Close Menu
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya

February 25, 2026

Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato

February 25, 2026

WANANCHI PERAMIHO, SHIWINGA KUPIGA KURA KESHO KUCHAGUA MBUNGE, DIWANI

February 25, 2026
Facebook X (Twitter) Instagram
Trending
  • Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya
  • Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato
  • WANANCHI PERAMIHO, SHIWINGA KUPIGA KURA KESHO KUCHAGUA MBUNGE, DIWANI
  • SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA CHUO CHA USTAWI WA JAMII, KUTOA WATAALAMU BORA
  • INEC YAWAFUNDA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WA SAIDIZI WA VITUO VYA KURA JIMBO LA PERAMIHO
  • INEC YAWAPIGA MSASA MAKARANI WAONGOZAJI WAPIGA KURA PERAMIHO, SHIWINGA
  • MAHUNDI AONYA VIJANA KUTELEKEZA WAZAZI WAO
  • NAIBU WAZIRI MAHUNDI ATEMBELEA MAKAZI YA WAZEE, ASISITIZA UPENDO NA MATUNZO KWAKUWA WAZEE NI TUNU YA TAIFA.
Facebook X (Twitter) Instagram
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
  • Home
  • Habari za Kitaifa
  • Utalii na Utamaduni
  • Elimu na Vijana
  • Matukio ya Kijamii
  • Afya na Ustawi
Mbeya Yetu OnlineMbeya Yetu Online
Home » Dawa iliyoniokoa na ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB), ni hii hapa!
Matukio ya Kijamii

Dawa iliyoniokoa na ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB), ni hii hapa!

Mbeya YetuBy Mbeya YetuJanuary 30, 20251 Comment38 Views
Facebook Twitter Pinterest LinkedIn WhatsApp Reddit Tumblr Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Licha ya matangazo mengi katika vyombo vya habari kuwa Kifua Kikuu (TB) ni ugonjwa unaotibika kwa urahisi na watu wasione aibu kwenda Hospitalini, kwani hali hiyo kwangu ilikuwa ni tofauti kabisa.

Nadhubutu kusema hivyo kutokana baada ya kupata maradhi ya TB nilitumia dawa kwa kipindi kirefu bila mafanikio yoyote, zaidi nilipata nafuhu lakini baada ya muda hali ilirejea kuwa mbaya zaidi.

Kwa majina ni Dulla, nilikuwa nafanya kazi katika mgodi wa dhahabu kwa miaka zaidi ya 10, mazingira ya mgodi na matumizi ya vifaa  duni vya kufanyia kazi ni moja ya sababu za kuugua ugonjwa wa TB kwani hata marafiki zangu wengi walikumbwa na ugonjwa huo.

Kabla sijaanza kuumwa, mara kadhaa nilikuwa naona watalaamu wa afya wakija eneo letu la kazi na kutupatia semina pamoja na ushauri namna ambavyo tutaweza kuwa salama kiafaya.

Sikuwahi kifikiria siku moja nami nitaweza kuugua ugonjwa huo kwani katika familia yetu hakuna mtu mwenye histoaria hiyo, na pengine kwa vile nilikuwa mzima na kusikia nguvu ya ajabu katika mwili wangu sikuwa na shaka kabisa.

Nilianza kuwa na wasiwasi pale ambapo kila mara nilikuwa nakohoa kikozi kisichoisha, niliona ni hali ya kawaida lakini kadiri siku zilivyozidi kusonga ndivyo ambavyo mambo kwangu yalizidi kuwa magumu.

Hatimaye niliamua kwenda Hospitali kupima kujua ni kipi hasa nimenisibu, na ndipo nilionekana kuwa ni ugonjwa wa TB, nilianza dozi mara moja na kuachana na kazi ya mgodini kama ambavyo nilishauriwa na wataalumu.

Nilitumia dawa zile kwa miezi kadhaa hadi zikaisha lakini sikuweza kupona kabisa, hata nilipopatiwa aina nyingine ya dawa sikuweza kupona hali iliyonipa sana msongo wa mawazo.

Ghafla siku moja nikiwa nimeketi kibarazani lilinijia wazo kuwa nitafute dawa wa TB mtandaoni, katika kusoma huku na kule ndipo nikakutana na mtu anaitwa Dr Bokko kupitia mitandao ya kijamii.

Bila kusita nilichukua namba yake ambao ni +255618536050 na kuanza kuwasiliana naye, nilimsimulia kuhusu tatizo langu na jinsi ambavyo limekuwa likinitesa.

Alinitoa hofu kuwa dawa zake zimekuwa zikiwasaidia wengi ukanda wa Afrika Mashariki hivyo nitapona kabisa.

Nilifunga safari na kufika ofisini kwake, alinipokea vizuri sana na kunipatia tiba asilia ambayo naweza kusema ndio hasa imekuja kukomboa maisha yangu na hadi sasa ni mzima wa afya.

Kwa muda mfupi nilipoanza kutumia dawa za Dr Bokko hali yangu ya kiafya iliimarika sana kiasi kwamba nikasema ningebaini hilo mapema ningekuwa nishapona na kuendelea na shughuli zangu. Asante sana Dr Bokko.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Telegram Email
Mbeya Yetu

Related Posts

Kutoka kuchunga ng’ombe hadi kushinda Sh27.4 milioni ya jackpot

August 29, 2025

Spika wa Bunge la Tanzania aongoza Waombolezaji kutoa Rambirambi kwa Kifo cha Katibu wa Bunge la Zambia

April 8, 2025

Wezi waliopora Sh16 milioni dukani wazingira na nyuki mikononi!

February 20, 2025

1 Comment

  1. 📊 You have a transaction from user. Confirm >>> https://telegra.ph/Get-BTC-right-now-01-22?hs=47aa0ca299a369678591333903e33437& 📊 on February 2, 2025 8:41 am

    8tq1lo

    Reply

Leave A Reply Cancel Reply

Top Posts

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025355

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236

Vijana Wamchana Waziri wa Vijana, ”Si Wananchi, Ila Watumishi Ndio Watakaoniangusha”

December 1, 2025140
Don't Miss
Video Mpya

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya

By Mbeya YetuFebruary 25, 20262

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya kwa kushirikiana na NHIF Mkoa wa Mbeya wamekutana na kundi la watu wenye ulemavu mkoani Mbeya kutoa elimu kuhusu umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa wote.

Akifungua kikao hicho Februari 25, 2026, Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo Dkt. Godlove Mbwanji alisema lengo ni kuhakikisha watu wenye ulemavu wanapata uelewa wa bima hiyo, kwani ni miongoni mwa makundi maalumu yaliyopewa kipaumbele na Serikali ya Awamu ya Sita katika utekelezaji wa sheria ya Bima ya Afya kwa wote.

Msimamizi wa NHIF mkoa wa Mbeya, Bw. Nicolaus Mwangomo, alieleza kuwa washiriki walipatiwa elimu kuhusu utaratibu wa uchangiaji, faida na dhana ya bima hiyo, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma ya Bima ya Afya kwa wote.

Kwa niaba ya washiriki, Bi. Rebecca Ramadhani alishukuru kwa elimu hiyo akisema itasaidia watu wenye ulemavu kukabiliana na changamoto za matibabu na kuboresha upatikanaji wa huduma za afya.

Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato

February 25, 2026

WANANCHI PERAMIHO, SHIWINGA KUPIGA KURA KESHO KUCHAGUA MBUNGE, DIWANI

February 25, 2026

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA CHUO CHA USTAWI WA JAMII, KUTOA WATAALAMU BORA

February 24, 2026
Stay In Touch
  • Facebook
  • Twitter
  • Pinterest
  • Instagram
  • YouTube
  • Vimeo

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from SmartMag about art & design.

About Us
About Us

Mbeya Yetu is a dynamic online platform that serves as a comprehensive source for news and information, offering a diverse range of content that caters to the interests and needs of its audience. Focusing on key pillars such as Habari za Kijamii (Social News), Uchumi na Biashara (Economy and Business), Elimu na Vijana (Education and Youth), Afya na Ustawi (Health and Well-being), and Habari za Kitaifa (National News), Mbeya Yetu is committed to keeping its community informed and engaged.

Facebook X (Twitter) Pinterest YouTube WhatsApp
Our Picks

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na NHIF Mkoa wa Mbeya waelimisha walemavu kuhusu Bima ya Afya

February 25, 2026

Serikali na TNCC Kuunganisha Mifumo Kidigitali, TRA Yaimarisha Ukusanyaji Mapato

February 25, 2026

WANANCHI PERAMIHO, SHIWINGA KUPIGA KURA KESHO KUCHAGUA MBUNGE, DIWANI

February 25, 2026
Most Popular

Njia rahisi ya kushinda kesi Mahakamani bila kutoa rushwa

February 7, 2025355

LIVE: CCM YATANGAZA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE BAADA YA KIKAO CHA KAMATI KUU (CCM)

July 29, 2025252

KUMI WAKAMATWA WAKITOROSHA KILO 9.5 ZA DHAHABU

March 19, 2024236
© 2026 Mbeya Yetu. Powered by Digital Media Innovation Program.
  • Home

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.