Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

SIRI YA UTAJIRI WA MWALUNENGE HII HAPA AWEKA BAYANA HAJATUMIA UGANGA WA MIUJIZA

July 13, 2025

MSAADA WA DKT. TULIA WAFUTA MACHOZI YA FAMILIA YA BI. LUSIA KAPANGALA

July 13, 2025

BONANZA LA NMB MWALIMU SPESHO MBEYA VIBE LAKE LACHANGAMSHA WALIMU JIJINI MBEYA

July 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • SIRI YA UTAJIRI WA MWALUNENGE HII HAPA AWEKA BAYANA HAJATUMIA UGANGA WA MIUJIZA
  • MSAADA WA DKT. TULIA WAFUTA MACHOZI YA FAMILIA YA BI. LUSIA KAPANGALA
  • BONANZA LA NMB MWALIMU SPESHO MBEYA VIBE LAKE LACHANGAMSHA WALIMU JIJINI MBEYA
  • Serikali Kutoa Mafunzo Maalum kwa Waandishi wa Blogu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  • ONYO KALI KWA VIBAKA KUTOKA KWA WAMACHINGA SOKO LA JIONI KABWE JIJI LA MBEYA VIBAKA NA WEZI WAUFYATA
  • MNEC: MWASELELA ASIMAMISHA MINONG’ONO YA KISIASA MBEYA MJINI
  • KWA MARA NYINGINE, MHANDISI MAHUNDI AWAPA NEEMA WAGONJWA WA MACHO
  • MWAKIPESILE AREJESHA FOMU YA UBUNGE JIMBO LA MBEYA MJINI
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Namna nilivyopona magonjwa ya zinaa
Matukio ya Kijamii

Namna nilivyopona magonjwa ya zinaa

Mbeya YetuBy Mbeya YetuDecember 24, 2024No Comments1 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Nikiri kuwa katika maisha yangu sikuwa mwaminifu katika suala zima la mahusiano ya kimapenzi, nilikuwa na wapenzi zaidi ya watatu kwa wakati mmoja, hiyo yote ni kutokana na tamaa zangu za kimwili ambazo naweza kusema hapo baadaye zimekuwa kunigharimu sana.

Jina langu ni Moni, mara baada ya kupata kazi na kuanza kuisha maisha ya kijitegemea, niliishi kwa kujiachia sana maana kwa wazazi wangu nilikuwa nabanwa sana.

Baba alikuwa akitaka kila mtu katika familia kurejea nyumbani kabla ya saa moja usiku na ni marufuku kulala nje.

Utaratibu huo ulikuwa unanikera sana maana rafiki zangu walikuwa wanatoka usiku na kwenda sehemu mbalimbali za starahe lakini mimi nilikuwa nabaki nyumbani.

Nilijiapiza siku nikipata kazi ni lazima nihame nyumbani na kwenda kuishi maisha ya kujitegemea ili niwe na uhuru zaidi maishani mwangu.

Kama bahati nilikuja kupata kazi kwenye kiwanda cha kuzalisha vibiriti, kazi hii ilikuwa na mshahara wa wastani lakini kutokana sikuwa na majukumu mengi naweza kusema ulinitosha kabisa.

Baada ya kufanya kazi kwa kipindi cha miezi mitatu niliamua kupanga chumba ili niishi mwenyewe, tayari nilikuwa na mahusiano na binti mmoja ambaye nilisoma naye, kila mara alikuwa anakuja Ghetto kunitembelea.

Niliona haya ndio maisha ambayo nilikuwa nayahitaji kwa muda mrefu.

Lakini pale kazini kulikuwa na wasichana wengi wazuri kiasi kwamba nilianza kuwatongoza, nilifanikiwa na kuanza kutembea nao, mara nyingi walikuwa wanakuja tu Ghetto kwangu.

Sikujali chochote kile, nilitumia uhuru wangu na fedha zangu jinsi ambayo nilitaka, nilitumia kila mbinu kuweza kuwa na wanawake wengi.

Ghafla nilianza kuumwa sana sehemu za siri, nilipoenda kupima hospitali niliambiwa nimeambukizwa magonjwa ya zinaa, nilipewa dawa na kuanza kutumia lakini sikupona moja kwa moja.

Nilisumbuka na magonjwa hayo hadi kiasi cha kuacha kazi, nilienda hadi kwa waganga wa kienyeji bila mafanikio yoyote.

Siku moja nikiwa kwenye mitandao ya kijamii niliona kuwa Dr Bokko anatibu magojwa ya zinaa kama vile Kisonono, niliamua kuchukua namba yake na kumpigia na kumueleza tatizo langu.

Nilifika ofisi kwake na kunipatia tiba ambayo naweza kusema ndio imeokoa maisha yangu maana nilikuwa nimekata tamaa.

Kwa sasa nimeamua kuwa mwaminifu katika mahusiano, nipo na mwanamke mmoja pekee ambaye nampenda sana, asante sana kwa Dr Bokko kwa tiba yako iliyoweza kubadili maisha yangu. Piga simu +255618536050.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Spika wa Bunge la Tanzania aongoza Waombolezaji kutoa Rambirambi kwa Kifo cha Katibu wa Bunge la Zambia

April 8, 2025

Wezi waliopora Sh16 milioni dukani wazingira na nyuki mikononi!

February 20, 2025

Kati ya hawa wanaume watatu niolewe na yupi?

February 19, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024174

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202484

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569

DKT. TULIA ATOA MSAADA WA VIPAZA SAUTI MSIKITI WA MASJID BI FATMA NZOVWE JIJINI MBEYA

March 29, 202460
Don't Miss
Video Mpya

SIRI YA UTAJIRI WA MWALUNENGE HII HAPA AWEKA BAYANA HAJATUMIA UGANGA WA MIUJIZA

By Mbeya YetuJuly 13, 20250

#mbeyayetutv

MSAADA WA DKT. TULIA WAFUTA MACHOZI YA FAMILIA YA BI. LUSIA KAPANGALA

July 13, 2025

BONANZA LA NMB MWALIMU SPESHO MBEYA VIBE LAKE LACHANGAMSHA WALIMU JIJINI MBEYA

July 13, 2025

Serikali Kutoa Mafunzo Maalum kwa Waandishi wa Blogu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

July 10, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

SIRI YA UTAJIRI WA MWALUNENGE HII HAPA AWEKA BAYANA HAJATUMIA UGANGA WA MIUJIZA

July 13, 2025

MSAADA WA DKT. TULIA WAFUTA MACHOZI YA FAMILIA YA BI. LUSIA KAPANGALA

July 13, 2025

BONANZA LA NMB MWALIMU SPESHO MBEYA VIBE LAKE LACHANGAMSHA WALIMU JIJINI MBEYA

July 13, 2025
Most Popular

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024174

TULIA TRUST YATOA MIFUKO 400 YA SARUJI KWA SHULE 3 JIJINI MBEYA

March 26, 202484

UCHAGUZI MKUU 2025: MAJIMBO MAPYA NANE YAANZISHWA, 12 YABADILISHWA MAJINA

May 12, 202569
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.