Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji

February 9, 2026

Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo

February 8, 2026

TGNP na CARE Waimarisha Elimu ya Tabia Nchi Mbeya

February 8, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji
  • Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo
  • TGNP na CARE Waimarisha Elimu ya Tabia Nchi Mbeya
  • New Asante Mbeya Yapongeza TAKUKURU Mbeya kwa Elimu ya Uadilifu na Kufungua Uelewa wa Wanachama
  • Utengule Usangu Yapata Jezi, Majiko ya Gesi na Msaada wa Kijamii Kutoka kwa Mbunge Ndingo
  • Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na Aga Khan Zaanzisha Ushirikiano wa Kuboresha Huduma za Afya
  • Shule ya Sekondari Utengule Usangu, H
  • Mradi wa Barabara Mlima Nyoka Wamfikisha MCC ASAS, Ataka Kero za Wananchi Zitokomee
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Namna nilivyopona magonjwa ya zinaa
Matukio ya Kijamii

Namna nilivyopona magonjwa ya zinaa

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 24, 2024No Comments2 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Nikiri kuwa katika maisha yangu sikuwa mwaminifu katika suala zima la mahusiano ya kimapenzi, nilikuwa na wapenzi zaidi ya watatu kwa wakati mmoja, hiyo yote ni kutokana na tamaa zangu za kimwili ambazo naweza kusema hapo baadaye zimekuwa kunigharimu sana.

Jina langu ni Moni, mara baada ya kupata kazi na kuanza kuisha maisha ya kijitegemea, niliishi kwa kujiachia sana maana kwa wazazi wangu nilikuwa nabanwa sana.

Baba alikuwa akitaka kila mtu katika familia kurejea nyumbani kabla ya saa moja usiku na ni marufuku kulala nje.

Utaratibu huo ulikuwa unanikera sana maana rafiki zangu walikuwa wanatoka usiku na kwenda sehemu mbalimbali za starahe lakini mimi nilikuwa nabaki nyumbani.

Nilijiapiza siku nikipata kazi ni lazima nihame nyumbani na kwenda kuishi maisha ya kujitegemea ili niwe na uhuru zaidi maishani mwangu.

Kama bahati nilikuja kupata kazi kwenye kiwanda cha kuzalisha vibiriti, kazi hii ilikuwa na mshahara wa wastani lakini kutokana sikuwa na majukumu mengi naweza kusema ulinitosha kabisa.

Baada ya kufanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu niliamua kupanga chumba ili niishi mwenyewe, tayari nilikuwa na mahusiano na binti mmoja ambaye nilisoma naye, kila mara alikuwa anakuja Ghetto kunitembelea.

Niliona haya ndio maisha ambayo nilikuwa nayahitaji kwa muda mrefu.

Lakini pale kazini kulikuwa na wasichana wengi wazuri kiasi kwamba nilianza kuwatongoza, nilifanikiwa na kuanza kutembea nao, mara nyingi walikuwa wanakuja tu Ghetto kwangu.

Sikujali chochote kile, nilitumia uhuru wangu na fedha zangu jinsi ambayo nilitaka, nilitumia kila mbinu kuweza kuwa na wanawake wengi.

Ghafla nilianza kuumwa sana sehemu za siri, nilipoenda kupima hospitali niliambiwa nimeambukizwa magonjwa ya zinaa, nilipewa dawa na kuanza kutumia lakini sikupona moja kwa moja.

Nilisumbuka na magonjwa hayo hadi kiasi cha kuacha kazi, nilienda hadi kwa waganga wa kienyeji bila mafanikio yoyote.

Siku moja nikiwa kwenye mitandao ya kijamii niliona kuwa Dr Bokko anatibu magojwa ya zinaa kama vile Kisonono, niliamua kuchukua namba yake na kumpigia na kumueleza tatizo langu.

Nilifika ofisi kwake na kunipatia tiba ambayo naweza kusema ndio imeokoa maisha yangu maana nilikuwa nimekata tamaa.

Kwa sasa nimeamua kuwa mwaminifu katika mahusiano, nipo na mwanamke mmoja pekee ambaye nampenda sana, asante sana kwa Dr Bokko kwa tiba yako iliyoweza kubadili maisha yangu. Piga simu +255618536050.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot

August 29, 2025

Spika wa Bunge la Tanzania aongoza Waombolezaji kutoa Rambirambi kwa Kifo cha Katibu wa Bunge la Zambia

April 8, 2025

Wezi waliopora Sh16 milioni dukani wazingira na nyuki mikononi!

February 20, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025334

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024226

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025139
Don't Miss
Video Mpya

Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji

By Mbeya YetuFebruary 9, 20260

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbeya, Mohamed Fakii, ametoa onyo dhidi ya uharibifu wa vyanzo vya maji unaotokana na ukataji miti ovyo na kilimo karibu na vyanzo vya maji.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa Chanzo cha Maji cha Mbawe, kijiji cha Mbawe, Fakii alisema kuwa shughuli za kibinadamu zinaendelea kuhatarisha uendelevu wa vyanzo vya maji licha ya kuwepo kwa maji kwa sasa kutokana na mvua. Alisisitiza kuwa ni marufuku kufanya shughuli zozote ndani ya mita 60 kutoka chanzo cha maji.

Aliwaagiza wananchi wote wanaolima au kufanya shughuli karibu na vyanzo hivyo kuondoka mara moja, huku akizitaka serikali za vijiji na kata kushirikiana kikamilifu katika ulinzi wa vyanzo vya maji na kutoa elimu kwa wananchi.

Ziara hiyo ilifanywa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbeya akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Mheshimiwa Solomon Itunda, akiwa ameambatana na Kamati ya Usalama ya Wilaya.

Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo

February 8, 2026

TGNP na CARE Waimarisha Elimu ya Tabia Nchi Mbeya

February 8, 2026

New Asante Mbeya Yapongeza TAKUKURU Mbeya kwa Elimu ya Uadilifu na Kufungua Uelewa wa Wanachama

February 8, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Wilaya ya Mbeya Yapiga Marufuku Kilimo na Ukataji Miti Kwenye Vyanzo vya Maji

February 9, 2026

Tazama muonekano mpya wa Soko la Kariakoo

February 8, 2026

TGNP na CARE Waimarisha Elimu ya Tabia Nchi Mbeya

February 8, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025334

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024226
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.