Wananchi wa Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamelazimika kuzikimbia nyumba zao baada ya Jeshi la Polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi mto Zira wakidai Mwekezaji mwenye asili ya Kichina aondoke eneo hilo kwa madai ya kuharibu mazingira.
Trending
- CHAKAMWATA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI CWT NA WAKURUGENZI
- JK AWASILISHA UJUMBE WA RAIS SAMIA KWA RAIS MUSEVENI WA UGANDA LEO JIJINI KAMPALA
- Spika wa Bunge la Tanzania aongoza Waombolezaji kutoa Rambirambi kwa Kifo cha Katibu wa Bunge la Zambia
- RAIS SAMIA AUNGWA MKONO NA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NCHINI
- CHAUMMA YATANGAZA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025
- Tulia Trust yaendelea kutoa tabasamu kwa kujenga nyumba tatu katika kata za Itezi, Uyole na Igawilo
- Dkt. Tulia Ackson Afungua Kikao cha 39 cha Jukwaa la Wanawake wa IPU Jijini Tashkent
- VIONGOZI MBALIMBALI WASHIRIKI MAZISHI YA KATIBU WA UWT MKOA WA MBEYA