Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda

November 18, 2025

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda
  • DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI
  • Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto
  • Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi
  • RAIS SAMIA atangaza Baraza lake jipya la mawaziri
  • Aondokana na umaskini wa kutupwa baada ya kujua mbinu za betting
  • Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena
  • VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MBEYA LAUPOA MWILI WA MTU MTO MAGEGE KATA YA ILEMI
Uncategorized

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MBEYA LAUPOA MWILI WA MTU MTO MAGEGE KATA YA ILEMI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 30, 2024No Comments28 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa mtu jinsi ya kiume daraja la mto Magege Mtaa wa Masewe Kata ya Ilemi Jijini Mbeya anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka thelathini na nane hadi arobaini.Akitoa taarifa eneo la tukio Askari wa zamu Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Sajini Abdalah Sebombo amesema tukio limetokea majira ya saa mbili kasorobo asubuhi machi 30,2024.Kaimu Mwenyekiti wa Mtaa wa Maswe Japhet Mahinya amesema alipata taarifa kutoka kwa mwananchi naye baada ya kufika eneo la tukio na kitoa taarifa Polisi,Polisi walipofika waliona mwili ukiwa korongo la mto hivyo ikawalazimu kuwasilana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa mtu jinsi ya kiume daraja la mto Magege Mtaa wa Masewe Kata ya Ilemi Jijini Mbeya anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka thelathini na nane hadi arobaini.

Akitoa taarifa eneo la tukio Askari wa zamu Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Sajini Abdalah Sebombo amesema tukio limetokea majira ya saa mbili kasorobo asubuhi machi 30,2024.

Aidha ametoa rai kwa wananchi kutoa taarifacmapema kupitia namba ya dharura 114.

Kaimu Mwenyekiti wa Mtaa wa Maswe Japhet Mahinya amesema alipata taarifa kutoka kwa mwananchi naye baada ya kufika eneo la tukio na kitoa taarifa Polisi,Polisi walipofika waliona mwili ukiwa korongo la mto hivyo ikawalazimu kuwasilana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Baada ya kufika Jeshi la Zimamoto na Uokoaji walifanikiwa kuuopoa mwili huo na kuwataka wananchi wafanye utambuzi lakini hakuna aliyeweza kumtambua.

Wananchi wanapaswa kuchukua tahadhari hasa katika kipindi hiki cha masika ambapo maji hujaa katika mito au visima ili kuepusha maafa.

Wito umetolewa kwa yeyote aliyepotelewa na ndugu yake afike Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya ajili ya utambuzi.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda

November 18, 2025

Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi

November 17, 2025

Aondokana na umaskini wa kutupwa baada ya kujua mbinu za betting

November 17, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025225

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Uncategorized

Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda

By Mbeya YetuNovember 18, 20250

Kutana na Sasha ambaye alikuwa msichana mwenye tabasamu la kuvutia na moyo wa upendo. Alizaliwa…

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025

Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi

November 17, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Alivyokabiliana na changamoto ya ukosefu wa hamu ya tendo hadi kuishinda

November 18, 2025

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025225

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.