Wananchi wa Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamelazimika kuzikimbia nyumba zao baada ya Jeshi la Polisi kuwatawanya kwa mabomu ya machozi mto Zira wakidai Mwekezaji mwenye asili ya Kichina aondoke eneo hilo kwa madai ya kuharibu mazingira.
Trending
- Suluhisho kwa wanawake wanaokuwa wakavu wakati wa tendo la ndoa
- Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Amfukuza Kazi Daktari Aliyembaka Mke wa Mtu Wodini Tabora
- Mwalunenge Aibuka Kama Nguzo ya Maendeleo kwa Vijana wa Mbeya atoa Bodaboda kijiwe cha Nzovwe
- Biashara ikashamiri kuliko zote za awali
- VIJANA TUNATAKA KATIBA MPYA, UHURU WA KUONGEA WAZIRI WA VIJANA AWAPA HEKO VIJANA WA MBEYA
- MAHAFALI YA 16 YA SHULE YA AWALI MARYS PRE & PRIMARY SCHOOL MBEYA WAZAZI WAPEWA UJUMBE MZITO
- Binti mrembo alivyopata kazi baada ya msoto mkali
- Baada ya muda mfupi aligundua hisia zake zinarejea taratibu

