Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri

September 17, 2025

Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake

September 17, 2025

Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya

September 17, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri
  • Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake
  • Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya
  • Prof. Makulilo: Watanzania Wajiandae kwa Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050
  • Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo
  • Nilirogwa Nipoteze Kila Kitu ila Hatua Niliyopiga Ilinivunja Minyororo Ya Uchawi
  • Niliibiwa Gari Yangu Usiku, Lakini Hatua Niliyopiga Ilifanya Wezi Wenyewe Walirudishe Hadi Getini
  • Nilipoteza Mume Wangu Kwa Mpango wa Kando ila Kitu Nilichojaribu Kilimfanya Aombe Radhi Hadharani
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA
Uncategorized

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 26, 2024Updated:March 26, 20242 Comments86 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia nne kwa shule tatu za msingi na sekondari Jijini Mbeya kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya madarasa katika shule hizo.

Shule zilizonufaika na msaada huo ni pamoja na Shule ya Msingi Mlimani iliyopo Kata ya Sinde,Sekondari ya wasichana ya Dkt Tulia ilioyopo Kata ya Iyunga na Sekondari ya Itende inayomilikiwa na Jumuia ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)iliyopo Kata ya Itende Jijini Mbeya.

Shule ya msingi ya Mlimani iliyopo Kata ya Sinde Jijini Mbeya imepokea msaada wa mifuko mia mbili kutoka Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Dkt Tulia Ackson Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.

Saruji hiyo imekabidhiwa na Afisa habari Joshua Mwakanolo kwa niaba ya Spika lengo ni kutekeleza ahadi zake baada ya kutembelea shule mbalimbali Jijini Mbeya

Awali Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jane Mwaisumo anatoa shukurani zake mbele ya hadhara akisema Taasisi ya Tulia Trust imekuwa na msaada mkubwa kwenye jamii hususani shule ya Jijini Mbeya.

Diwani Kata ya Sinde Fanuel Kyanula amesema Dkt Tulia amekuwa akitoa misaada mbalimbali kwenye Kata yake yakiwemo madawati.

Akikabidhi saruji mifuko mia sekondari ya wasichana Dkt Tulia  Joshua Mwakanolo Afisa Habari wa Taasisi hiyo amesema lengo ni kutekeleza ahadi ya Mbunge baada ya kutembelea shule hiyo ambapo awali Dkt Tulia Ackson aliichangia shule hiyo shilingi milioni mbili kwa ajili ya ukarabati wa madarasa.

Mkuu wa shule hiyo Daud Mwaijibe ametoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust akisema msaada huo utakuwa kichocheo cha elimu kwa shule hiyo.

Bertha Gerald kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji amesema Jiji linatambua mchango mkubwa unaotolewa na Dkt Tulia Ackson Jijini Mbeya.

Diwani wa Kata ya Iyunga Mwajuma Tindwa amesema Kata yake ilikuwa haina shule ya watoto wa kike hivyo maboresho yanayofanyika yataongeza ufaulu.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo wamepata fursa ya kutoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust wakisema msaada huo utawapunguzia michango.

Maboresho yanayofanyika katika shule hiyo hasa ujenzi wa mabweni umeinua ufaulu wa wanafunzi wa kike katika Kata ya Iyunga Jijini Mbeya ambapo matokeo ya kitaifa kidato cha pili na nne yamekuwa mazuri.

Katika hatua nyingine Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia moja ya saruji kwa shule ya sekondari ya Wazazi Itende awali Mkuu wa shule hiyo Pyson Mwakalinga amesema msaada huo umekuja kwa wakati baada ya kuwasilisha maombi yao kwenye Taasisi hiyo.

Diwani wa Kata ya Itende Julius Malongo Mendagalile amesema Taasisi ya Tulia Trust isichoke kutoa misaada kwenye Kata yake.

Aidha Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Mbeya Jiji Emmanuel Mwalupindi amesema mara nyingi Dkt Tulia Ackson amekuwa kichocheo cha maendeleo kwenye Taasisi mbalimbali.

Nao baadhi ya wanafunzi wameshukuru kupata msaada huo na kuwa umetoa hamasa kwa wao kufaulu katika masomo.

Joshua Mwakanolo ni Afisa Habari wa Tulia Trust amesema Taasisi imejipanga kutekeleza maombi yote yaliyowasilishwa ofisini.

Shule ya Itende inakabiliwa na ukosefu wa maktaba kwa ajili ya wanafunzi kujisomea pamoja na maabara ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo.

Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia nne kwa shule tatu za msingi na sekondari Jijini Mbeya kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya madarasa katika shule hizo.

Shule zilizonufaika na msaada huo ni pamoja na Shule ya Msingi Mlimani iliyopo Kata ya Sinde,Sekondari ya wasichana ya Dkt Tulia ilioyopo Kata ya Iyunga na Sekondari ya Itende inayomilikiwa na Jumuia ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)iliyopo Kata ya Itende Jijini Mbeya.

Shule ya msingi ya Mlimani iliyopo Kata ya Sinde Jijini Mbeya imepokea msaada wa mifuko mia mbili kutoka Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Dkt Tulia Ackson Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.

Saruji hiyo imekabidhiwa na Afisa habari Joshua Mwakanolo kwa niaba ya Spika lengo ni kutekeleza ahadi zake baada ya kutembelea shule mbalimbali Jijini Mbeya

Awali Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jane Mwaisumo anatoa shukurani zake mbele ya hadhara akisema Taasisi ya Tulia Trust imekuwa na msaada mkubwa kwenye jamii hususani shule ya Jijini Mbeya.

Fatu Chilundu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji amesema Dkt Tulia amekuwa msaada kwenye shule mbalimbali za Jiji la Mbeya.

Mwenyekiti wa CCM Kata ya Sinde Silvester Mwanganya amesema Dkt Tulia anakiwakilisha vema Chama Cha Mapinduzi.

Diwani Kata ya Sinde Fanuel Kyanula amesema Dkt Tulia amekuwa akitoa misaada mbalimbali kwenye Kata yake yakiwemo madawati.

Baadhi ya wananchi wamempongeza Dkt Tulia kwa kutoa msaada wa saruji.

Shule ya Mlimani yenye watoto zaidi ya elfu moja licha ya upungufu wa madarasa shule hiyo inakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo kwa walimu na wanafunzi.

Akikabidhi saruji mifuko mia sekondari ya wasichana Dkt Tulia  Joshua Mwakanolo Afisa Habari wa Taasisi hiyo amesema lengo ni kutekeleza ahadi ya Mbunge baada ya kutembelea shule hiyo ambapo awali Dkt Tulia Ackson aliichangia shule hiyo shilingi milioni mbili kwa ajili ya ukarabati wa madarasa.

Mkuu wa shule hiyo Daud Mwaijibe ametoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust akisema msaada huo utakuwa kichocheo cha elimu kwa shule hiyo.

Bertha Gerald kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji amesema Jiji linatambua mchango mkubwa unaotolewa na Dkt Tulia Ackson Jijini Mbeya.

Diwani wa Kata ya Iyunga Mwajuma Tindwa amesema Kata yake ilikuwa haina shule ya watoto wa kike hivyo maboresho yanayofanyika yataongeza ufaulu.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo wamepata fursa ya kutoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust wakisema msaada huo utawapunguzia michango.

Maboresho yanayofanyika katika shule hiyo hasa ujenzi wa mabweni umeinua ufaulu wa wanafunzi wa kike katika Kata ya Iyunga Jijini Mbeya ambapo matokeo ya kitaifa kidato cha pili na nne yamekuwa mazuri.

Katika hatua nyingine Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia moja ya saruji kwa shule ya sekondari ya Wazazi Itende awali Mkuu wa shule hiyo Pyson Mwakalinga amesema msaada huo umekuja kwa wakati baada ya kuwasilisha maombi yao kwenye Taasisi hiyo.

Naye Meneja wa shule hiyo Abdul Sikitiko Komba ambaye ni Katibu wa Jumuia ya Wazazi amesema msaada huo umewafuta machozi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya shule Kaseka William Wambali amesema msada uwe kichocheo cha ufaulu kwa wanafunzi.

Diwani wa Kata ya Itende Julius Malongo Mendagalile amesema Taasisi ya Tulia Trust isichoke kutoa misaada kwenye Kata yake.

Aidha Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Mbeya Jiji Emmanuel Mwalupindi amesema mara nyingi Dkt Tulia Ackson amekuwa kichocheo cha maendeleo kwenye Taasisi mbalimbali.

Nao baadhi ya wanafunzi wameshukuru kupata msaada huo na kuwa umetoa hamasa kwa wao kufaulu katika masomo.

Joshua Mwakanolo ni Afisa Habari wa Tulia Trust amesema Taasisi imejipanga kutekeleza maombi yote yaliyowasilishwa ofisini.

Shule ya Itende inakabiliwa na ukosefu wa maktaba kwa ajili ya wanafunzi kujisomea pamoja na maabara ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri

September 17, 2025

Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake

September 17, 2025

Tajiri wa madini aliyefilisika arejea tena katika biashara kwa kishindo

September 17, 2025

2 Comments

  1. 🗑 Email: Process #QB12. Go to withdrawal => https://telegra.ph/Binance-Support-02-18?hs=498b167e5dee1108ecfb6e6512cd1301& 🗑 on February 18, 2025 11:14 pm

    63ijo5

    Reply
  2. 💌 + 1.571498 BTC.NEXT - https://graph.org/Message--685-03-25?hs=498b167e5dee1108ecfb6e6512cd1301& 💌 on April 5, 2025 8:34 pm

    43z5ys

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025210

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025126

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025125
Don't Miss
Uncategorized

Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri

By Mbeya YetuSeptember 17, 20251

Baadhi yao waliniambia waziwazi kuwa hawawezi kuwa na mwanamke mwenye ulemavu. Nilipita katika aibu nyingi…

Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake

September 17, 2025

Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya

September 17, 2025

Prof. Makulilo: Watanzania Wajiandae kwa Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050

September 17, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Nilikataliwa na Wanaume Wote Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niolewe na Tajiri

September 17, 2025

Aibu!! Askofu Mkuu abainika kuiba fedha kanisa lake

September 17, 2025

Kongamano la Uchumi Jumuishi Kuelekea Dira 2050 Kufanyika Mbeya

September 17, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025210

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024184

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025126
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.