Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya

January 31, 2026

JUMUIYA YA WAZAZI CCM YAFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 KWA MATEMBEZI YA AMANI – MBEYA MJINI

January 30, 2026

Makonda: Serikali Yatenga TZS Bilioni 2 Kukuza Watengenezaji wa Maudhui Mtandaoni

January 30, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya
  • JUMUIYA YA WAZAZI CCM YAFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 KWA MATEMBEZI YA AMANI – MBEYA MJINI
  • Makonda: Serikali Yatenga TZS Bilioni 2 Kukuza Watengenezaji wa Maudhui Mtandaoni
  • MAKALA:WAKAZI WA WILAYA YA KYELA WANAVYOCHANGAMKIA FURSA ZA ZIWA NYASA
  • Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Bi. Erica Yegella, Atoa Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Siku 100
  • TAASISI ZA PICTERUS AS NA GOAL 3 KUANZISHA TEKNOLOJIA YA KISASA YA KUPIMA MANJANO KWA WATOTO WACHANGA TANZANIA
  • MAHUNDI: SERIKALI YAELEZA SABABU ZA KUTOWALAZIMISHA WATOTO KUWAHUDUMIA WAZAZI.
  • WAZEE WASHIRIKIANA NA WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII ZOEZI LA UPANDAJI MITI DODOMA.
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Mbalaza wa Umoja wa Vijana wa CCM Mbeya Mjini, Cde. Timida Fyandomo, Aahidi Msaada wa Godoro kwa Muhitaji katika Ujenzi wa Nyumba ya Tulia Trust
Habari za Kitaifa

Mbalaza wa Umoja wa Vijana wa CCM Mbeya Mjini, Cde. Timida Fyandomo, Aahidi Msaada wa Godoro kwa Muhitaji katika Ujenzi wa Nyumba ya Tulia Trust

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 28, 2024Updated:March 28, 2024No Comments43 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Timida Mpoki Fyandomo Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana Taifa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mkoa wa Mbeya ameahidi kutoa godoro kwa mjane Singwava Mwanyanje mwenye watoto sita mkazi wa Itanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya anayejengewa nyumba na Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini.Clemence Mwandemba Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mbeya amesema Dkt Tulia amekuwa akifanya mambo makubwa nchini kwa kuwagusa watu wenye uhitaji.Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Itanji Javin Shaha amesema mama huyo anapitia kipindi kigumu hivyo anahitaji kusaidiwa.Singwava Jackson amewashukuru wadau wote waliofanikisha kumjengea nyumba zaidi Mbunge aliyeguswa na changamoto alizopitia za kuishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Kwa upande wake Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Trust Joshua Mwakanolo amesema moyo uliooneshwa na Timida Fyandomo unapaswa kuigwa na viongozi wengine.

Taasisi ya Tulia Trust imemjengea nyumba mjane huyo baada ya kumkuta akiishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Timida Mpoki Fyandomo Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana Taifa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mkoa wa Mbeya ameahidi kutoa godoro kwa mjane Singwava Mwanyanje mwenye watoto sita mkazi wa Itanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya anayejengewa nyumba na Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini.

Ahadi hiyo ameitoa baada ya kutembelea ujenzi wa nyumba unaondelea Mtaa wa Itanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya.

Clemence Mwandemba Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mbeya amesema Dkt Tulia amekuwa akifanya mambo makubwa nchini kwa kuwagusa watu wenye uhitaji.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Itanji Javin Shaha amesema mama huyo anapitia kipindi kigumu hivyo anahitaji kusaidiwa.

Aidha Mtendaji wa Mtaa wa Itanji Nuru Msigwa amemshukuru Dkt Tulia kwa kutoa msaada.

Naye Singwava Jackson amewashukuru wadau wote waliofanikisha kumjengea nyumba zaidi Mbunge aliyeguswa na changamoto alizopitia za kuishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Baadhi ya viongozi wa CCM Kata ya Iganjo wamepata furasa ya kutoa neno wakisema Dkt Tulia anakiwakilisha vema Chama Cha Mapinduzi.

Kwa upande wake Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Trust Joshua Mwakanolo amesema moyo uliooneshwa na Timida Fyandomo unapaswa kuigwa na viongozi wengine.

Taasisi ya Tulia Trust imemjengea nyumba mjane huyo baada ya kumkuta akiishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya

January 31, 2026

JUMUIYA YA WAZAZI CCM YAFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 KWA MATEMBEZI YA AMANI – MBEYA MJINI

January 30, 2026

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Bi. Erica Yegella, Atoa Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Siku 100

January 29, 2026

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025325

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025250

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024226

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025139
Don't Miss
Habari za Kitaifa

TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya

By Mbeya YetuJanuary 31, 202620

Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la CARE wametoa mafunzo…

JUMUIYA YA WAZAZI CCM YAFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 KWA MATEMBEZI YA AMANI – MBEYA MJINI

January 30, 2026

Makonda: Serikali Yatenga TZS Bilioni 2 Kukuza Watengenezaji wa Maudhui Mtandaoni

January 30, 2026

MAKALA:WAKAZI WA WILAYA YA KYELA WANAVYOCHANGAMKIA FURSA ZA ZIWA NYASA

January 30, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

TGNP na CARE Watoa Mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Jamii Mbeya

January 31, 2026

JUMUIYA YA WAZAZI CCM YAFUNGUA MAADHIMISHO YA MIAKA 49 KWA MATEMBEZI YA AMANI – MBEYA MJINI

January 30, 2026

Makonda: Serikali Yatenga TZS Bilioni 2 Kukuza Watengenezaji wa Maudhui Mtandaoni

January 30, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025325

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025250

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024226
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.