Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
  • MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
  • Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH
  • MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE
  • WAKILI MSOMI KAPTENI MSTAAFU SAMBWEE SHITAMBALA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI.
  • MWAISUMBE: ALIYEJITOSA UBUNGE 2010 AWANIA TENA MBEYA MJINI AAHIDI KUMUUNGA MKONO ATAKAYETEULIWA
  • MHASIBU SUA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA SAME MASHARIKI
  • MWANAHABARI MKONGWE CHARLES MWAKIPESILE AJITOSA UBUNGE MBEYA MJINI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA
Uncategorized

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 26, 2024Updated:March 26, 20242 Comments82 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia nne kwa shule tatu za msingi na sekondari Jijini Mbeya kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya madarasa katika shule hizo.

Shule zilizonufaika na msaada huo ni pamoja na Shule ya Msingi Mlimani iliyopo Kata ya Sinde,Sekondari ya wasichana ya Dkt Tulia ilioyopo Kata ya Iyunga na Sekondari ya Itende inayomilikiwa na Jumuia ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)iliyopo Kata ya Itende Jijini Mbeya.

Shule ya msingi ya Mlimani iliyopo Kata ya Sinde Jijini Mbeya imepokea msaada wa mifuko mia mbili kutoka Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Dkt Tulia Ackson Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.

Saruji hiyo imekabidhiwa na Afisa habari Joshua Mwakanolo kwa niaba ya Spika lengo ni kutekeleza ahadi zake baada ya kutembelea shule mbalimbali Jijini Mbeya

Awali Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jane Mwaisumo anatoa shukurani zake mbele ya hadhara akisema Taasisi ya Tulia Trust imekuwa na msaada mkubwa kwenye jamii hususani shule ya Jijini Mbeya.

Diwani Kata ya Sinde Fanuel Kyanula amesema Dkt Tulia amekuwa akitoa misaada mbalimbali kwenye Kata yake yakiwemo madawati.

Akikabidhi saruji mifuko mia sekondari ya wasichana Dkt Tulia  Joshua Mwakanolo Afisa Habari wa Taasisi hiyo amesema lengo ni kutekeleza ahadi ya Mbunge baada ya kutembelea shule hiyo ambapo awali Dkt Tulia Ackson aliichangia shule hiyo shilingi milioni mbili kwa ajili ya ukarabati wa madarasa.

Mkuu wa shule hiyo Daud Mwaijibe ametoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust akisema msaada huo utakuwa kichocheo cha elimu kwa shule hiyo.

Bertha Gerald kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji amesema Jiji linatambua mchango mkubwa unaotolewa na Dkt Tulia Ackson Jijini Mbeya.

Diwani wa Kata ya Iyunga Mwajuma Tindwa amesema Kata yake ilikuwa haina shule ya watoto wa kike hivyo maboresho yanayofanyika yataongeza ufaulu.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo wamepata fursa ya kutoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust wakisema msaada huo utawapunguzia michango.

Maboresho yanayofanyika katika shule hiyo hasa ujenzi wa mabweni umeinua ufaulu wa wanafunzi wa kike katika Kata ya Iyunga Jijini Mbeya ambapo matokeo ya kitaifa kidato cha pili na nne yamekuwa mazuri.

Katika hatua nyingine Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia moja ya saruji kwa shule ya sekondari ya Wazazi Itende awali Mkuu wa shule hiyo Pyson Mwakalinga amesema msaada huo umekuja kwa wakati baada ya kuwasilisha maombi yao kwenye Taasisi hiyo.

Diwani wa Kata ya Itende Julius Malongo Mendagalile amesema Taasisi ya Tulia Trust isichoke kutoa misaada kwenye Kata yake.

Aidha Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Mbeya Jiji Emmanuel Mwalupindi amesema mara nyingi Dkt Tulia Ackson amekuwa kichocheo cha maendeleo kwenye Taasisi mbalimbali.

Nao baadhi ya wanafunzi wameshukuru kupata msaada huo na kuwa umetoa hamasa kwa wao kufaulu katika masomo.

Joshua Mwakanolo ni Afisa Habari wa Tulia Trust amesema Taasisi imejipanga kutekeleza maombi yote yaliyowasilishwa ofisini.

Shule ya Itende inakabiliwa na ukosefu wa maktaba kwa ajili ya wanafunzi kujisomea pamoja na maabara ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo.

Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia nne kwa shule tatu za msingi na sekondari Jijini Mbeya kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya madarasa katika shule hizo.

Shule zilizonufaika na msaada huo ni pamoja na Shule ya Msingi Mlimani iliyopo Kata ya Sinde,Sekondari ya wasichana ya Dkt Tulia ilioyopo Kata ya Iyunga na Sekondari ya Itende inayomilikiwa na Jumuia ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)iliyopo Kata ya Itende Jijini Mbeya.

Shule ya msingi ya Mlimani iliyopo Kata ya Sinde Jijini Mbeya imepokea msaada wa mifuko mia mbili kutoka Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Dkt Tulia Ackson Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.

Saruji hiyo imekabidhiwa na Afisa habari Joshua Mwakanolo kwa niaba ya Spika lengo ni kutekeleza ahadi zake baada ya kutembelea shule mbalimbali Jijini Mbeya

Awali Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Jane Mwaisumo anatoa shukurani zake mbele ya hadhara akisema Taasisi ya Tulia Trust imekuwa na msaada mkubwa kwenye jamii hususani shule ya Jijini Mbeya.

Fatu Chilundu kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji amesema Dkt Tulia amekuwa msaada kwenye shule mbalimbali za Jiji la Mbeya.

Mwenyekiti wa CCM Kata ya Sinde Silvester Mwanganya amesema Dkt Tulia anakiwakilisha vema Chama Cha Mapinduzi.

Diwani Kata ya Sinde Fanuel Kyanula amesema Dkt Tulia amekuwa akitoa misaada mbalimbali kwenye Kata yake yakiwemo madawati.

Baadhi ya wananchi wamempongeza Dkt Tulia kwa kutoa msaada wa saruji.

Shule ya Mlimani yenye watoto zaidi ya elfu moja licha ya upungufu wa madarasa shule hiyo inakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo kwa walimu na wanafunzi.

Akikabidhi saruji mifuko mia sekondari ya wasichana Dkt Tulia  Joshua Mwakanolo Afisa Habari wa Taasisi hiyo amesema lengo ni kutekeleza ahadi ya Mbunge baada ya kutembelea shule hiyo ambapo awali Dkt Tulia Ackson aliichangia shule hiyo shilingi milioni mbili kwa ajili ya ukarabati wa madarasa.

Mkuu wa shule hiyo Daud Mwaijibe ametoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust akisema msaada huo utakuwa kichocheo cha elimu kwa shule hiyo.

Bertha Gerald kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji amesema Jiji linatambua mchango mkubwa unaotolewa na Dkt Tulia Ackson Jijini Mbeya.

Diwani wa Kata ya Iyunga Mwajuma Tindwa amesema Kata yake ilikuwa haina shule ya watoto wa kike hivyo maboresho yanayofanyika yataongeza ufaulu.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria hafla hiyo wamepata fursa ya kutoa neno la shukurani kwa Taasisi ya Tulia Trust wakisema msaada huo utawapunguzia michango.

Maboresho yanayofanyika katika shule hiyo hasa ujenzi wa mabweni umeinua ufaulu wa wanafunzi wa kike katika Kata ya Iyunga Jijini Mbeya ambapo matokeo ya kitaifa kidato cha pili na nne yamekuwa mazuri.

Katika hatua nyingine Taasisi ya Tulia Trust imetoa mifuko mia moja ya saruji kwa shule ya sekondari ya Wazazi Itende awali Mkuu wa shule hiyo Pyson Mwakalinga amesema msaada huo umekuja kwa wakati baada ya kuwasilisha maombi yao kwenye Taasisi hiyo.

Naye Meneja wa shule hiyo Abdul Sikitiko Komba ambaye ni Katibu wa Jumuia ya Wazazi amesema msaada huo umewafuta machozi.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Bodi ya shule Kaseka William Wambali amesema msada uwe kichocheo cha ufaulu kwa wanafunzi.

Diwani wa Kata ya Itende Julius Malongo Mendagalile amesema Taasisi ya Tulia Trust isichoke kutoa misaada kwenye Kata yake.

Aidha Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Mbeya Jiji Emmanuel Mwalupindi amesema mara nyingi Dkt Tulia Ackson amekuwa kichocheo cha maendeleo kwenye Taasisi mbalimbali.

Nao baadhi ya wanafunzi wameshukuru kupata msaada huo na kuwa umetoa hamasa kwa wao kufaulu katika masomo.

Joshua Mwakanolo ni Afisa Habari wa Tulia Trust amesema Taasisi imejipanga kutekeleza maombi yote yaliyowasilishwa ofisini.

Shule ya Itende inakabiliwa na ukosefu wa maktaba kwa ajili ya wanafunzi kujisomea pamoja na maabara ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TUME YA UCHAGUZI YAPONGEZWA MAANDALIZI UCHAGUZI MKUU 2025

June 9, 2025

AFISA MTENDAJI MKUU WA AfD AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BODI YA GPE MJINI PARIS LEO

June 4, 2025

Wizi wa Bima Wafumuliwa, Serikali Yapanga Mashambulizi

May 16, 2025

2 Comments

  1. 🗑 Email: Process #QB12. Go to withdrawal => https://telegra.ph/Binance-Support-02-18?hs=498b167e5dee1108ecfb6e6512cd1301& 🗑 on February 18, 2025 11:14 pm

    63ijo5

    Reply
  2. 💌 + 1.571498 BTC.NEXT - https://graph.org/Message--685-03-25?hs=498b167e5dee1108ecfb6e6512cd1301& 💌 on April 5, 2025 8:34 pm

    43z5ys

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202460
Don't Miss
Video Mpya

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

By Mbeya YetuJuly 1, 20250

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambaye ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi Julai 1,2025 amefungua kambi ya matibabu bila gharama kwa wagonjwa wa macho Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mbeya inayolenga kuwafikia wagonjwa zaidi ya mia mbili.

Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema gharama zote za uchunguzi,dawa na matibabu ni bure kupitia wadau wake kutoka Ujerumani na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya.

Dkt Fariji Kilewa Mkuu wa Kitengo cha macho Hospitali ya Mkoa wa Mbeya amesema lengo ni kuwafikia wagonjwa zaidi ya mia mbili waliopo Mkoa wa Mbeya na mikoa jirani.

Aidha amesema mbali ya upasuaji wa mtoto wa jicho pia wanawafanyia uchunguzi wa macho kwa matatizo mengine ya macho.

Hata hivyo Dkt Fariji Kilewa amesema gharama za upasuaji wa mtoto wa jicho zinagharimu zaidi ya shilingi laki tatu ambazo ni watu wachache wanaoweza kumudu gharama hizo.

Afisa uhusiano Hospitali ya Mkoa wa Mbeya Agrey Mwaijande amesema gharama zote zinatolewa bure hivyo wito umetolewa kwa wananchi kuitumia vizuri fursa hiyo.

Baadhi ya wagonjwa waliojitokeza kupatiwa watibabu wamepongeza huduma hiyo kutokana na wengi wao kushindwa kumudu gharama za matibabu ya macho.

Hii ni kambi ya pili kwa Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi kuandaa kambi ya macho iliyoanza juni 30,2025 itakayotamatika julai 5,2025kwa ushirikiano na Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025

MKULIMA NA MFUGAJI WA MBARALI ATIA TIMU KIPUTE JIMBO LA MBARALI USANGU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE

June 30, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO

July 1, 2025

MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI

June 30, 2025

Msimu wa pili wa tamasha la michezo na vipaji MZRH

June 30, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024173

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.