Wananchi wa Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamelazimika kuzikimbia nyumba zao baada ya Jeshi la Polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi mto Zira wakidai Mwekezaji mwenye asili ya Kichina aondoke eneo hilo kwa madai ya kuharibu mazingira.
Trending
- Nilihangaika na Migogoro ya Familia Kwa Miaka Mingi, Lakini Siri Niliyotumia Ikarudisha Upendo na Amani Nyumbani
- Basi tulipolala na mume wangu, kila mtu aligeukia upande wake
- SHIRIKA LA POSTA LATOA ZAWADI ,VYETI KWA WASHINDI WA UANDISHI WA BARUA MBEYA.
- SERIKALI IMEWEKA MIKAKATI DHABITI YA KUKABILIANA NA MAJANGA NCHINI-MAJALIWA
- WIKI YA VIJANA YAPAMBWA NA MPAMBANO, TIMU 8 KUKIPIGA KWENYE BREW MASTER MWENGE NDONDO CUP
- Ilifikia hatua hadi nikawa namuogopa mume wangu kitandani
- MAWAZIRI WAIMWAGIA PONGEZI BENKI YA NMB KWA UTENDAJI WAKE.
- Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya