Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SIKIA KILIO CHA WAFUNGWA GEREZA LA RUANDA MBEYA KWA RAIS SAMIA

June 19, 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua Kiwanda cha Kwanza cha Uchenjuaji wa Shaba Nchini Chunya, Mbey

June 19, 2025

WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA

June 18, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SIKIA KILIO CHA WAFUNGWA GEREZA LA RUANDA MBEYA KWA RAIS SAMIA
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua Kiwanda cha Kwanza cha Uchenjuaji wa Shaba Nchini Chunya, Mbey
  • WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA
  • WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI
  • MAMLAKA MAJI MBEYA YABAINI WIZI MKUBWA WA MAJI ENEO LA MAGEREJINI SOWETO MFUMO WA MITA WAHUJUMIWA
  • T/PRISON YAICHIMBA MKWARA YANGA,MBEYA HAICHOMOKI INAHITAJI ALAMA 3 KUJIKWAMUA KUSHUKA
  • Utekelezaji wa Ilani ya CCM Wampa Heshima Meya Mbeya Kata ya Isanga
  • MAKALA MAALUMU: “Utekelezaji wa Miaka Mitano: Kazi, Matendo na Mafanikio ya Mhe. Mahundi”
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Mbalaza wa Umoja wa Vijana wa CCM Mbeya Mjini, Cde. Timida Fyandomo, Aahidi Msaada wa Godoro kwa Muhitaji katika Ujenzi wa Nyumba ya Tulia Trust
Habari za Kitaifa

Mbalaza wa Umoja wa Vijana wa CCM Mbeya Mjini, Cde. Timida Fyandomo, Aahidi Msaada wa Godoro kwa Muhitaji katika Ujenzi wa Nyumba ya Tulia Trust

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 28, 2024Updated:March 28, 2024No Comments19 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Timida Mpoki Fyandomo Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana Taifa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mkoa wa Mbeya ameahidi kutoa godoro kwa mjane Singwava Mwanyanje mwenye watoto sita mkazi wa Itanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya anayejengewa nyumba na Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini.Clemence Mwandemba Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mbeya amesema Dkt Tulia amekuwa akifanya mambo makubwa nchini kwa kuwagusa watu wenye uhitaji.Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Itanji Javin Shaha amesema mama huyo anapitia kipindi kigumu hivyo anahitaji kusaidiwa.Singwava Jackson amewashukuru wadau wote waliofanikisha kumjengea nyumba zaidi Mbunge aliyeguswa na changamoto alizopitia za kuishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Kwa upande wake Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Trust Joshua Mwakanolo amesema moyo uliooneshwa na Timida Fyandomo unapaswa kuigwa na viongozi wengine.

Taasisi ya Tulia Trust imemjengea nyumba mjane huyo baada ya kumkuta akiishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Timida Mpoki Fyandomo Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana Taifa Chama Cha Mapinduzi(CCM)Mkoa wa Mbeya ameahidi kutoa godoro kwa mjane Singwava Mwanyanje mwenye watoto sita mkazi wa Itanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya anayejengewa nyumba na Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini.

Ahadi hiyo ameitoa baada ya kutembelea ujenzi wa nyumba unaondelea Mtaa wa Itanji Kata ya Iganjo Jijini Mbeya.

Clemence Mwandemba Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mbeya amesema Dkt Tulia amekuwa akifanya mambo makubwa nchini kwa kuwagusa watu wenye uhitaji.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mtaa wa Itanji Javin Shaha amesema mama huyo anapitia kipindi kigumu hivyo anahitaji kusaidiwa.

Aidha Mtendaji wa Mtaa wa Itanji Nuru Msigwa amemshukuru Dkt Tulia kwa kutoa msaada.

Naye Singwava Jackson amewashukuru wadau wote waliofanikisha kumjengea nyumba zaidi Mbunge aliyeguswa na changamoto alizopitia za kuishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Baadhi ya viongozi wa CCM Kata ya Iganjo wamepata furasa ya kutoa neno wakisema Dkt Tulia anakiwakilisha vema Chama Cha Mapinduzi.

Kwa upande wake Afisa Habari wa Taasisi ya Tulia Trust Joshua Mwakanolo amesema moyo uliooneshwa na Timida Fyandomo unapaswa kuigwa na viongozi wengine.

Taasisi ya Tulia Trust imemjengea nyumba mjane huyo baada ya kumkuta akiishi kwenye turubai yeye na wanawe sita.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

VIJANA CCM MBEYA DC WAJIPANGA KUPIGA KURA OKTOBA 2025.

June 13, 2025

TARURA YAPATA TUZO USHIRIKISHAJI JAMII KATIKA UJENZI WA BARABARA

June 10, 2025

MFUKO WA HIFADHI YA JAMII PSSSF YAWAJENGEA UWEZO WANAHABARI MKOA WA MBEYA.

June 9, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202566

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202458
Don't Miss
Video Mpya

SIKIA KILIO CHA WAFUNGWA GEREZA LA RUANDA MBEYA KWA RAIS SAMIA

By Mbeya YetuJune 19, 20250

#mbeyayetutv

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua Kiwanda cha Kwanza cha Uchenjuaji wa Shaba Nchini Chunya, Mbey

June 19, 2025

WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA

June 18, 2025

WAKAZI KATA YA MAJENGO MBEYA WATANGAZA MITANO TENA KWA DIWANI WAO MAULIDI JAMADARI

June 17, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SIKIA KILIO CHA WAFUNGWA GEREZA LA RUANDA MBEYA KWA RAIS SAMIA

June 19, 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Azindua Kiwanda cha Kwanza cha Uchenjuaji wa Shaba Nchini Chunya, Mbey

June 19, 2025

WANAFUNZI WAFUNGWA WA GEREZA LA RUANDA MBEYA WAHITIMU MAFUNZO CHUO CHA UFUNDI MAGEREZA

June 18, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024171

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202482

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202566
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.