo wa bajeti mwa mwaka 2024/2025.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.

November 9, 2025

TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM

November 7, 2025

TUME YATOA MAELEKEZO YA KISERA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025

October 23, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025226

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

Rais Samia Ahoji Kilio cha Vijana: “Walikuwa Wanaidai Haki Ipi?”

By Mbeya YetuNovember 20, 20250

Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi

November 19, 2025

Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri

November 19, 2025

Rais Dkt Samia aongoza kikao kazi cha Mawaziri Naibu Mawaziri Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu

November 19, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Rais Samia Ahoji Kilio cha Vijana: “Walikuwa Wanaidai Haki Ipi?”

November 20, 2025

Kijana Golden Kidumba (DON. G) Awagusa Watoto wa Mitaani kwa Chakula na Mavazi

November 19, 2025

Biashara ya mbao ilivyobadili maisha yake ikimpa utajiri

November 19, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025226

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.