Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

December 7, 2025

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.
  • MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA
  • Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana
  • MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI
  • Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake
  • MASACHE AWATAKA WANANCHI KUENDELEA KUSHIKILIA AMANI
  • MH. MASACHE: TUENDELEE KUISIMAMIA MIRADI ILIYOKUWEPO NA KUIBUA MIPYA AWASHUKURU WANA CHUNYA
  • MH. NOAH MWAKISU AAPISHWA RASMI KUWA DIWANI KATA YA ILOMBA
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MBEYA LAUPOA MWILI WA MTU MTO MAGEGE KATA YA ILEMI
Uncategorized

JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MBEYA LAUPOA MWILI WA MTU MTO MAGEGE KATA YA ILEMI

Mbeya YetuBy Mbeya YetuMarch 30, 2024No Comments28 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa mtu jinsi ya kiume daraja la mto Magege Mtaa wa Masewe Kata ya Ilemi Jijini Mbeya anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka thelathini na nane hadi arobaini.Akitoa taarifa eneo la tukio Askari wa zamu Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Sajini Abdalah Sebombo amesema tukio limetokea majira ya saa mbili kasorobo asubuhi machi 30,2024.Kaimu Mwenyekiti wa Mtaa wa Maswe Japhet Mahinya amesema alipata taarifa kutoka kwa mwananchi naye baada ya kufika eneo la tukio na kitoa taarifa Polisi,Polisi walipofika waliona mwili ukiwa korongo la mto hivyo ikawalazimu kuwasilana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa mtu jinsi ya kiume daraja la mto Magege Mtaa wa Masewe Kata ya Ilemi Jijini Mbeya anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka thelathini na nane hadi arobaini.

Akitoa taarifa eneo la tukio Askari wa zamu Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Sajini Abdalah Sebombo amesema tukio limetokea majira ya saa mbili kasorobo asubuhi machi 30,2024.

Aidha ametoa rai kwa wananchi kutoa taarifacmapema kupitia namba ya dharura 114.

Kaimu Mwenyekiti wa Mtaa wa Maswe Japhet Mahinya amesema alipata taarifa kutoka kwa mwananchi naye baada ya kufika eneo la tukio na kitoa taarifa Polisi,Polisi walipofika waliona mwili ukiwa korongo la mto hivyo ikawalazimu kuwasilana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

Baada ya kufika Jeshi la Zimamoto na Uokoaji walifanikiwa kuuopoa mwili huo na kuwataka wananchi wafanye utambuzi lakini hakuna aliyeweza kumtambua.

Wananchi wanapaswa kuchukua tahadhari hasa katika kipindi hiki cha masika ambapo maji hujaa katika mito au visima ili kuepusha maafa.

Wito umetolewa kwa yeyote aliyepotelewa na ndugu yake afike Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya ajili ya utambuzi.

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

Hofu yake zilianza kuathiri hata furaha ya ndoa yake

December 6, 2025

Ni mara ya kwanza kupata mkataba mnono wa ujenzi

December 4, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025128
Don't Miss
Video Mpya

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

By Mbeya YetuDecember 7, 202516

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

Serikali ya Tanzania imesema inaenda kuwafutia hadhi ya ukimbizi Wakimbizi wanaoishi nchini baada ya kurejea kwa hali ya amani katika nchi zao baada ya hapo awali kuwepo kwa machafuko.

Kauli hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene huku jumla ya Wakimbizi 238,956 wanahifadhiwa hapa nchini ambapo Warundi ni 152,019,Wakongo ni 86,256 na mataifa mengine yakichangia idadi ya 681.

“Katika mkutano wa mwisho tulikubaliana kurejesha Wakimbizi 3000 kwa wiki,hata hivyo hadi tunakutana hapa hii leo 2025 ni Wakimbizi 3000 pekee waliorejea nchini kwao.Hili ni jambo ambalo lingepaswa kukamilika ndani ya wiki moja lakini limechukua takribani mwaka mzima,hatuwezi kuruhusu Hali hii iendelee hivi.” Alisema Waziri Simbachawene

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025

MHE. SALOME MAKAMBA AIPONGEZA PBPA KWA UTENDAJI KAZI MZURI

December 6, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SERIKALI YA TANZANIA KUWAFUTIA HADHI YA UKIMBIZI WAKIMBIZI WANAOISHI NCHINI.

December 7, 2025

MAZISHI YA SAMSON MWAMAKIMBULA

December 6, 2025

Mbinu aliyotumia kupata kazi ya udereva baada ya kusota sana

December 6, 2025
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025246

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025234

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024206
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.