Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025

Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi

November 17, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI
  • Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto
  • Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi
  • RAIS SAMIA atangaza Baraza lake jipya la mawaziri
  • Aondokana na umaskini wa kutupwa baada ya kujua mbinu za betting
  • Nilivyopambana na Baby Mama Aliyenigeuza Mfadhili Pekee Bila Haki, Mpaka Hatimaye Nikaweza Kuwa Karibu na Watoto Wangu Tena
  • VIDEO: ZIARA YA KUSHTUKIZA YA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA, HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA
  • Kutoka Kupoteza Kazi Hadi Kujiamini Tena Safari Yangu Ya Kurudi Kuwa Mwanaume wa Nyumba
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home ยป “Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Maryprisca Mahundi atembelea Kituo cha Mkonga wa Taifa Makongolosi, Mbeya”
Habari za Kitaifa

“Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Maryprisca Mahundi atembelea Kituo cha Mkonga wa Taifa Makongolosi, Mbeya”

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 12, 2025Updated:January 12, 2025No Comments8 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

CHUNYA YAFIKIWA NA MKONGA WA TAIFA WA MAWASILIANO

Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ametembelea Kituo cha mkonga wa Taifa cha mamlaka ya mji mdogo wa Makongolosi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya kilichojengwa kwa lengo la kuboresha mawasiliano na ili kuongeza ufanisi kwa watendaji wa serikali katika makusanyo ya Serikali.

Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwekeza fedha nyingi kwenye miundombinu ya mawasilano kupitia ujenzi wa vituo mkongo wa taifa nchikavu na baharini, ambapo amesema kupitia uwekezaji huo Wilaya 139 nchini zitanufaika na huduma ya mkongo wa Taifa hivyo kurahisisha utendaji wa Serikali.

Meneja wa TTCL Mkoa wa Mbeya na Songwe Mhandisi Mujuni Kyaruzi amesema mkongo huo utaunganisha mkoa wa Mbeya na mkoa wa Songwe kupitia Wilaya ya Songwe ambapo unatarajiwa kuanza kutumika mwezi Aprili mwaka huu baada ya kukamilika ufungaji wa waya eneo la kilomota 10 lililobaki.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Chunya Mbaraka Alhaj Batenga amesema wananchi wachangamkie fursa hiyo ya ujiio wa mkongo wa Taifa kwani kwa sasa kumekuwa na changamoto ya ukusanyaji wa maduhuri ya Serikali kutokana na changamoto ya mawasiliano maeneo mengi ya Wilaya hiyo, huku akiwataka wananchi kuilinda miundombinu hiyo ili Taifa liendelee kukua kiuchumi.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

VIONGOZI WA BARAZA KUU LA WAISLAMU BAKWATA MKOA WA MBEYA WATEMBELEA MRADI WA UJENZI SHULE YA SEKONDARI YA KIISLAMU JIJINI MBEYA.

November 9, 2025

TUME YATANGAZA WABUNGE 115 WA VITI MAALUM

November 7, 2025

TUME YATOA MAELEKEZO YA KISERA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025

October 23, 2025

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025224

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200

WAHITIMU WA UUGUZI NA UKUNGA WAPEWA WITO WA KUONYESHA MAADILI, UPENDO NA HESHIMA KAZINI

August 28, 2025127
Don't Miss
Video Mpya

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

By Mbeya YetuNovember 17, 20250

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo Novemba 17, 2025 amekabidhiwa Ofisi na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Mlimwa Jijini Dodoma Novemba 17, 2025.

Viongozi waliohudhuria hafla ni pamoja na Naibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Doto Biteko, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi, Wakuu wa Idara na watumishi wengine wa Ofisi ya Waziri Mkuu.

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025

Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi

November 17, 2025

RAIS SAMIA atangaza Baraza lake jipya la mawaziri

November 17, 2025
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

DKT. MWIGULU AKABIDHIWA OFISI RASMI

November 17, 2025

Dkt. Tulia Aingia Uyole Kwa Kasi ya Moto: Afufua Makazi ya Mzee Aliyepata Janga la Moto

November 17, 2025

Safari ya Uponyaji Kutoka katika Maumivu ya Hedhi

November 17, 2025
Most Popular

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025230

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025224

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024200
© 2025 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.