Wananchi wa Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamelazimika kuzikimbia nyumba zao baada ya Jeshi la Polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi mto Zira wakidai Mwekezaji mwenye asili ya Kichina aondoke eneo hilo kwa madai ya kuharibu mazingira.
Trending
- Benki ya NMB yashiriki kwenye ufunguzi wa Wiki ya Vijana inayofanyika Kitaifa Mbeya
- Nilidhani Wivu wa Majirani Ungehujumu Maisha Yangu, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Niishi kwa Amani na Mafanikio
- Kampeni za Mguu kwa Mguu za Ipyana Njiku wa CHAUMMA Yazidi Kutikisa Jimbo la Uyole
- Mradi wa Kuboresha Huduma ya Maji Tukuyu Wazinduliwa na Mwenge wa Uhuru 2025
- Bibi Yangu Alisaidia Kuokoa Ndoa Yangu Baada ya Miaka Mitano y
- Nilikata Tamaa Baada ya Kupoteza Kila Bet, Lakini Siri Niliyotumia Ilinifanya Kushinda Jackpot
- Nilidhani Sina Bahati Maishani, Lakini Hatua Moja Rahisi Ilinifanya Nianze Kuvutia Mafanikio Kila Siku
- Mwenge wa Uhuru Waonyesha Uwazi na Uwajibikaji Katika Mradi wa Maji Ipinda – Kyela